Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Labda wakati anajiunga alikuwa anasinzia.Hao wote bado bado wazima kuna hii Hadi niliscreeshot
hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx hivi huyu aliwaza nini hili jina ๐ฅ๐ฅ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda wakati anajiunga alikuwa anasinzia.Hao wote bado bado wazima kuna hii Hadi niliscreeshot
hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx hivi huyu aliwaza nini hili jina ๐ฅ๐ฅ
Kwahiyo akalisave pembeni kabisaLabda wakati anajiunga alikuwa anasinzia.
Aki log out anafanyaje kurudiHao wote bado bado wazima kuna hii Hadi niliscreeshot
hjakalljcjxnxlhzkzmxjkxnx hivi huyu aliwaza nini hili jina ๐ฅ๐ฅ
Nilitaka kufanya hivyo wakati mwanzo ikashindikana, nilikuwa sijakidhi vigezo vya jeiefu, ila kwa sasa nishalizoea hili jina na lishazoeleka pia, kwahiyo siwazi tena kufanya hivyo.Mkuu Kijana masikini badilisha username haraka sana...maneno unanayo/unenewayo huumba
Aki log out anafanyaje kurudi
Mkuu tukiachana na jokes umasikini ni laana.. hupaswi kuutumia Hilo jina hum! Kiroho Kuna nguvu unajipunguzia bila kujijuaNilitaka kufanya hivyo wakati mwanzo ikashindikana, nilikuwa sijakidhi vigezo vya jeiefu, ila kwa sasa nishalizoea hili jina na lishazoeleka pia, kwahiyo siwazi tena kufanya hivyo.
๐๐
Lakini tayari alishapotea hewan... Siunaona last seen inavyosomaItakua alilisave mahali
Poa mkuu asante kwa ushauri.Mkuu tukiachana na jokes umasikini ni laana.. hupaswi kuutumia Hilo jina hum! Kiroho Kuna nguvu unajipunguzia bila kujijua
Jana na leo.
Ila wewe lako ndo...