Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mimi ni monk, Sina vibinti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni monk, Sina vibinti
Wengi wanaochukua nguo huwa wanaenda kuloga. Hata mimi nahisi nilishawahi logwaHao cha Mtoto kuna hawa wa huku liwale wanaiba Boxer wanaenda kukutengeneza wakunyooshe.
Kuna msichana mmoja atakayemwoa atakuwa kaoa wife material.. alikuja kwangu na tray la mayai (mayai 32)... kwao wanafuga kuku wa mayai.Ngoja nianze kubeba madebe ya mpunga😆😆! Ila Huyo aloondoka na brenda mwizi hio tamaa sio ya kawaida! Mimi napenda saa navaa saa ya baby nakuja nayo hapo hapo kwako ikiwa na Muonekano ule ule 😅😅, sometimes ni kutengeneza tu bond ila isiwe too much! Tshirt za watu unachukua kila ukienda anyway kumbe hampendi kwanzia leo sichukui hata punje ya haradari.
Wote hawana maana kasoro mimi tu memsapMie waliojoin kuanzia 2015 kwenda nyuma huko nawaonaga watu wa maana sana kumbe huwa najidanganya[emoji2356][emoji2356]
Baba lolalolaMimi ni monk, Sina vibinti
Sio wote banaaMie waliojoin kuanzia 2015 kwenda nyuma huko nawaonaga watu wa maana sana kumbe huwa najidanganya🤦♀️🤦♀️
Zulu man with an empty head 😂Baba lolalola
Mshangazi mwe ye titi na tako lako mambo.Mkiambiwa mdate mishangazi ya miaka 30 inajitambua mnakataa. Ona sasa mnadate watoto wanatamani kila kitu waamishie kwao.
Nguvu waitoe wapiWabebe na kitanda
Kuna mwingine nilikuta Ganda la P2 chini ya uvungu kumuuliza akanilazimisha kuwa ni mimi ndio nimekunywa tena akafoka kua najizuia kushika ujauzito wake… yule jamaa aling’ang’ania sana.. huwezi amini alinilazimisha nikubali wakati hata hizo p2 sikuwahi kuzijua wala kutumiaMzee mwenzangu kuna shogaako alikuja amevaa pedi nikaitoa nikaitupa chini ya uvungu nikapiga hivohivo alipoondoka nikasahau kuitoa baada ya siku chache akaja mchumba wangu ambae ndio mke wangu kwa sasa akaikuta, akaleta noma lakini mimi nikamlazimishia yeye ndio aliiacha.
Alikubali tu na maisha yakaenda 😁
Sasa ulitaka akwambie kuna dada alikuja hapo geto kwake kusalimia?😁Kuna mwingine nilikuta Ganda la P2 chini ya uvungu kumuuliza akanilazimisha kuwa ni mimi ndio nimekunywa tena akafoka kua najizuia kushika ujauzito wake… yule jamaa aling’ang’ania sana.. huwezi amini alinilazimisha nikubali wakati hata hizo p2 sikuwahi kuzijua wala kutumia
Wanaume mtachomwa na gas
Ndugu ndio anilazimishe ni mimi aisee nilijisikia vibayaSasa ulitaka akwambie kuna dada alikuja hapo geto kwake kusalimia?😁
Ilitakiwa ukubali ndivyo tunataka.... Hujui mwanaume hata kama amekosea anaombwa msamaha yeye?Ndugu ndio anilazimishe ni mimi aisee nilijisikia vibaya
Tokeni hapaIlitakiwa ukubali ndivyo tunataka.... Hujui mwanaume hata kama amekosea anaombwa msamaha yeye?
Ukikubali maana yake anaamini unaweza kuyabeba matatizo yake kama yako...
Huo ndio uhalisia....ukiweza kubeba matatizo ya mwanaume wako kama yako hawezi kukuacha kamwe... Atahangaika lakini mwisho atarudi kwako kukukabidhi chochote Mungu alichombariki.Tokeni hapa
We ndo mumeweKuna msichana mmoja atakayemwoa atakuwa kaoa wife material.. alikuja kwangu na tray la mayai (mayai 32)... kwao wanafuga kuku wa mayai.