Baadhi ya Features za kuzingatia utakavyopanga kununua gari lako lijalo

Baadhi ya Features za kuzingatia utakavyopanga kununua gari lako lijalo

Hiyo namba 3 nimeipenda Sana maana features nyingi kama hizo zipo kwenye magari ya 2014-2024
Heads up Display unyama aisee. Yeah mfano BMW F30 za kuanzia 2014. Tatizo mkuu izo features ukizianza, kamwe hauziachi.

Mfano iyo HUD mi nishasahu kuangalia dashboard kujua speed nikiwa naendesha.

Wameongeza mbwembwe sahivi zinaonesha notification zote mfano mafuta yakiwa low, kukata kona, hadi speed limit (hii habari mbaya kwa matrafiki).

Zipo Aftermarket unaweza kuweka kwenye gari lolote, ila haitakua the best kama iliokuja na gari.
 
Hiyo namba 3 nimeipenda Sana maana features nyingi kama hizo zipo kwenye magari ya 2014-2024
Heads up Display unyama aisee. Yeah mfano BMW F30 za kuanzia 2014. Tatizo mkuu izo features ukizianza, kamwe hauziachi.

Mfano iyo HUD mi nishasahu kuangalia dashboard kujua speed nikiwa naendesha.

Wameongeza mbwembwe sahivi zinaonesha notification zote mfano mafuta yakiwa low, kukata kona, hadi speed limit (hii habari mbaya kwa matrafiki).

Zipo Aftermarket unaweza kuweka kwenye gari lolote, ila haitakua the best kama iliokuja na gari.
 
Heads up Display unyama aisee. Yeah mfano BMW F30 za kuanzia 2014. Tatizo mkuu izo features ukizianza, kamwe hauziachi.

Mfano iyo HUD mi nishasahu kuangalia dashboard kujua speed nikiwa naendesha.

Wameongeza mbwembwe sahivi zinaonesha notification zote mfano mafuta yakiwa low, kukata kona, hadi speed limit (hii habari mbaya kwa matrafiki).

Zipo Aftermarket unaweza kuweka kwenye gari lolote, ila haitakua the best kama iliokuja na gari.
Nikibadilisha gari lazima nifunge hiyo system aisee.
 
Wakuu kwema.

Najua kwa namna moja au nyingine, kuna Mjapan uko anazinguka na gari lako bila yeye kujua. Siku zake zinahesabika.

Sasa, gari siku hizi halijawa "kifaa" cha kukutoa point A kwenda B hafu basi. Hapana. Izo zilikua enzi za Land Rover 109 sio sahivi. Gari imekua zaidi ya chombo cha usafiri. Kukaa ndani na kuendesha lazima uwe comfortable, wewe na abiria wako msishuke "mmechoka".

Sasa kuna baadhi (sio zote lazima ziwepo kwenye gari moja) ya features ambazo unaweza pia kuzizingatia next time unavoagiza chuma:

1. Start-Stop system
Hii ni Teknolojia ya gari kujizima ukiwa kwenye foleni au umesimama huku gear bado ipo D.
View attachment 2969843
Lengo kuu likiwa ni kupunguza matumizi ya mafuta na emissions kwenye mazingira.


2. Cruise Control
Hii ni feature ambayo inakusaidia dereva kuset speed flani kisha unaachia mguu kwenye accelerator ila gari lita maintain iyo speed uliyoset constant.
View attachment 2969845
Zimekua advanced siku hizi kuna Adaptive Cruise Control ambazo zenyewe zitapunguza speed au hadi kusimama kama mbele kuna gari, ukuta au kitu chochote.

3. Heads up Display
Hii ni Feature ambayo inamsaidia dereva kuendesha gari bila kutoa macho mbele na kuangalia dashboard kwasababu inaleta information zote za muhimu mfano speed, kwenye kioo cha mbele kwa mtindo wa projection.

View attachment 2969846Magari mengi sana sahivi yana izo features.

