Baadhi ya Features za kuzingatia utakavyopanga kununua gari lako lijalo

Baadhi ya Features za kuzingatia utakavyopanga kununua gari lako lijalo

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu kwema.

Najua kwa namna moja au nyingine, kuna Mjapan uko anazinguka na gari lako bila yeye kujua. Siku zake zinahesabika.

Sasa, gari siku hizi halijawa "kifaa" cha kukutoa point A kwenda B hafu basi. Hapana. Izo zilikua enzi za Land Rover 109 sio sahivi. Gari imekua zaidi ya chombo cha usafiri. Kukaa ndani na kuendesha lazima uwe comfortable, wewe na abiria wako msishuke "mmechoka".

Sasa kuna baadhi (sio zote lazima ziwepo kwenye gari moja) ya features ambazo unaweza pia kuzizingatia next time unavoagiza chuma:

1. Start-Stop system
Hii ni Teknolojia ya gari kujizima ukiwa kwenye foleni au umesimama huku gear bado ipo D.
2019_Perodua_Myvi_1.5_AV_(83)_(cropped).jpg

Lengo kuu likiwa ni kupunguza matumizi ya mafuta na emissions kwenye mazingira.


2. Cruise Control
Hii ni feature ambayo inakusaidia dereva kuset speed flani kisha unaachia mguu kwenye accelerator ila gari lita maintain iyo speed uliyoset constant.
images (11).jpeg

Zimekua advanced siku hizi kuna Adaptive Cruise Control ambazo zenyewe zitapunguza speed au hadi kusimama kama mbele kuna gari, ukuta au kitu chochote.

3. Heads up Display
Hii ni Feature ambayo inamsaidia dereva kuendesha gari bila kutoa macho mbele na kuangalia dashboard kwasababu inaleta information zote za muhimu mfano speed, kwenye kioo cha mbele kwa mtindo wa projection.

images (12).jpeg
Magari mengi sana sahivi yana izo features.

4. Android Auto & Apple Car Play
Hii ni feature ya kwenye infotainment ya gari lako, ambapo itakua inaunganisha simu yako ya Android au iPhone na gari lako pindi tu utakapoingia kwenye gari.
images (13).jpeg

Ila inamaanisha ukiwa na mke wako mfano anaweza akasoma msg za simu yako kwenye screen au mtu akipiga anaona "Fundi Bomba ❤️❤️❤️" anapiga. Kazi kwako. Ila pia utakua na access ya App za muhimu mfano Google Map ambayo ni ya msaada sana kwa madereva.

5. Reverse Camera & Parking Sensors
Hii feature inasaidia wakati wa kurudi reverse, unakua unaona kwa nyuma na sensors zitasaidia kupiga alarm unavyotaka kugonga kitu wakati wa reverse au ata kwenda mbele.

images (14).jpeg
Hizi ni za muhimu sana ila pia unaweza kuziweka aftermarket kwa gari lolote.

Nimeona nitaje izo tu tano (5) kwa maelezo kidogo ila tunaweza ongeza hizi tano nyingine ambazo sio za muhimu sana:

6. Automatic Doors Lock (Walk Away Locking System) & Keyless Entry
7. Automatic Wipers Sensors & Headlights adjustment
8. Lane Departure (Lane Assist ) & Blind Spot Monitoring system
9. Automatic Emergency Braking (hii inaweza kwenda na Cruise Control pale juu)
10. AC vents kwenye seats za nyuma.

Kila mtu ana features anazozipenda na mwingine anaweza asizipende kabisa. Ila angalau chache zinaweza kuongeza driving experience yako.

Pamoja
 
Wakuu kwema.

Najua kwa namna moja au nyingine, kuna Mjapan uko anazinguka na gari lako bila yeye kujua. Siku zake zinahesabika.

Sasa, gari siku hizi halijawa "kifaa" cha kukutoa point A kwenda B hafu basi. Hapana. Izo zilikua enzi za Land Rover 109 sio sahivi. Gari imekua zaidi ya chombo cha usafiri. Kukaa ndani na kuendesha lazima uwe comfortable, wewe na abiria wako msishuke "mmechoka".

