Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Vijana wa namna hiii wana mchangoo mdogo sana kwenye taifa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅Baki na mavi yako
Ubaya UbwelaNaona list iko updated
Nadhani ni makondaKauli no. 5 imekaa kibabe sana aliitoa nani hiyo kauli..🤣
Kikwete anahusika sana kwenye kifo cha mzee Basil Mramba1. Kuleni NYASI, ndege ya RAIS lazima inunuliwe
2. MILLION 10 NI MBOGA YA NYANYA
3. Acheni wivu wà KIKE.
4. FOLENI Dar ni ishara ya maisha bora
5. Asiyeweza kulipa NAULI APIGE MBIZI
6. KIFO NI KIFO TU
7. KATIBA NI KIJITABU TU
8. WATU WAZURI HAWAFI
9. Nilisema wakati ule na narudia tena anayeona ananyanyaswa AHAMIE BURUNDI, hii ni sheria na nilipendekeza MIMI TOZO HIZO sina uwezo wa kuzifuta.
10. MASKINI ambaye hana cha kulipa hapewi mkopo.
11. Hakuna siku Mtanzania mmoja mmoja ATAGONGEWA MLANGONI kwake kwamba unadaiwa fedha hizi kwa sababu nchi yako ilikopa, hakuna.
12. Kwanza WACHAWI WAMESHA KUFA
N:B
Hapa ni kuweka rekodi sawa kwamba wapo viongozi wanaweza kutamka hayo mbele ya kadamnasi. Ipi ni kauli iliyosaulika??
Ongea kwa code viongozi waliotamka kauli hizo.
Tumemkaribisha Lowassa kwasababu tunataka dola1. Kuleni NYASI, ndege ya RAIS lazima inunuliwe
2. MILLION 10 NI MBOGA YA NYANYA
3. Acheni wivu wà KIKE.
4. FOLENI Dar ni ishara ya maisha bora
5. Asiyeweza kulipa NAULI APIGE MBIZI
6. KIFO NI KIFO TU
7. KATIBA NI KIJITABU TU
8. WATU WAZURI HAWAFI
9. Nilisema wakati ule na narudia tena anayeona ananyanyaswa AHAMIE BURUNDI, hii ni sheria na nilipendekeza MIMI TOZO HIZO sina uwezo wa kuzifuta.
10. MASKINI ambaye hana cha kulipa hapewi mkopo.
11. Hakuna siku Mtanzania mmoja mmoja ATAGONGEWA MLANGONI kwake kwamba unadaiwa fedha hizi kwa sababu nchi yako ilikopa, hakuna.
12. Kwanza WACHAWI WAMESHA KUFA
N:B
Hapa ni kuweka rekodi sawa kwamba wapo viongozi wanaweza kutamka hayo mbele ya kadamnasi. Ipi ni kauli iliyosaulika??
Ongea kwa code viongozi waliotamka kauli hizo.
Kauli ya chuma hio JPM. Waliokuwa wanapinga gharama ya kivuko kuwa tsh.200 kutoka tsh.100 iliokuwapo awali.Kauli no. 5 imekaa kibabe sana aliitoa nani hiyo kauli..🤣
Chuma hiko 😀Vijana wa namna hiii wana mchangoo mdogo sana kwenye taifa..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yule msenge dah"Mtoto wa kiume kuuza Uduvi utaolewa" --- Chala Miller.
Maendeleo ya Rais Samia kwa miaka hii mitatu ni kama miujiza -NCHIMBI1. Kuleni NYASI, ndege ya RAIS lazima inunuliwe
2. MILLION 10 NI MBOGA YA NYANYA
3. Acheni wivu wà KIKE.
4. FOLENI Dar ni ishara ya maisha bora
5. Asiyeweza kulipa NAULI APIGE MBIZI
6. KIFO NI KIFO TU
7. KATIBA NI KIJITABU TU
8. WATU WAZURI HAWAFI
9. Nilisema wakati ule na narudia tena anayeona ananyanyaswa AHAMIE BURUNDI, hii ni sheria na nilipendekeza MIMI TOZO HIZO sina uwezo wa kuzifuta.
10. MASKINI ambaye hana cha kulipa hapewi mkopo.
11. Hakuna siku Mtanzania mmoja mmoja ATAGONGEWA MLANGONI kwake kwamba unadaiwa fedha hizi kwa sababu nchi yako ilikopa, hakuna.
12. Kwanza WACHAWI WAMESHA KUFA
N:B
Hapa ni kuweka rekodi sawa kwamba wapo viongozi wanaweza kutamka hayo mbele ya kadamnasi. Ipi ni kauli iliyosaulika??
Ongea kwa code viongozi waliotamka kauli hizo.
Koomer yule Hana akili.🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yule msenge dah
Duh!Ukitaka kula kubali kuliwa by mzee wa msoga.
Hahahaha 🤣1.Jero mtaiita shilingi mia tano tena kwa heshima 'tafadhali naomba unisaidie shilingi mia tano'. 2.Suruali zinazowabana msizitupe kwenye utawala wangu nawahakikishia zitawatosha tena na kweli zilitutosha. 3.Watu wanyumba moja watagombea majembe angalau hata uwe na tuta la viazi .John Pombe Magufuli.
"Mtwaliwa."Kauli no. 5 imekaa kibabe sana aliitoa nani hiyo kauli..🤣
hapana, ni ' Mtwaliwa' aliyesema hiviN
Nadhani ni makonda