Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kataa ndoa wawahi Mirembe chapu kwa haraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief,,nimenukuu toka kwa wataalamu wa mirembe wakihojiwa na media moja ya online inayo heshimika hapa nchini,,,Mental ill, furaha kipotiliza na matumizi yasio ya kawaida ni dalili za bipolar sio ugonjwa uliokamilika
Pia ukiona mtu anachambua wenzake kama wewe kwamba yeye anajua sana ujue una afya ya akili wahi Mirembe upewe namba ya kumuona daktariUkijiona unapenda kupinga kila jambo hata kama hakuna sababu ya kufanya hivyo, basi ujue safari ya Mirembe inakuhusu. Hakika kuna watu ambao hupenda kupinga na kukataa kila kitu hata kama ukweli uko wazi kabisa. Najiuliza tu, sijui ni wanachama wangapi wa upinzani wataenda Mirembe.
Ukijiona una matumizi yaliyopitiliza, basi ujue afya ya akili haiko sawa, hivyo ukawaone wataalamu. Hapa kuna wale ambao wanapenda kutoa ofa tu ilimradi apate jina kwa wadau. Kama upo katika kundi hili, fanya jitihada uelekee Mirembe chap.
Ukijiona wewe unajifanya unajua kila jambo na hutaki kupokea mawazo mapya kutoka kwa watu wengine, ujue una shida pahala, kwa sababu hakuna anayejua kila kitu.
Ukijiona unapenda kuahidi mambo ukiwa na furaha, kisha baada ya furaha kuisha ukashindwa kutimiza ahadi yako, basi ujue una shida pahala, kwa sababu wenye afya njema ya akili hawaahidi mambo wakiwa na furaha au huzuni.
Ukiwa unakataa ndoa wakati umezaliwa katika ndoa, basi ujue kichwa yako haiko sawa pahala, kwa sababu kizazi bora chenye malezi bora kinapatikana katika ndoa.
Ukijua wewe ni mwanaume halafu unatumia ID ya kike au ukiwa ni mwanamke halafu unatumia ID ya kiume humu jamvini, basi ujue una shida mahala. Haraka sana waone wataalamu, maana ipo siku utajikuta unataka kubadili jinsia.
Ukijiona una comment katika uzi bila kusoma maudhui ya uzi huo, basi ujue una shida pahala. Mara nyingi utawakuta watu wanakiri kabisa kuwa hawajasoma uzi lakini wameamua kukomenti. Kama sio uchizi ni nini?
Anyways, mambo ni mengi lakini muda hautoshi.
Ni hayo tu!
Kuna nukta katika mada yangu ni maneno ya wataalamu wa mirembe,,kuna nyingine mfano mtu kutaka kubadili jinsia ni tatizo la afya ya akiliMkuu umefanya utafiti au ni ozoefu tu?
🤔🤔🤔🤔🤔Kisaikolojoia kuahidi na kushindwa kutekeleza ni tabia ya kundi fulani la watu wenye mihemko fulani na hiyo haiusiani na shida ya afya ya akili wako timamu kabisa bila shida yoyote
Kukosoa, kusagia kunguni utawala ni kazi ya upinzani siyo shida kabisa
Mtu ambaye anawasifu wapinzani wake aangaliwe kwa makini hayuko sawa
Pia ukitaka kusifiwa tu bila kukosolewa kuna mahali una tatizo hauko sawa kabisa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Seriously hiyo ni shida kubwa sana,,ni moja ya phobia au matatizo ya wasiwasi ambayo wanayo vijanaKataa ndoa wawahi Mirembe chapu kwa haraka.
NAdhani haupo sahihi,kwasababu mimi nimeeleza walichosema wataalamu,sasa kama hilo ni tatizo basi ntakuwa nina shida mahalaPia ukiona mtu anachambua wenzake kama wewe kwamba yeye anajua sana ujue una afya ya akili wahi Mirembe upewe namba ya kumuona daktari
Ukiona unaanza kutukana watu bila sababu za msingi kisa umesoma na una vidigrii vyako wewe mirembe inakuhusu, ukiona unasumbuasumbua sana watu kwa kuwabughudhi tu safari ya kulazwa I.CU ya mirembe inakuhusuUkijiona unapenda kupinga kila jambo hata kama hakuna sababu ya kufanya hivyo, basi ujue safari ya Mirembe inakuhusu. Hakika kuna watu ambao hupenda kupinga na kukataa kila kitu hata kama ukweli uko wazi kabisa. Najiuliza tu, sijui ni wanachama wangapi wa upinzani wataenda Mirembe.
