logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
.Hahahahha Nabhita hi saka naniga Ng'ondi..........
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Hahahahha Nabhita hi saka naniga Ng'ondi..........
Masanja ni jina analopewa mtoto wa kiume anayezaliwa kabla ya ndoa.. kwahiyo anakuwa mpatanishi wa hizo familia mbili..Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana.
Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake
Naomba tuwe pamoja
MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA
mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee
LONDON BOY/BOY FROM LONDON
Ngw'ana nkima ghoniga ng'ondi ghete[emoji3][emoji848]Hahahahha Nabhita hi saka naniga Ng'ondi..........
Kama inakuja, kama inakataaMasanja ni jina analopewa mtoto wa kiume anayezaliwa kabla ya ndoa.. kwahiyo anakuwa mpatanishi wa hizo familia mbili..
Masanja=Aliyewaunganisha/mpatanishi
Wanyantuzu husema NISOJI=MACHOZI.Yeah, MISOJI, maana yake ni michuzi, ila kama jina, maana yake ni machozi, unalivuta kidogo MIISOJI.
Saguda...
Mihangwa...aliyetabiliwa
Luhaga....kubana kwenye kona/kubananisha
Mashimba.....Simba
Luhende...
Magembe...Majembe
Masunga....Maziwa fresh
Magaya....
Mwigulu/Ngw'igulu..mawinguni
Ngassa....
Kombe...
Makula....Makuzi
Malunde....mawingu
Nchilu........mwenye hasira
Masele.....
Makonda.....mboga za majani huchangawa kwenye mlenda.
Miso +Ji=macho yenye machiziMISOJI. MICHUZI
MPINA linamaanisha YATIMALUHAGA ni kibana kwenye Kona SAWA ,na MPINA inamanisha nn
Misongh'wani= macho pwani. Nadhani walikuwa wakimaanisha macho yaliyoangalia mbali. Enzi za zamani kidogo, wasukuma waliamini kuwa sehemu iliyo mbali sana na wao ni NG"HWANI, yaani Dar es SalaamMadumu -dumu
Misongh'wani -macho mbele
Sonda -Nyota
Kiji-mvuaKabula
Jina la demu wang wa kisukuma,kabla ya kujua maana yake hapa,nilikuwa nalihis vibaya hadi huwa namuita KB na yeye huwa anajitambulisha kama KKiji-mvua
Mbula======M-bula= mvuaJina la demu wang wa kisukuma,kabla ya kujua maana yake hapa,nilikuwa nalihis vibaya hadi huwa namuita KB na yeye huwa anajitambulisha kama K
Mbona kama kirangi tuMbula======M-bula= mvua
Kabula=====Ka-bula=kiji-mvua
Mabula====Ma-bula=Manvua
Mabula ni jina la wanaume
Mbona kama namjua,ni mrefu amejaa mwili?Jina la demu wang wa kisukuma,kabla ya kujua maana yake hapa,nilikuwa nalihis vibaya hadi huwa namuita KB na yeye huwa anajitambulisha kama K
Majina ya kibantu hayaMbona kama kirangi tu
Sukuma gang ........Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana.
Leo nimeamua niwaletee majina ya kisukuma na maana zake
Naomba tuwe pamoja
MAYALA. Njaa huitwa wa kiume
NYANZALA. njaa huitwa wa kike
BUTOGWA. UPENDO /MAPENDO
MABULA. mvua huitwa wa kiume
KABULA. huitwa wa kike
NAKUTOGWILE. nakupenda
GWAJIMA. kuzima
BASHITE. mbishi/mtata
SHILEKI. KUACHWA
MAYILA. njia
WAPE. MWEUPE
NSHEKU. Soft handsome/beuty
WALWA. POMBE.
MAGUFURI. makufur.
MBITIYAZA. fisi mwekundu
MBITIYAPI. FISI MWEUS
WABHEJA. ASANTE
NAHENE. HAKUNA SHIDA
NGASA.......
MASANJA.....
NGUSA........
MAKOYE. MATATIZO/SHIDA
WAWIZA. MZURI
GETE GETE. SANA SANA TISHA ILE MBAYA KINOMA NOMA
MISOJI. MICHUZI
LUNANI NA MAKONDA.....
NSAJI. MWEHU/CHIZI
WELELO. DUNIA.
UKUJIWE. UTUKUZWE
WA IMWENE . WA KIPEKEE
YAYA. HAPANA
YAYA GETE . HAPANA KABISA
mengine muongeze naingia darasan mida mida mazee
LONDON BOY/BOY FROM LONDON
Siyo yeye,naemsemea yupo mwanzaMbona kama namjua,ni mrefu amejaa mwili?
Ni mwalimu?Siyo yeye,naemsemea yupo mwanza