Sasa kuna baadhi (sio zote lazima ziwepo kwenye gari moja) ya features ambazo unaweza pia kuzizingatia next time unavoagiza chuma:

1. Start-Stop system
Hii ni Teknolojia ya gari kujizima ukiwa kwenye foleni au umesimama huku gear bado ipo D.
View attachment 2969843
Lengo kuu likiwa ni kupunguza matumizi ya mafuta na emissions kwenye mazingira.


2. Cruise Control
Hii ni feature ambayo inakusaidia dereva kuset speed flani kisha unaachia mguu kwenye accelerator ila gari lita maintain iyo speed uliyoset constant.
View attachment 2969845
Zimekua advanced siku hizi kuna Adaptive Cruise Control ambazo zenyewe zitapunguza speed au hadi kusimama kama mbele kuna gari, ukuta au kitu chochote.

3. Heads up Display
Hii ni Feature ambayo inamsaidia dereva kuendesha gari bila kutoa macho mbele na kuangalia dashboard kwasababu inaleta information zote za muhimu mfano speed, kwenye kioo cha mbele kwa mtindo wa projection.

View attachment 2969846Magari mengi sana sahivi yana izo features.

4. Android Auto & Apple Car Play
Hii ni feature ya kwenye infotainment ya gari lako, ambapo itakua inaunganisha simu yako ya Android au iPhone na gari lako pindi tu utakapoingia kwenye gari.
View attachment 2969847
Ila inamaanisha ukiwa na mke wako mfano anaweza akasoma msg za simu yako kwenye screen au mtu akipiga anaona "Fundi Bomba ❤️❤️❤️" anapiga. Kazi kwako. Ila pia utakua na access ya App za muhimu mfano Google Map ambayo ni ya msaada sana kwa madereva.

5. Reverse Camera & Parking Sensors
Hii feature inasaidia wakati wa kurudi reverse, unakua unaona kwa nyuma na sensors zitasaidia kupiga alarm unavyotaka kugonga kitu wakati wa reverse au ata kwenda mbele.

View attachment 2969849Hizi ni za muhimu sana ila pia unaweza kuziweka aftermarket kwa gari lolote.

Nimeona nitaje izo tu tano (5) kwa maelezo kidogo ila tunaweza ongeza hizi tano nyingine ambazo sio za muhimu sana:

6. Automatic Doors Lock (Walk Away Locking System) & Keyless Entry
7. Automatic Wipers Sensors & Headlights adjustment
8. Lane Departure (Lane Assist ) & Blind Spot Monitoring system
9. Automatic Emergency Braking (hii inaweza kwenda na Cruise Control pale juu)
10. AC vents kwenye seats za nyuma.

Kila mtu ana features anazozipenda na mwingine anaweza asizipende kabisa. Ila angalau chache zinaweza kuongeza driving experience yako.

Pamoja
Huu uzi nauhifadhi vipi kwa matumizi ya baadae?
 
Wakuu kwema.

Najua kwa namna moja au nyingine, kuna Mjapan uko anazinguka na gari lako bila yeye kujua. Siku zake zinahesabika.

Sasa, gari siku hizi halijawa "kifaa" cha kukutoa point A kwenda B hafu basi. Hapana. Izo zilikua enzi za Land Rover 109 sio sahivi. Gari imekua zaidi ya chombo cha usafiri. Kukaa ndani na kuendesha lazima uwe comfortable, wewe na abiria wako msishuke "mmechoka".

Sasa kuna baadhi (sio zote lazima ziwepo kwenye gari moja) ya features ambazo unaweza pia kuzizingatia next time unavoagiza chuma:

1. Start-Stop system
Hii ni Teknolojia ya gari kujizima ukiwa kwenye foleni au umesimama huku gear bado ipo D.
View attachment 2969843
Lengo kuu likiwa ni kupunguza matumizi ya mafuta na emissions kwenye mazingira.


