Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Baadhi ya marekebisho ya kodi
KODI YA KIPATO (PAYE)
Wanaopata chini ya tsh 270,000 kwa mwezi kutokakatwa kodi ya mapato.
Watu wa kipato cha Zaidi ya 270,000 kwa mwezi lakini ni chini ya 520,000 watalipa kodi 9%
KODI YA ZUIO KWA HUDUMA ZA MTANDAO
Bajeti imeweka kodi ya zuio ya 10% kwa mawakala wa huduma za kifedha za mtandao (m-pesa, tigo pesa nk)
Pia kuongeza kiwango cha kutuma kwa simu hadi Tsh Millioni 5
TAX ADMINISTRATION
PTRA watakusanya mapato yasiyo ya kodi, mapato hayo ni yanayokusanya na mamlaka za hifadhi, TANAPA, NCAA na TAWA
NAMBA SPECIAL ZA MAGARI
Namba special za magari kuanza kutolewa kwa Tsh 500,000
MAMLAKA YA WAZIRI
Waziri wa Fedha amepewa mamlaka ya kusamehe kodi isiyozidi Tsh bilioni moja
Ushuru wa Forodha
Kutotoza ushuru wa forodha kwenye malighafi zinazotumika katika uzalishaji wa vifaa maalum vinavyotumika katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) vikiwemo Barakoa (Masks), kipukusi (sanitizer), mashine za kusaidia kupumua (ventilators), na mavazi maalum ya kujikinga yanayotumiwa na madaktari na wahudumu wa afya (PPE). Msamaha huu utatolewa kwa utaratibu wa “duty remission”. Hatua hii inalenga kutoa unafuu wa uzalishaji wa vifaa hivyo hapa nchini ili kuongeza kasi katika kupambana na ugonjwa huo;
Kutotoza ushuru wa forodha kwenye madawa na vifaa muhimu vinavyotumika kupima, kukinga, kutibu na kupambana na mlipuko wa magonjwa kama vile ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID- 19).
Hatua hii inalenga kutoa unafuu wa bidhaa hizo ili kurahisisha mapambano na udhibiti wa magonjwa hayo pindi yanapojitokeza;
OSHA
Napendekeza kufuta tozo ya mafunzo ya elimu kwa umma iliyokuwa inatozwa kiasi cha shilingi laki mbili na nusu (250,000/=) kwa kila mshiriki kwa kuwa hili ni jukumu la msingi la OSHA kuelimisha umma;
KODI YA KIPATO (PAYE)
Wanaopata chini ya tsh 270,000 kwa mwezi kutokakatwa kodi ya mapato.
Watu wa kipato cha Zaidi ya 270,000 kwa mwezi lakini ni chini ya 520,000 watalipa kodi 9%
KODI YA ZUIO KWA HUDUMA ZA MTANDAO
Bajeti imeweka kodi ya zuio ya 10% kwa mawakala wa huduma za kifedha za mtandao (m-pesa, tigo pesa nk)
Pia kuongeza kiwango cha kutuma kwa simu hadi Tsh Millioni 5
TAX ADMINISTRATION
PTRA watakusanya mapato yasiyo ya kodi, mapato hayo ni yanayokusanya na mamlaka za hifadhi, TANAPA, NCAA na TAWA
NAMBA SPECIAL ZA MAGARI
Namba special za magari kuanza kutolewa kwa Tsh 500,000
MAMLAKA YA WAZIRI
Waziri wa Fedha amepewa mamlaka ya kusamehe kodi isiyozidi Tsh bilioni moja
Ushuru wa Forodha
Kutotoza ushuru wa forodha kwenye malighafi zinazotumika katika uzalishaji wa vifaa maalum vinavyotumika katika kupambana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID-19) vikiwemo Barakoa (Masks), kipukusi (sanitizer), mashine za kusaidia kupumua (ventilators), na mavazi maalum ya kujikinga yanayotumiwa na madaktari na wahudumu wa afya (PPE). Msamaha huu utatolewa kwa utaratibu wa “duty remission”. Hatua hii inalenga kutoa unafuu wa uzalishaji wa vifaa hivyo hapa nchini ili kuongeza kasi katika kupambana na ugonjwa huo;
Kutotoza ushuru wa forodha kwenye madawa na vifaa muhimu vinavyotumika kupima, kukinga, kutibu na kupambana na mlipuko wa magonjwa kama vile ugonjwa wa homa kali ya mapafu (COVID- 19).
Hatua hii inalenga kutoa unafuu wa bidhaa hizo ili kurahisisha mapambano na udhibiti wa magonjwa hayo pindi yanapojitokeza;
OSHA
Napendekeza kufuta tozo ya mafunzo ya elimu kwa umma iliyokuwa inatozwa kiasi cha shilingi laki mbili na nusu (250,000/=) kwa kila mshiriki kwa kuwa hili ni jukumu la msingi la OSHA kuelimisha umma;