Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Baadhi ya majina ya Kisukuma na maana zake

Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake

Naomba tuwe pamoja

MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA

mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee

LONDON BOY/BOY FROM LONDON
Masanja ni jina analopewa mtoto wa kiume anayezaliwa kabla ya ndoa.. kwahiyo anakuwa mpatanishi wa hizo familia mbili..
Masanja=Aliyewaunganisha/mpatanishi
 
Masanja ni jina analopewa mtoto wa kiume anayezaliwa kabla ya ndoa.. kwahiyo anakuwa mpatanishi wa hizo familia mbili..
Masanja=Aliyewaunganisha/mpatanishi
Kama inakuja, kama inakataa

Namghe- mume/ wao[emoji3]

Masanja- isanghejo/ mchanganyiko

Kama mtoto haramu hivi[emoji848]

Unaweza kusahihisha, ila huo ndio ukweli
 
Saguda...
Mihangwa...aliyetabiliwa
Luhaga....kubana kwenye kona/kubananisha
Mashimba.....Simba
Luhende...
Magembe...Majembe
Masunga....Maziwa fresh
Magaya....
Mwigulu/Ngw'igulu..mawinguni
Ngassa....
Kombe...
Makula....Makuzi
Malunde....mawingu
Nchilu........mwenye hasira
Masele.....
Makonda.....mboga za majani huchangawa kwenye mlenda.
 
MISOJI. MICHUZI
Miso +Ji=macho yenye machizi
MISO JI ni jina la linaloundwa na maneno mawili, miso=macho na "JI" likimaanisha kujaa kitu.
Kwa hiyo MISOJI haimaniishi michuzi kwenye context ya majina ya kisukuma bali linaamisha mtu aliyezaliwa wakati wa majonzi
 
Madumu -dumu
Misongh'wani -macho mbele
Sonda -Nyota
Misongh'wani= macho pwani. Nadhani walikuwa wakimaanisha macho yaliyoangalia mbali. Enzi za zamani kidogo, wasukuma waliamini kuwa sehemu iliyo mbali sana na wao ni NG"HWANI, yaani Dar es Salaam
 
Jina la demu wang wa kisukuma,kabla ya kujua maana yake hapa,nilikuwa nalihis vibaya hadi huwa namuita KB na yeye huwa anajitambulisha kama K
Mbula======M-bula= mvua
Kabula=====Ka-bula=kiji-mvua
Mabula====Ma-bula=Manvua
Mabula ni jina la wanaume
 
Jina la demu wang wa kisukuma,kabla ya kujua maana yake hapa,nilikuwa nalihis vibaya hadi huwa namuita KB na yeye huwa anajitambulisha kama K
Mbona kama namjua,ni mrefu amejaa mwili?
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana.

Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake

Naomba tuwe pamoja

MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA

mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee

LONDON BOY/BOY FROM LONDON
Sukuma gang ........
 
Back
Top Bottom