4. Android Auto & Apple Car Play
Hii ni feature ya kwenye infotainment ya gari lako, ambapo itakua inaunganisha simu yako ya Android au iPhone na gari lako pindi tu utakapoingia kwenye gari.
View attachment 2969847
Ila inamaanisha ukiwa na mke wako mfano anaweza akasoma msg za simu yako kwenye screen au mtu akipiga anaona "Fundi Bomba ❤️❤️❤️" anapiga. Kazi kwako. Ila pia utakua na access ya App za muhimu mfano Google Map ambayo ni ya msaada sana kwa madereva.

5. Reverse Camera & Parking Sensors
Hii feature inasaidia wakati wa kurudi reverse, unakua unaona kwa nyuma na sensors zitasaidia kupiga alarm unavyotaka kugonga kitu wakati wa reverse au ata kwenda mbele.

View attachment 2969849Hizi ni za muhimu sana ila pia unaweza kuziweka aftermarket kwa gari lolote.

Nimeona nitaje izo tu tano (5) kwa maelezo kidogo ila tunaweza ongeza hizi tano nyingine ambazo sio za muhimu sana:

6. Automatic Doors Lock (Walk Away Locking System) & Keyless Entry
7. Automatic Wipers Sensors & Headlights adjustment
8. Lane Departure (Lane Assist ) & Blind Spot Monitoring system
9. Automatic Emergency Braking (hii inaweza kwenda na Cruise Control pale juu)
10. AC vents kwenye seats za nyuma.

Kila mtu ana features anazozipenda na mwingine anaweza asizipende kabisa. Ila angalau chache zinaweza kuongeza driving experience yako.

Pamoja
Umeweka dondoo za muhimu sana mkuu.
Gari zonazokuja na hizo features nyingi ni kuanzia 2012. Nje na hapo ni mwendo wa after market tu.
 
1713703172842.png

Chuma hiyo hapo, hakuna cruise control wala android system. Mchawi wese lako tu.
 
Sure. Uzuri hapo features nyingi unaweza kuzipata aftermarket.
Ila taratibu gari za miaka ya karibuni zinashuka bei ukiacha toyota. Mfano sasa hivi Mitsubishi Outlender ya 2015 gharama za TRA ni 13m. Means ukiwa na 26-30 unaipata na hizo features, kama sio zote basi utazikosa chache sana.
 
Ila taratibu gari za miaka ya karibuni zinashuka bei ukiacha toyota. Mfano sasa hivi Mitsubishi Outlender ya 2015 gharama za TRA ni 13m. Means ukiwa na 26-30 unaipata na hizo features, kama sio zote basi utazikosa chache sana.
Hiyo 3rd generation ya Outlander almost vyote unapata. Ina lane departure system, adaptive cruise control, Hill Asist (hii feature tamu pia) na airbags za kutosha hadi kwenye miguu (upande wa dereva na abiria wa mbele)

Mitsubishi_Outlander_-_PHEV_-_Free_Car_Picture_-_Give_Credit_Via_Link_-_41781113164.jpg

Nimeshangaa sana bei yake aisee.
 
Wakuu kwema.

Najua kwa namna moja au nyingine, kuna Mjapan uko anazinguka na gari lako bila yeye kujua. Siku zake zinahesabika.

Sasa, gari siku hizi halijawa "kifaa" cha kukutoa point A kwenda B hafu basi. Hapana. Izo zilikua enzi za Land Rover 109 sio sahivi. Gari imekua zaidi ya chombo cha usafiri. Kukaa ndani na kuendesha lazima uwe comfortable, wewe na abiria wako msishuke "mmechoka".

Sasa kuna baadhi (sio zote lazima ziwepo kwenye gari moja) ya features ambazo unaweza pia kuzizingatia next time unavoagiza chuma:

1. Start-Stop system
Hii ni Teknolojia ya gari kujizima ukiwa kwenye foleni au umesimama huku gear bado ipo D.
View attachment 2969843
Lengo kuu likiwa ni kupunguza matumizi ya mafuta na emissions kwenye mazingira.


