Baadhi ya dalili za tatizo la afya ya akili

Mental ill, furaha kipotiliza na matumizi yasio ya kawaida ni dalili za bipolar sio ugonjwa uliokamilika
Chief,,nimenukuu toka kwa wataalamu wa mirembe wakihojiwa na media moja ya online inayo heshimika hapa nchini,,,
 
Pia ukiona mtu anachambua wenzake kama wewe kwamba yeye anajua sana ujue una afya ya akili wahi Mirembe upewe namba ya kumuona daktari
 
🤔🤔🤔🤔🤔
 
Pia ukiona mtu anachambua wenzake kama wewe kwamba yeye anajua sana ujue una afya ya akili wahi Mirembe upewe namba ya kumuona daktari
NAdhani haupo sahihi,kwasababu mimi nimeeleza walichosema wataalamu,sasa kama hilo ni tatizo basi ntakuwa nina shida mahala
 
Ukiona unaanza kutukana watu bila sababu za msingi kisa umesoma na una vidigrii vyako wewe mirembe inakuhusu, ukiona unasumbuasumbua sana watu kwa kuwabughudhi tu safari ya kulazwa I.CU ya mirembe inakuhusu
 
Kuna wale ambao mike ya kuongelea kwenye simu na ndiyo hiyo hiyo wanasikilizia,,,aisee wananikeraa hatar
 
🤣🤣🤣
 
Ukiwa na multiple IDS hapa jamvini na zote zinachangia topiki kwa siku iyo husika wahi mirembe , Ukiposti uzi kisha ukaanza kujijibu kwa ids zako zingine I.C.U ya mirembe inakuhitaji
 
Ukiwa wewe ni mtu wa kutoa ushauri tu kila wakati pasipo hata kuombwa wahi haraka ukapate tiba Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…