Leo nimeenda kule chini kucheki ule mradi, nimebaki nashangaa tu yaani huu mradi mtasubiri sana. Wamemwaga hardcore alafu baadhi ya maeneo ardhi imeinuliwa hivyo kutengeneza mto ktkt ya SGR A na reli ya zamani sasa hapa drainage system ipo wapi au watatumia pump maana maji yana tabia ya kupenya chini ya ardhi na kuanza kudhoofisha mchanga kisha changa likashuka lote au ndio ile ahadi ya kutuletea mto imekamilika mtuambie.
Nawasilisha
UPDATES
Kuna watu wamevamia uzi wakijua wanakijua wanaongea na kibaka wa CHADEMA au teja lililotumwa na chadema mm sitotaja identify yngu kamwe ila mkae mkijua kuna mirad ni poor plan na ma engineer wenzetu wamelala ukienda pale nkurumah kwenye lile daraja waliweka beams nilishangaa sn yaan km ingetokea tren ishushe full weight pale zile beams zingekatika na km ni za pig iron basi daraja lingefail lote pe kwan urefu wa span ilibid wawrke arch bridge kwasababu daraja lipo nch kavu km inhekuwa baharin wangeweka cable suspended au stayed bridge walipoona washabug sasa hv wamevunja lile daraja wameanza na moja na mipesa kibao ishatumikq pia pale jangwan mrad wa UDART ulijengwa na maengineer kibao na hata kipindi wanajenga mvia zilinyesha je walishindwa kufanya analysis pasijae maji pale sasa mtu anakuja huko kisa kapewa 7000 nae kaingia mambo ya CIVIL kisa tu anaitetea CCM kwa kwel tuna safar ndefu jambo lengine la kuchekesha km maguful angetaka kujenga SGR kwann hawakufanya RESEARCH watafute route nyingine via map SGR ijengwe huko wao wakaona tuijenge hapa hapa karibu na teli ya zaman inachekesha sn hv unajua kwamba rel ballast lazima ikae juu kisha zije kokoto na mchanga ulioinuliwa ndio foundation sasa tel zipo mbili zote zimeinuliwa apo kati si ni mto huo maji yatadiffuse chin mwisho ndo utasikia soil degredation udongo umeahuka na safar zimeahirisha baadh ya maeneo wamechimba wamemwaga hardcore ili iweje labda wanataka kujenga ukuta au foundation ya zege na sijawah ona hii kwa kren expect zile zinazopita chin ya ardh kwa nch za wenzetu
Nawasilisha
UPDATES
Kuna watu wamevamia uzi wakijua wanakijua wanaongea na kibaka wa CHADEMA au teja lililotumwa na chadema mm sitotaja identify yngu kamwe ila mkae mkijua kuna mirad ni poor plan na ma engineer wenzetu wamelala ukienda pale nkurumah kwenye lile daraja waliweka beams nilishangaa sn yaan km ingetokea tren ishushe full weight pale zile beams zingekatika na km ni za pig iron basi daraja lingefail lote pe kwan urefu wa span ilibid wawrke arch bridge kwasababu daraja lipo nch kavu km inhekuwa baharin wangeweka cable suspended au stayed bridge walipoona washabug sasa hv wamevunja lile daraja wameanza na moja na mipesa kibao ishatumikq pia pale jangwan mrad wa UDART ulijengwa na maengineer kibao na hata kipindi wanajenga mvia zilinyesha je walishindwa kufanya analysis pasijae maji pale sasa mtu anakuja huko kisa kapewa 7000 nae kaingia mambo ya CIVIL kisa tu anaitetea CCM kwa kwel tuna safar ndefu jambo lengine la kuchekesha km maguful angetaka kujenga SGR kwann hawakufanya RESEARCH watafute route nyingine via map SGR ijengwe huko wao wakaona tuijenge hapa hapa karibu na teli ya zaman inachekesha sn hv unajua kwamba rel ballast lazima ikae juu kisha zije kokoto na mchanga ulioinuliwa ndio foundation sasa tel zipo mbili zote zimeinuliwa apo kati si ni mto huo maji yatadiffuse chin mwisho ndo utasikia soil degredation udongo umeahuka na safar zimeahirisha baadh ya maeneo wamechimba wamemwaga hardcore ili iweje labda wanataka kujenga ukuta au foundation ya zege na sijawah ona hii kwa kren expect zile zinazopita chin ya ardh kwa nch za wenzetu