MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
-
- #221
Kuna muda kunakuwa hakuna cha kudanganya inabidi nyeupe kama theluji uiite nyeusi kama oil chafu.Kuna mwingine nilikuta Ganda la P2 chini ya uvungu kumuuliza akanilazimisha kuwa ni mimi ndio nimekunywa tena akafoka kua najizuia kushika ujauzito wake… yule jamaa aling’ang’ania sana.. huwezi amini alinilazimisha nikubali wakati hata hizo p2 sikuwahi kuzijua wala kutumia
Wanaume mtachomwa na gas
Poa kijana, unaendeleaje?🤣🤣Mshangazi mwe ye titi na tako lako mambo.
Wee mie sio kikana naweza kukupeleka hospital mshangazi....usidjani kisa kibamia ukanichukulia poaPoa kijana, unaendeleaje?🤣🤣
Hahahaaa vijana hizo kazi mnaziweza sana unadhani nina mashaka basi?🤣🤣🤣ndio maana sisi mishangazi tunawapenda.Wee mie sio kikana naweza kukupeleka hospital mshangazi....usidjani kisa kibamia ukanichukulia poa
Mtupe na sie wazee wenzenu tako titi tumbo jamaniHahahaaa vijana hizo kazi mnaziweza sana unadhani nina mashaka basi?🤣🤣🤣ndio maana sisi mishangazi tunawapenda.
Uongo tuKuna muda kunakuwa hakuna cha kudanganya inabidi nyeupe kama theluji uiite nyeusi kama oil chafu.
Ndio awe amekupenda sasa sio unabeba madhaifu ya mtu then hata hakupendiHuo ndio uhalisia....ukiweza kubeba matatizo ya mwanaume wako kama yako hawezi kukuacha kamwe... Atahangaika lakini mwisho atarudi kwako kukukabidhi chochote Mungu alichombariki.
Yaani atakua dhaifu kwako na atakufanya namba 1 ndipo wafate wazazi wake
Unafikiri mwanaume wako akichepuka hakupendi?Ndio awe amekupenda sasa sio unabeba madhaifu ya mtu then hata hakupendi
bro unasound too weak kwa hawa malaya😂😂😂Mtu anakuja kwako na kuanza kutamani vitu kisha kuchukua haijakaa poa. Mimi nilikuwa na track suit yangu nzuri sana ya bei mbaya ila tayari wameshachukua.
Mmoja alichukua jacket na mwingine akachukua track ya chini. Ni kama waligawana. Tshirts kadhaa pia zimechukuliwa.
Majuzi hapa nilinunua blender baada ya kuona ni bora nijitengenezee juice. Bahati mbaya kutokana na ratiba zangu za kuondoka mapema na kurudi usiku nikawa sijaitumia kabisa. Mdada alitaka aondoke nayo ikiwa ndani ya box sijafungua. Hii sio sawa.
Ninajua hali ni ngumu ila mjikaze mnapowatembelea watu wenu. Pia mkija njooni na vitu kama tray la mayai, kuku, hata debe la mpunga ni sawa, kinachobebeka kutoka huko kwenu njoo nacho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkiambiwa mdate mishangazi ya miaka 30 inajitambua mnakataa. Ona sasa mnadate watoto wanatamani kila kitu waamishie kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanajisosomolaaa.Ndiyo atajifunza.
Kuna huyo mmoja yeye kila siku anaenda kwa boyfriend wake akiwa kazini kupika chakula kisha anabeba anapeleka kwao wanaenda kula. Ni mwendo wa kupasua mayai na misoseji tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado T-shirt za Mpira [emoji4][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nianze kubeba madebe ya mpunga[emoji38][emoji38]! Ila Huyo aloondoka na brenda mwizi hio tamaa sio ya kawaida! Mimi napenda saa navaa saa ya baby nakuja nayo hapo hapo kwako ikiwa na Muonekano ule ule [emoji28][emoji28], sometimes ni kutengeneza tu bond ila isiwe too much! Tshirt za watu unachukua kila ukienda anyway kumbe hampendi kwanzia leo sichukui hata punje ya haradari.
Ni kwenda nao kiakili tu.. kukaza sana utaishia kuwa mpiga nyeto kama dronedrake.bro unasound too weak kwa hawa malaya😂😂😂
Ebu kaza hawana shukrani hawa viumbe!!!
Sijui kama unaweza muumiza Mtu unaempendaUnafikiri mwanaume wako akichepuka hakupendi?
Hakuumizi makusudi unakuta ni tamaa zake tu alafu anadhamiria kupoteza ushahidi.Sijui kama unaweza muumiza Mtu unaempenda
Wee yataka moyo!Hakuumizi makusudi unakuta ni tamaa zake tu alafu anadhamiria kupoteza ushahidi.
Siku ukikuta jambo kama hilo mpe pole alafu mpetipeti utaona atakavyobadilika na kuongeza upendo kwako.
Ukichukulia hasira unampoteza kabisa
Vitu kama hivi huweziambiwa na mashoga zako ila ukivijua na kuweza kviishi utaona matunda yake..Wee yataka moyo!
Mi siwezi kukubali unisingizie. Na ukiona nimekubali ujue nimekuweka kiporo 😄Vitu kama hivi huweziambiwa na mashoga zako ila ukivijua na kuweza kviishi utaona matunda yake..
Kuanzia wewe, watoto wenu mpaka wajukuu mtakula mema ya nchi huku uzao wako ukijivunia kuwa na mama bora.... Cha muhimu ukifanya haya ufanye kwa mwanaume anaejua kutafuta hela