Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 32,246
- 31,176
Hiyo ni baada ya 2090. Yaani tungoje miaka yote hiyo?Tutaposhika dolla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni baada ya 2090. Yaani tungoje miaka yote hiyo?Tutaposhika dolla
Mkuu kuna siku jpm alipanda treni kupitia reli hiyo ya sgr wakati anakagua maendeleo yake.. na tumeambiwa kipande cha Dar Moro kimekamilika zaidi ya asilimia 90 leo wewe unasema hakuna reli ni msingi tu?Mm ndio nilisema afu tambua kwanza mpaka sasa inajengwa foundation sijaona reli wala chuma cha rel
Kweli tulipigwaKuhusu Magufuli kuwa raisi sisi kama taifa tumepigwa
Pokeeni Mto Mkuu.Leo nimeenda kule chin kuchek ule mradi nimebak nashangaa tu yaan huu mrad mtasubir sn wamemwaga hardcore alafu baadh ya maeneo ardh imeinuliwa ivo kutengeneza mto ktkt ya SGR A na rel ya zaman sasa hapa drainagesystem ipo wap au watatumia pump maana maji yanatabia ya kupenya chin ya ardh na kuanza kudhoofisha mchanga kisha changa likashuka lote au ndio ile ahadi ya kutuletea mto imekamilika mtuambie
Nawasilisha
Poor plan, hamna drainage system. Itabidi wavunje waanze na moja maana kama ikija mvua kubwa maji mengi yatakaa katikati ya SGR na reli ya zamani yatapenya cbado hujaeleza kwann itakamilika 2090
Nenda kajionee maajabuMkuu kuna siku jpm alipanda treni kupitia reli hiyo ya sgr wakati anakagua maendeleo yake.. na tumeambiwa kipande cha Dar Moro kimekamilika zaidi ya asilimia 90 leo wewe unasema hakuna reli ni msingi tu?
Sayansi inatumia English, je Muhusika ataelewa?Ongea kisayansi bwashee!
Kagua na ujiridhishe kama ni 90%, utacheka uzimie aiseeMkuu kuna siku jpm alipanda treni kupitia reli hiyo ya sgr wakati anakagua maendeleo yake.. na tumeambiwa kipande cha Dar Moro kimekamilika zaidi ya asilimia 90 leo wewe unasema hakuna reli ni msingi tu?
Uyo achana nae alitaka nijaze page kuelezea drainage na hardcore ni nnSayansi inatumia English,je Muhusika ataelewa?
Nam niweke picha au[emoji3166]View attachment 1686197
Wapi hapo ambapo hujaona chuma cha reli?Mm ndio nilisema afu tambua kwanza mpaka sasa inajengwa foundation sijaona reli wala chuma cha rel
Sisiyemu woyeeeee, mitano mingine pleaseLeo nimeenda kule chin kuchek ule mradi nimebak nashangaa tu yaan huu mrad mtasubir sn wamemwaga hardcore alafu baadh ya maeneo ardh imeinuliwa ivo kutengeneza mto ktkt ya SGR A na rel ya zaman sasa hapa drainagesystem ipo wap au watatumia pump maana maji yanatabia ya kupenya chin ya ardh na kuanza kudhoofisha mchanga kisha changa likashuka lote au ndio ile ahadi ya kutuletea mto imekamilika mtuambie
Nawasilisha
Huu uzi ni kwa CIVIL ENGINEER tu we kaa pemben km vp sema mitano tena kisha tulia
Waulize wadauWapi hapo ambapo hujaona chuma cha reli?
Weka picha tuoneLeo nimeenda kule chin kuchek ule mradi nimebak nashangaa tu yaan huu mrad mtasubir sn wamemwaga hardcore alafu baadh ya maeneo ardh imeinuliwa ivo kutengeneza mto ktkt ya SGR A na rel ya zaman sasa hapa drainagesystem ipo wap au watatumia pump maana maji yanatabia ya kupenya chin ya ardh na kuanza kudhoofisha mchanga kisha changa likashuka lote au ndio ile ahadi ya kutuletea mto imekamilika mtuambie
Nawasilisha
Uhandisi ni taaluma hayo mambo waachie wahandisi wanajua, wewe shughulika na mambo yako ya chakula na lishe.Leo nimeenda kule chin kuchek ule mradi nimebak nashangaa tu yaan huu mrad mtasubir sn wamemwaga hardcore alafu baadh ya maeneo ardh imeinuliwa ivo kutengeneza mto ktkt ya SGR A na rel ya zaman sasa hapa drainagesystem ipo wap au watatumia pump maana maji yanatabia ya kupenya chin ya ardh na kuanza kudhoofisha mchanga kisha changa likashuka lote au ndio ile ahadi ya kutuletea mto imekamilika mtuambie
Nawasilisha
Niambie hicho kiwanja kiko wapi? Usiposema basi wewe ndiyo kilaza!vilaza hamjaisha tu bado