Ukijiona una matumizi yaliyopitiliza, basi ujue afya ya akili haiko sawa, hivyo ukawaone wataalamu. Hapa kuna wale ambao wanapenda kutoa ofa tu ilimradi apate jina kwa wadau. Kama upo katika kundi hili, fanya jitihada uelekee Mirembe chap.
Ukijiona wewe unajifanya unajua kila jambo na hutaki kupokea mawazo mapya kutoka kwa watu wengine, ujue una shida pahala, kwa sababu hakuna anayejua kila kitu.
Ukijiona unapenda kuahidi mambo ukiwa na furaha, kisha baada ya furaha kuisha ukashindwa kutimiza ahadi yako, basi ujue una shida pahala, kwa sababu wenye afya njema ya akili hawaahidi mambo wakiwa na furaha au huzuni.
Ukiwa unakataa ndoa wakati umezaliwa katika ndoa, basi ujue kichwa yako haiko sawa pahala, kwa sababu kizazi bora chenye malezi bora kinapatikana katika ndoa.
Ukijua wewe ni mwanaume halafu unatumia ID ya kike au ukiwa ni mwanamke halafu unatumia ID ya kiume humu jamvini, basi ujue una shida mahala. Haraka sana waone wataalamu, maana ipo siku utajikuta unataka kubadili jinsia.
Ukijiona una comment katika uzi bila kusoma maudhui ya uzi huo, basi ujue una shida pahala. Mara nyingi utawakuta watu wanakiri kabisa kuwa hawajasoma uzi lakini wameamua kukomenti. Kama sio uchizi ni nini?
Anyways, mambo ni mengi lakini muda hautoshi.
Ni hayo tu!
Inamaana ya mirembe haitutoshi auKama ni hivyo wanachama wa Simba wajengewe hospital yao
Angalia wanaohojiwa kwenye online medias + commenters kwenye post za Mudi na bwana kispikaInamaana ya mirembe haitutoshi au
🤣🤣🤣Ukijiona unapenda kupinga kila jambo hata kama hakuna sababu ya kufanya hivyo, basi ujue safari ya Mirembe inakuhusu. Hakika kuna watu ambao hupenda kupinga na kukataa kila kitu hata kama ukweli uko wazi kabisa. Najiuliza tu, sijui ni wanachama wangapi wa upinzani wataenda Mirembe.
Ukijiona una matumizi yaliyopitiliza, basi ujue afya ya akili haiko sawa, hivyo ukawaone wataalamu. Hapa kuna wale ambao wanapenda kutoa ofa tu ilimradi apate jina kwa wadau. Kama upo katika kundi hili, fanya jitihada uelekee Mirembe chap.
Ukijiona wewe unajifanya unajua kila jambo na hutaki kupokea mawazo mapya kutoka kwa watu wengine, ujue una shida pahala, kwa sababu hakuna anayejua kila kitu.
Ukijiona unapenda kuahidi mambo ukiwa na furaha, kisha baada ya furaha kuisha ukashindwa kutimiza ahadi yako, basi ujue una shida pahala, kwa sababu wenye afya njema ya akili hawaahidi mambo wakiwa na furaha au huzuni.
Ukiwa unakataa ndoa wakati umezaliwa katika ndoa, basi ujue kichwa yako haiko sawa pahala, kwa sababu kizazi bora chenye malezi bora kinapatikana katika ndoa.
Ukijua wewe ni mwanaume halafu unatumia ID ya kike au ukiwa ni mwanamke halafu unatumia ID ya kiume humu jamvini, basi ujue una shida mahala. Haraka sana waone wataalamu, maana ipo siku utajikuta unataka kubadili jinsia.
Ukijiona una comment katika uzi bila kusoma maudhui ya uzi huo, basi ujue una shida pahala. Mara nyingi utawakuta watu wanakiri kabisa kuwa hawajasoma uzi lakini wameamua kukomenti. Kama sio uchizi ni nini?
Anyways, mambo ni mengi lakini muda hautoshi.
Ni hayo tu!