Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
""Huduma za kiafya zipo kwa kumponya mtanzania mgonjwa, wagonjwa wengine wapo kwenye mashine mbali mbali""Wewe kichwa maji kweli!!Upo nchi hii kweli?Barua yao ya awali inayosema wamekaa meza moja na wameshindwa kupata mwafaka umeisoma???Tatizo lako ni UMALAYA wa KISIASA ulionao .
""Suala la utibabu juu ya afya na uhai wa watu, sio sawa na suala la mwalimu kugoma kufundisha, jifunze kupima mambo!""Wakae mara ngapi, if you have no data better keep quiet
Hatuna serikali kwa sasa bali genge la wapigadili wanaojali matumbo yao tuView attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
dahHatakama ni wewe Panadol kwenye bima inauzwa sh.20 wafanyakiz wako Pesa ya mshahara itatoka wapi?
Nb:Wanasamba tuendelee kukata tickets kwa wingiView attachment 2920860
Wewe umeona mbali Sana huu upuuzi usingeweza kutokea enzi ya magufuliMama anapokuwa kichwa cha familia watoto huleta mizaha sana
Hangaya hana hulka hiyoTimua Waziri, Naibu, Mganga Mkuu Wa Serikali, Na Wengineo Haraka
Unatoka Sakata La Sukari Sasa BIMA
HAKIKA ....kila kitu kiko ICUHatuna serikali kwa sasa bali genge la wapigadili wanaojali matumbo yao tu
Hakuna matibabu ya bure bongo, serikali iwajibikeUwezi mpa mgonjwa mahututi masaa 48 huko ni kukosa busara na medical ethics. Lazima umalizie huduma uliyokwisha anza kuitoa.
Ndugu zake wangeyajua hayo wasingempeleka huko, nchi zingine utaingia kwenye mgogoro mkubwa wa kisheria kwa maamuzi hayo watu wakipoteza maisha.
Hiyo ni medical negligence, worst unaweza pewa kesi ya manslaughter, malizia huduma uliyoanza kutoa; na uwezi kukatisha mkataba wa huduma katikati. Hao mahututi wakipata madhara hospitali aiwezi shinda kesi ndugu au serikali ikiwashitaki.
Wengine tu kisha hamia Burundi 😅🙏Uko nchi gani ndugu?
Mpaka mihogo ikiacha kuingia kutoka Bungu na kutoka maeneo mengine ya mkoa wa Pwani ndio kidogo tunaweza tukashituka hapa Dar na nyanya za Kachumbari !HAKIKA ....kila kitu kiko ICU
Umeme,Maji,Dola,Mafuta,Vitunguu,Mfumuko wa bei
Mimi naona NHIf nao wakaze buti, hakuna kupeleka wateja huko, na serikali na waajiri Kwa jumla wanatakiwa kuangalia hii mifuko ya bima ya Afya inawasaidiaje wafanyakazi wanapo staafu. Au wao wakisha kula mshiko wao hawawajali wafanyakazi tena.View attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
Serikali inapokea michango,inakulaView attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
CC YodaNadhani hapo wametoa huduma ya awali kwa siku mbili.
Kumbuka nao wanafanya biashara tatizo nikwamba hawajafikia muafaka. YAANI SERIKALI IMEANGALIA MASLAHI YAKE KWAHIYO UNATAKA HOSPITALI BINAFASI NDIO ZIGHARAMIE MATIBABU YA WANANCHI?
SUluhisho la kwanza wafanyakazi wasilazimishwe kuwa wanachama wa NHIF, Iwe lazima kila mfanyakazi awe na bima lakini awe na uhuru wa kuchagua mfuko wa bima wa kujiunga nao ikiwemo mifuko ya binafsi kama Strategis hata kama watalazimika kullipia zaidi. Pia kwa wasioajiriwa iwe hivyo hivyo. Mtu mwenyewe ndiyo ataangalia kipato chake kinamruhusu akate bima mfuko upi na package gani.View attachment 2920691View attachment 2920692
View attachment 2920693
Baadhi ya hospital binafsi zimeshaweka matangazo kama yanavyosomeka hapo juu
Nini sulihisho la hili?tiririka ili serikali ipate madini na kuyafanyia kazi inawezekana kabisa hawajui nini cha kufanya kunusuru hilo suala nyeti la afya.
Wameigana😁Mbona hayo matangazo ni kama yameandikwa na mtu mmoja?