2. Cruise Control
Hii ni feature ambayo inakusaidia dereva kuset speed flani kisha unaachia mguu kwenye accelerator ila gari lita maintain iyo speed uliyoset constant.
View attachment 2969845
Zimekua advanced siku hizi kuna Adaptive Cruise Control ambazo zenyewe zitapunguza speed au hadi kusimama kama mbele kuna gari, ukuta au kitu chochote.

3. Heads up Display
Hii ni Feature ambayo inamsaidia dereva kuendesha gari bila kutoa macho mbele na kuangalia dashboard kwasababu inaleta information zote za muhimu mfano speed, kwenye kioo cha mbele kwa mtindo wa projection.

View attachment 2969846Magari mengi sana sahivi yana izo features.

4. Android Auto & Apple Car Play
Hii ni feature ya kwenye infotainment ya gari lako, ambapo itakua inaunganisha simu yako ya Android au iPhone na gari lako pindi tu utakapoingia kwenye gari.
View attachment 2969847
Ila inamaanisha ukiwa na mke wako mfano anaweza akasoma msg za simu yako kwenye screen au mtu akipiga anaona "Fundi Bomba ❤️❤️❤️" anapiga. Kazi kwako. Ila pia utakua na access ya App za muhimu mfano Google Map ambayo ni ya msaada sana kwa madereva.

5. Reverse Camera & Parking Sensors
Hii feature inasaidia wakati wa kurudi reverse, unakua unaona kwa nyuma na sensors zitasaidia kupiga alarm unavyotaka kugonga kitu wakati wa reverse au ata kwenda mbele.

View attachment 2969849Hizi ni za muhimu sana ila pia unaweza kuziweka aftermarket kwa gari lolote.

Nimeona nitaje izo tu tano (5) kwa maelezo kidogo ila tunaweza ongeza hizi tano nyingine ambazo sio za muhimu sana:

6. Automatic Doors Lock (Walk Away Locking System) & Keyless Entry
7. Automatic Wipers Sensors & Headlights adjustment
8. Lane Departure (Lane Assist ) & Blind Spot Monitoring system
9. Automatic Emergency Braking (hii inaweza kwenda na Cruise Control pale juu)
10. AC vents kwenye seats za nyuma.

Kila mtu ana features anazozipenda na mwingine anaweza asizipende kabisa. Ila angalau chache zinaweza kuongeza driving experience yako.

Pamoja
Tatizo umeicopy n kuipaste bila kujifanyia detailed analysis. Ninaamini hiyo list ni kwa ajili ya watu walioendelea. Kuna vitu sisi tunahitaji kuvipa kipaumbele kabla ya vilivyotajwa hapo juu kama:
1. Ulaji wa mafuta
2. Stability maana barabara zetu haswa highway zina mabonde mabonde sana kutokana na vyombo vizito.
3. Gari ipo chini kiasi gani kutoka usawa wa ardhi? Barabara zetu zina mituta kibao, gari iliyochini sana itakuvunjia bumper kila uchao
4. Upatikanaji na bei za vifaa vya gari hiyo husika, maana spare parts za gari nyingine ni stress kuzipata.
5. Urafiki wa teknology ya gari kwa mafundi wetu. Kuna gari complicated sana, mafundi wachache sana ndio wenye ubavu wa kuikarabati.
Nk..
 
Tatizo umeicopy n kuipaste bila kujifanyia detailed analysis. Ninaamini hiyo list ni kwa ajili ya watu walioendelea. Kuna vitu sisi tunahitaji kuvipa kipaumbele kabla ya vilivyotajwa hapo juu kama:
1. Ulaji wa mafuta
2. Stability maana barabara zetu haswa highway zina mabonde mabonde sana kutokana na vyombo vizito.
3. Gari ipo chini kiasi gani kutoka usawa wa ardhi? Barabara zetu zina mituta kibao, gari iliyochini sana itakuvunjia bumper kila uchao
4. Upatikanaji na bei za vifaa vya gari hiyo husika, maana spare parts za gari nyingine ni stress kuzipata.
5. Urafiki wa teknology ya gari kwa mafundi wetu. Kuna gari complicated sana, mafundi wachache sana ndio wenye ubavu wa kuikarabati.
Nk..
Mkuu, very disappointing. Nimeandika mwenyewe from scratch. Then unasema tu copy na paste.

