EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni huyohuyo mkanyagisha watu mafuta ana hii kitu pande fulani alizindua majuzi wageni kama woteEvilSpirit
Mkuu ni huyu huyu wa kawe pale au unazungumzika mtu anatumia jina la ubin mwamposa??
Hebu leta document na picha za ushahidi tuthibitishe kama sio chai yenye tangawizi nyingi hii
Ni wapi. Unaficha nn na ilhali uzinduzi ulifanyika na watu nyomiMkuu ni huyohuyo mkanyagisha watu mafuta ana hii kitu pande fulani alizindua majuzi wageni kama wote
Iko ndo kituko kingine aseme hapo ni wapiNi wapi. Unaficha nn na ilhali uzinduzi ulifanyika na watu nyomi
Mmhhh ofa dhubutiNi jambo jema kuonyesha anatumia vizuri sadaka za waumini wake.
Ingekuwa jambo la ajabu kukosa mafanikio kama haya ikizingatiwa yeye ndio mtoa mafuta ya upako.
Itakuwa anapaka yale grade 1 kabisa.
Natumai waumini wake watakuwa wana ofa maalum maana ni wachangiaji wakuu.
Pande Fulani zipi mbona unaleta habari kimbeaMkuu ni huyohuyo mkanyagisha watu mafuta ana hii kitu pande fulani alizindua majuzi wageni kama wote
Nakazi hapa.IKO WAPI?
Kwanini umejiita evil spirit?Mkuu ni huyohuyo mkanyagisha watu mafuta ana hii kitu pande fulani alizindua majuzi wageni kama wote