Drone Camera
Hapana, kuna tofauti kubwa baada ya muda.
Kumbuka, ongezeko la mshahara litaakisiwa kwenye makato na michango ya kisheria ya mfanyakazi na mwajiri. Punguzo la kodi litaongeza kipato Halisi (net income) cha mfanyakazi lakini hakitabadili kiwango cha makato mengine.
Hivyo, kuongeza mshahara kutaongeza makato na mfanyakazi na mwajiri ( Makato ya lazima yanapigiwa hesabu kwa aslilmia ya kipato ghafi) ambayo itapelekea kuongezeka kwa mafao pindi mfanyakazi anapoaachana na ajira kwa sababu zozote zile.