Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Ni mafuta ya upako wa Allah (mafuta ya ushirikina), nani kamtaja Mwamposa?Unajuwa tofauti ya marashi na mafuta? Ya jana ni marashi yana rashwa tashwa.
Mafuta yanayoongelewa hapa na Shafi ndiyo ya Mwamamposa?
Shafi hapo anawaponda wajinga ndiyo waliwao. Anakwambia mafuta hayo yapo madukani.
Kondoo uliona umepata upenyo?
Ndo umeandika nini sasa!? Sheikh anazjngumzia mafuta ya upako wa Allah we unaleta porojo zako ilimradi uonekane umepinga! Hebu tujibu, kuna mafuta ya allah au hakuna?Unajuwa tofauti ya marashi na mafuta? Ya jana ni marashi yana rashwa tashwa.
Mafuta yanayoongelewa hapa na Shafi ndiyo ya Mwamamposa?
Shafi hapo anawaponda wajinga ndiyo waliwao. Anakwambia mafuta hayo yapo madukani.
Kondoo uliona umepata upenyo?
AKatafute kazi ya kufanya , mambo ya mafuta amwachie mwamposa.Jana nilileta uzi hapa wa mafuta ya upako kwa waislamu. Mwislamu mmoja asiyejua anayeitwa FaizaFoxy akasema yale si mafuta ni maji.
Sasa leo shehe huyu kaja kumjibu kuwa ni mafuta ya upako wa Allah. Pia amesisitiza umuhimu wa waislamu kupakwa mafuta haya.
Uzi wa jana:
Sheikh Firdaus Sharifu aanza kutoa mafuta ya Upako
Kama mnavyo jionea kwenye hii video waumini wa dini ya kiislamu wakimwagiwa mafuta ya upako toka kwa Allah. Kama nakuona ndugu yangu Ritz na FaizaFoxy bila kuwasahau Malaria 2 , THE BIG SHOW na mzee wangu Mohamed Said mnavyo furahia neema hii toka kwa Allah.www.jamiiforums.com
View attachment 3126041
😀😀 acha blah blah, kanunue mafuta ya upako kwa Dr. Sule. Kamwe humuwezi shindani na nyakati(muda)Swali uliwashawai kuingia msikiti ukakuta hayo mafuta yamewekwa mbele au yanauzwa humo?
Hao wanafanya kwa utashi wa nafsi zao tamaa za maisha ya Dunia ndio zinawaendesha na wala hakuna muislam atakae waelewa kama wakristo wanavyojaza pale kwa mwamposa kuyachukua, sio Kila alievaa kanzu ni sheikh mpaka mtu aitwe sheikh ujue mtu mwenyewe elimu ya dini haswa uningesikia maneno hayo yamesemwa na nudreen kishk au sheikh mansour.
Hapo kidgo ningeona kuna tija ya kujenga hoja ila hao wahuni hata juzu ama hawajahifadh.. haitushitui UISLAM SIO DINI YA MCHEZO TUMEKAMILIKA HATA ULETE UZUSHI HAKUNA ATAEKUFATA
Unajitahidi kukwepa na kuruka ruka katika hili la mafuta na hata uuitaje ila lipo na litakuwepo pia muda ni jawapo zuri sana.Unajuwa tofauti ya marashi na mafuta? Ya jana ni marashi yana rashwa tashwa.
Mafuta yanayoongelewa hapa na Shafi ndiyo ya Mwamamposa?
Shafi hapo anawaponda wajinga ndiyo waliwao. Anakwambia mafuta hayo yapo madukani.
Kondoo uliona umepata upenyo?
Wapi mafuta ya upako yamekua dhambi.? Yuko sahihi.Huu ni mwaka wao
Ustadhi Shafii aliongoza kampeni ya kumpinga Mwamposa na Dr. Sule sababu ya shughuli zao za uponyaji wa kutumia zana kama mafuta nk
Sasa nilichokiona kwenye mdahalo tulioandaa mimi na Francis Ndacha pale Sinza darajani, ni Shafii kutozwa pesa na sheikh Firdaus Sharifu akiwa anatoa hoja jukwaani, na baada ya hapo akiwa anawapa pesa za kujikimu baada ya mkutano.
Sheikh Firdaus Shairifu hana tofauti na dr. Sule katika eneo hilo la kuagua. Nikawaza si huyu huyu Shafii ndio alikuwa anaponda mambo haya kiasi cha kutuambia akiwa na Mazinge eti kwanini mnafanya mdahalo na mganga wakimaanisha Sule.
Ila na wao wanapokea pesa za mnganga Firdaus, na niliposhangaa zaidi ni Dr. Sule alipokuja katika mkutano kama mtazamaji, naye akawachangia pesa na wakachukua. Yaani unaponda uganga halafu tena unakula pesa za mnganga, huu si unafiki kweli?
Haya sasa, naye kaibuka kutetea anapokula naam akitetea mafuta akiyapa jina lilelile ambao wakristo wanatumia yaani "upako" kama sheikh wake naam tajiri yake wa kiganga anavyotumia kuyaita. Kweli usicheze na mpunga.
