Baadhi ya Kauli za maudhi ya viongozi wa Tanzagiza wakisha shiba

Baadhi ya Kauli za maudhi ya viongozi wa Tanzagiza wakisha shiba

1. Kuleni NYASI, ndege ya RAIS lazima inunuliwe

2. MILLION 10 NI MBOGA YA NYANYA

3. Acheni wivu wà KIKE.

4. FOLENI Dar ni ishara ya maisha bora

5. Asiyeweza kulipa NAULI APIGE MBIZI

6. KIFO NI KIFO TU

7. KATIBA NI KIJITABU TU

8. WATU WAZURI HAWAFI

9. Nilisema wakati ule na narudia tena anayeona ananyanyaswa AHAMIE BURUNDI, hii ni sheria na nilipendekeza MIMI TOZO HIZO sina uwezo wa kuzifuta.

10. MASKINI ambaye hana cha kulipa hapewi mkopo.

11. Hakuna siku Mtanzania mmoja mmoja ATAGONGEWA MLANGONI kwake kwamba unadaiwa fedha hizi kwa sababu nchi yako ilikopa, hakuna.

12. Kwanza WACHAWI WAMESHA KUFA

N:B
Hapa ni kuweka rekodi sawa kwamba wapo viongozi wanaweza kutamka hayo mbele ya kadamnasi. Ipi ni kauli iliyosaulika??
Ongea kwa code viongozi waliotamka kauli hizo.
Kikwete anahusika sana kwenye kifo cha mzee Basil Mramba
 
1. Kuleni NYASI, ndege ya RAIS lazima inunuliwe

2. MILLION 10 NI MBOGA YA NYANYA

3. Acheni wivu wà KIKE.

4. FOLENI Dar ni ishara ya maisha bora

5. Asiyeweza kulipa NAULI APIGE MBIZI

6. KIFO NI KIFO TU

7. KATIBA NI KIJITABU TU

8. WATU WAZURI HAWAFI

9. Nilisema wakati ule na narudia tena anayeona ananyanyaswa AHAMIE BURUNDI, hii ni sheria na nilipendekeza MIMI TOZO HIZO sina uwezo wa kuzifuta.

10. MASKINI ambaye hana cha kulipa hapewi mkopo.

11. Hakuna siku Mtanzania mmoja mmoja ATAGONGEWA MLANGONI kwake kwamba unadaiwa fedha hizi kwa sababu nchi yako ilikopa, hakuna.

12. Kwanza WACHAWI WAMESHA KUFA

N:B
Hapa ni kuweka rekodi sawa kwamba wapo viongozi wanaweza kutamka hayo mbele ya kadamnasi. Ipi ni kauli iliyosaulika??
Ongea kwa code viongozi waliotamka kauli hizo.
Tumemkaribisha Lowassa kwasababu tunataka dola
 
1.Jero mtaiita shilingi mia tano tena kwa heshima 'tafadhali naomba unisaidie shilingi mia tano'. 2.Suruali zinazowabana msizitupe kwenye utawala wangu nawahakikishia zitawatosha tena na kweli zilitutosha. 3.Watu wanyumba moja watagombea majembe angalau hata uwe na tuta la viazi .John Pombe Magufuli.
 
1. Kuleni NYASI, ndege ya RAIS lazima inunuliwe

2. MILLION 10 NI MBOGA YA NYANYA

3. Acheni wivu wà KIKE.

4. FOLENI Dar ni ishara ya maisha bora

5. Asiyeweza kulipa NAULI APIGE MBIZI

6. KIFO NI KIFO TU

7. KATIBA NI KIJITABU TU

8. WATU WAZURI HAWAFI

9. Nilisema wakati ule na narudia tena anayeona ananyanyaswa AHAMIE BURUNDI, hii ni sheria na nilipendekeza MIMI TOZO HIZO sina uwezo wa kuzifuta.

10. MASKINI ambaye hana cha kulipa hapewi mkopo.

11. Hakuna siku Mtanzania mmoja mmoja ATAGONGEWA MLANGONI kwake kwamba unadaiwa fedha hizi kwa sababu nchi yako ilikopa, hakuna.

12. Kwanza WACHAWI WAMESHA KUFA

N:B
Hapa ni kuweka rekodi sawa kwamba wapo viongozi wanaweza kutamka hayo mbele ya kadamnasi. Ipi ni kauli iliyosaulika??
Ongea kwa code viongozi waliotamka kauli hizo.
Maendeleo ya Rais Samia kwa miaka hii mitatu ni kama miujiza -NCHIMBI
 
1.Jero mtaiita shilingi mia tano tena kwa heshima 'tafadhali naomba unisaidie shilingi mia tano'. 2.Suruali zinazowabana msizitupe kwenye utawala wangu nawahakikishia zitawatosha tena na kweli zilitutosha. 3.Watu wanyumba moja watagombea majembe angalau hata uwe na tuta la viazi .John Pombe Magufuli.
Hahahaha 🤣
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Back
Top Bottom