BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 525
- 1,257
Maziwa ya kwanza ya mama si mazuri kwa mtoto yanapaswa kumwagwa
Kunyonyesha humfanya mama anenepe kupindukia
Maziwa ya mama pekee hayawezi kumridhisha mtoto wa umri wa miezi 0 hadi sita.
Baadhi ya vyakula si vizuri kwa wanawake wanaonyonyesha
Ni lazima mtoto mchanga anywe maji mara baada ya kuzaliwa
Maziwa ya mama humfanya mtoto ajihisi mwenye kiu.
Baadhi ya wanawake hudai wanaponyonyesha matiti yao husinyaa na kuanguka.
Kunyonyesha humfanya mama anenepe kupindukia
Maziwa ya mama pekee hayawezi kumridhisha mtoto wa umri wa miezi 0 hadi sita.
Baadhi ya vyakula si vizuri kwa wanawake wanaonyonyesha
Ni lazima mtoto mchanga anywe maji mara baada ya kuzaliwa
Maziwa ya mama humfanya mtoto ajihisi mwenye kiu.
Baadhi ya wanawake hudai wanaponyonyesha matiti yao husinyaa na kuanguka.