Sijui unatumia gari gani na la mwaka gani ila izo features zote zina umuhimu wake kwa namna moja au nyingine, na kama nilivosema mwanzoni na mwishoni, sio kila mtu atazipenda, labda na wewe hujazipenda.

Kusema features ni kwaajili ya "watu walioendelea" sijui ata unamaanisha nini? Stop-Start inasaidia kupunguza matumizi ya mafuta, sasa mtu "alieendelea" anataka matumizi madogo ya mafuta?

Nikija kwenye maswali au point zako:
1. Ndio baadhi ya technology mfano stop start imeonekana ikisaidia sana ulaji wa mafuta kwa kupunguza "idling time".

Study zinaonesha idling inatumia approximately 0.6L ya mafuta kwa saa kwa litre of engine displacement. Kama upo vizuri mathe, mfano gari lako lina cc 3500 (3.5L) inamaanisha likikaa idle kwa saa 1 litatumia 2L za mafuta.

2. Kama nilivosema izo ni baadhi ya features. Na hii ni open discussion ata wewe ungeweza kuongezea.

Mfano: Stability ungesema mtu aangalie feature ya "Air Suspension" wakati ananunua gari. Au aangalie tyre profiles wakati anachagua tyres. Ungekua umesaidia.

3. Ground clearance sio feature. Ni kama useme gari refu au fupi. Izo sio feature.

4. Issue ya spare imeingiaje kwenye feature. Aisee.

5. IDK features zimeingiaje na ufundi, lakini umasikini wa kuendelea kusema gari fulani halina fundi au gari fulani spare za shida, umeshaongelewa sana kwenye jukwaa lakini bado unaendelea na izo fikra.

Mwisho, narudia kusema izo features sio kwa kila mtu. Kama ambavyo kuna mtu anataka automatic transmission na mwingine manual. Imagine ningesema feature ya FSD (Full Self Driving) mfano ya Tesla? Si ungenifuata huku Busisi unikate shoka.

Be Positive.
 
Mkuu, very disappointing. Nimeandika mwenyewe from scratch. Then unasema tu copy na paste.

Sijui unatumia gari gani na la mwaka gani ila izo features zote zina umuhimu wake kwa namna moja au nyingine, na kama nilivosema mwanzoni na mwishoni, sio kila mtu atazipenda, labda na wewe hujazipenda.

Kusema features ni kwaajili ya "watu walioendelea" sijui ata unamaanisha nini? Stop-Start inasaidia kupunguza matumizi ya mafuta, sasa mtu "alieendelea" anataka matumizi madogo ya mafuta?

Nikija kwenye maswali au point zako:
1. Ndio baadhi ya technology mfano stop start imeonekana ikisaidia sana ulaji wa mafuta kwa kupunguza "idling time".

Study zinaonesha idling inatumia approximately 0.6L ya mafuta kwa saa kwa litre of engine displacement. Kama upo vizuri mathe, mfano gari lako lina cc 3500 (3.5L) inamaanisha likikaa idle kwa saa 1 litatumia 2L za mafuta.

2. Kama nilivosema izo ni baadhi ya features. Na hii ni open discussion ata wewe ungeweza kuongezea.

Mfano: Stability ungesema mtu aangalie feature ya "Air Suspension" wakati ananunua gari. Au aangalie tyre profiles wakati anachagua tyres. Ungekua umesaidia.