Kweli Uislamuni mwaka huu kumechangamka......
Na Jeff Massawe
View attachment 3125986afiki
Muda ni jawabu tisha shehe wangu. Sio hilo la mafuta tu, tutaona mengi pia upande wenu kama tulivyoona upande ule mwingine.Anauzia ndani ya msikiti au nje..!? Ulishawai kusikia ananadi kuita sijui mafuta ya upako na kuanza kutoa ushahidi wa Aya za Quran..!? Kuuza mafuta sio kosa wala hakuna anaezuia uza mafuta ya zaitun, nyonyo, tini, ukitaka tengeneza yako uza sema yanatibu mapunye, yanaleta utajiri ni wewe tu hakuna anaekukataza ila usitumie mgongo wa dini kama wanavyofanya kina mwamposa sharifu majini yeye anafanya kwa gani yake ya uganga na sio mgongo wa dini sasa hao masheikh maandazi wanaongea na kutaka kutumia mgongo wa dini na kuiga Mila za manaswara kama kina mwamposa waambieni uislam hauko hivyo wataumia
Hawa watabisha.Ni kweli sheikh sharif anauza mafuta msikitini. Huku kwetu lilipita gari la matangazo kuwa atakuwa na mhadhara msikitini
Swali uliwashawai kuingia msikiti ukakuta hayo mafuta yamewekwa mbele au yanauzwa humo?
Hao wanafanya kwa utashi wa nafsi zao tamaa za maisha ya Dunia ndio zinawaendesha na wala hakuna muislam atakae waelewa kama wakristo wanavyojaza pale kwa mwamposa kuyachukua, sio Kila alievaa kanzu ni sheikh mpaka mtu aitwe sheikh ujue mtu mwenyewe elimu ya dini haswa uningesikia maneno hayo yamesemwa na nudreen kishk au sheikh mansour.
Hapo kidgo ningeona kuna tija ya kujenga hoja ila hao wahuni hata juzu ama hawajahifadh.. haitushitui UISLAM SIO DINI YA MCHEZO TUMEKAMILIKA HATA ULETE UZUSHI HAKUNA ATAEKUFATA
Unajuwa tofauti ya marashi na mafuta? Ya jana ni marashi yana rashwa tashwa.
Mafuta yanayoongelewa hapa na Shafi ndiyo ya Mwamamposa?
Shafi hapo anawaponda wajinga ndiyo waliwao. Anakwambia mafuta hayo yapo madukani.
Kondoo uliona umepata upenyo?
Kwa haya tunayo yaona hamna pa kujifichia. Kwani sisiwakristo ni wapi umeona madhehebu makubwa kama Roma, wasabato,kkt wanauza mafuta au vitambaa vya upako?Swali uliwashawai kuingia msikiti ukakuta hayo mafuta yamewekwa mbele au yanauzwa humo?
Hao wanafanya kwa utashi wa nafsi zao tamaa za maisha ya Dunia ndio zinawaendesha na wala hakuna muislam atakae waelewa kama wakristo wanavyojaza pale kwa mwamposa kuyachukua, sio Kila alievaa kanzu ni sheikh mpaka mtu aitwe sheikh ujue mtu mwenyewe elimu ya dini haswa uningesikia maneno hayo yamesemwa na nudreen kishk au sheikh mansour.
Hapo kidgo ningeona kuna tija ya kujenga hoja ila hao wahuni hata juzu ama hawajahifadh.. haitushitui UISLAM SIO DINI YA MCHEZO TUMEKAMILIKA HATA ULETE UZUSHI HAKUNA ATAEKUFATA
Muda ni jibu sahihi sister. Unavyoona wanavyoandika akina FaizaFoxy ni kujifirahisha kwani uoande ule huwa hautaki kukiri udhaifu na wanaamini wao ni bora ila dunia ya sasa mambo yamebadilika sana.Wale wale halafu wa kwanza kurukana na kukana kuwa hao sio wenzao katika dini. Ili mradi waonekane wasafi
Hivi vitu vipo kwenye Uislamu muda mrefu sema wanajitahidi kuvizima na wanajitahidi kujionesha mbele za watu kuwa wapo safi ila mida ni jawabu.Kwa haya tunayo yaona hamna pa kujifichia. Kwani sisiwakristo ni wapi umeona madhehebu makubwa kama Roma, wasabato,kkt wanauza mafuta au vitambaa vya upako?
Kubalini tu kuwa na kwenu kumeingiliwa vilevile na uislami unachafuliwa!! Hao mkiwatenga wataanzisha misikiti Yao na wataiita majina Yao no Quran itasomwa mle na hamna Cha kuwafanya
Kwamba ndani ya msikiti hakufanyiki vikao? Wewe mbona ni muongo kiasi hiki?Msikiti upi..!? Kama tu sisi wenyewe hatufanyii vikao ndani ya misikiti sembuse kulete huo upuuzi Yani upande kwenye minbal hayo matakataka huo ndio utakuwa mwisho wako hatupendi mchezo na dini labla afungue msikiti wake na asitegemee kuona mtu akienda kusali humo