2. Cruise Control
Hii ni feature ambayo inakusaidia dereva kuset speed flani kisha unaachia mguu kwenye accelerator ila gari lita maintain iyo speed uliyoset constant.
View attachment 2969845
Zimekua advanced siku hizi kuna Adaptive Cruise Control ambazo zenyewe zitapunguza speed au hadi kusimama kama mbele kuna gari, ukuta au kitu chochote.

3. Heads up Display
Hii ni Feature ambayo inamsaidia dereva kuendesha gari bila kutoa macho mbele na kuangalia dashboard kwasababu inaleta information zote za muhimu mfano speed, kwenye kioo cha mbele kwa mtindo wa projection.

View attachment 2969846Magari mengi sana sahivi yana izo features.

4. Android Auto & Apple Car Play
Hii ni feature ya kwenye infotainment ya gari lako, ambapo itakua inaunganisha simu yako ya Android au iPhone na gari lako pindi tu utakapoingia kwenye gari.
View attachment 2969847
Ila inamaanisha ukiwa na mke wako mfano anaweza akasoma msg za simu yako kwenye screen au mtu akipiga anaona "Fundi Bomba [emoji3590][emoji3590][emoji3590]" anapiga. Kazi kwako. Ila pia utakua na access ya App za muhimu mfano Google Map ambayo ni ya msaada sana kwa madereva.

5. Reverse Camera & Parking Sensors
Hii feature inasaidia wakati wa kurudi reverse, unakua unaona kwa nyuma na sensors zitasaidia kupiga alarm unavyotaka kugonga kitu wakati wa reverse au ata kwenda mbele.

View attachment 2969849Hizi ni za muhimu sana ila pia unaweza kuziweka aftermarket kwa gari lolote.

Nimeona nitaje izo tu tano (5) kwa maelezo kidogo ila tunaweza ongeza hizi tano nyingine ambazo sio za muhimu sana:

6. Automatic Doors Lock (Walk Away Locking System) & Keyless Entry
7. Automatic Wipers Sensors & Headlights adjustment
8. Lane Departure (Lane Assist ) & Blind Spot Monitoring system
9. Automatic Emergency Braking (hii inaweza kwenda na Cruise Control pale juu)
10. AC vents kwenye seats za nyuma.

Kila mtu ana features anazozipenda na mwingine anaweza asizipende kabisa. Ila angalau chache zinaweza kuongeza driving experience yako.

Pamoja
Vichache sana vinatufaa nchi kama Tanzania ilijaa bajaji na boda utadhani ni dampu la takataka.
 
Hiyo 3rd generation ya Outlander almost vyote unapata. Ina lane departure system, adaptive cruise control, Hill Asist (hii feature tamu pia) na airbags za kutosha hadi kwenye miguu (upande wa dereva na abiria wa mbele)

View attachment 2970006
Nimeshangaa sana bei yake aisee.
Last month ilikuwa imesimama pale TRA ila kuanzia April ikadrop sana. Ngoja nijichange hadi December niruke nalo kupitia offer za kumalizia mwaka. Ukiwa na 30m inaingia barabarani na chuma safi kabisa ya 2015.
 
Haya magari ya sasa unaweza usimalize kutumia features zote mpaka linachakaa, kuna jingine nimelikuta likiguswa na unyasi tu linalalamika ati linahofu ya kuchubuka rangi
Zinakuwaga Ni sensor Boss hata mtu akisogea karibu yako inaanza kuongea ongea😀😀😀

151afbf2-7772-4de3-a4b6-88c7f6cfb27d.jpeg


Ni kama hizo pembeni zinakuwa mbele na nyuma.
 
Mkuu naomba elimu kdg kuhusu haya magari ambayo yaki-move kwa muda fulani yanatoa sana harufu za mafuta,, hadi inakuwa kero sana ndani ya gari hapa shida inakuwa nini? Wengine husema gari limechoka! naomba ufafanuzi wa kitaalamu gari inachoka vipi?
Hiyo itakua shida ya kimakenikia. Hapo mafundi watatusaidia mzee angekua hewani JituMirabaMinne angemaliza.
 
Back
Top Bottom