3. Ground clearance sio feature. Ni kama useme gari refu au fupi. Izo sio feature.

4. Issue ya spare imeingiaje kwenye feature. Aisee.

5. IDK features zimeingiaje na ufundi, lakini umasikini wa kuendelea kusema gari fulani halina fundi au gari fulani spare za shida, umeshaongelewa sana kwenye jukwaa lakini bado unaendelea na izo fikra.

Mwisho, narudia kusema izo features sio kwa kila mtu. Kama ambavyo kuna mtu anataka automatic transmission na mwingine manual. Imagine ningesema feature ya FSD (Full Self Driving) mfano ya Tesla? Si ungenifuata huku Busisi unikate shoka.

Be Positive.
Nakupongeza kwa Busara..
Asikuumize kichwa ..
 
Tatizo umeicopy n kuipaste bila kujifanyia detailed analysis. Ninaamini hiyo list ni kwa ajili ya watu walioendelea. Kuna vitu sisi tunahitaji kuvipa kipaumbele kabla ya vilivyotajwa hapo juu kama:
1. Ulaji wa mafuta
2. Stability maana barabara zetu haswa highway zina mabonde mabonde sana kutokana na vyombo vizito.
3. Gari ipo chini kiasi gani kutoka usawa wa ardhi? Barabara zetu zina mituta kibao, gari iliyochini sana itakuvunjia bumper kila uchao
4. Upatikanaji na bei za vifaa vya gari hiyo husika, maana spare parts za gari nyingine ni stress kuzipata.
5. Urafiki wa teknology ya gari kwa mafundi wetu. Kuna gari complicated sana, mafundi wachache sana ndio wenye ubavu wa kuikarabati.
Nk..

Uzi unaelezea features za kwenye gari mkuu...

Hayo umeyaandika ni muktadha mwingine...
 
Mkuu, very disappointing. Nimeandika mwenyewe from scratch. Then unasema tu copy na paste.

Sijui unatumia gari gani na la mwaka gani ila izo features zote zina umuhimu wake kwa namna moja au nyingine, na kama nilivosema mwanzoni na mwishoni, sio kila mtu atazipenda, labda na wewe hujazipenda.

Kusema features ni kwaajili ya "watu walioendelea" sijui ata unamaanisha nini? Stop-Start inasaidia kupunguza matumizi ya mafuta, sasa mtu "alieendelea" anataka matumizi madogo ya mafuta?

Nikija kwenye maswali au point zako:
1. Ndio baadhi ya technology mfano stop start imeonekana ikisaidia sana ulaji wa mafuta kwa kupunguza "idling time".

Study zinaonesha idling inatumia approximately 0.6L ya mafuta kwa saa kwa litre of engine displacement. Kama upo vizuri mathe, mfano gari lako lina cc 3500 (3.5L) inamaanisha likikaa idle kwa saa 1 litatumia 2L za mafuta.

2. Kama nilivosema izo ni baadhi ya features. Na hii ni open discussion ata wewe ungeweza kuongezea.

Mfano: Stability ungesema mtu aangalie feature ya "Air Suspension" wakati ananunua gari. Au aangalie tyre profiles wakati anachagua tyres. Ungekua umesaidia.

3. Ground clearance sio feature. Ni kama useme gari refu au fupi. Izo sio feature.

4. Issue ya spare imeingiaje kwenye feature. Aisee.

5. IDK features zimeingiaje na ufundi, lakini umasikini wa kuendelea kusema gari fulani halina fundi au gari fulani spare za shida, umeshaongelewa sana kwenye jukwaa lakini bado unaendelea na izo fikra.

Mwisho, narudia kusema izo features sio kwa kila mtu. Kama ambavyo kuna mtu anataka automatic transmission na mwingine manual. Imagine ningesema feature ya FSD (Full Self Driving) mfano ya Tesla? Si ungenifuata huku Busisi unikate shoka.

Be Positive.
Huyo jamaa usingemjibu maana wajinga hawaishi hapa jukwaani na wengine Wana mioyo ya chuki Tu
 
Back
Top Bottom