Baadhi ya Masheikh acheni unafiki. Mwingine aibuka na kusema mafuta sio dhambi

Baadhi ya Masheikh acheni unafiki. Mwingine aibuka na kusema mafuta sio dhambi

Kwa haya tunayo yaona hamna pa kujifichia. Kwani sisiwakristo ni wapi umeona madhehebu makubwa kama Roma, wasabato,kkt wanauza mafuta au vitambaa vya upako?

Kubalini tu kuwa na kwenu kumeingiliwa vilevile na uislami unachafuliwa!! Hao mkiwatenga wataanzisha misikiti Yao na wataiita majina Yao no Quran itasomwa mle na hamna Cha kuwafanya
Anzisha na wewe wako ili uone kwa tendo uuze mafuta humo upige na miziki kabisa then.. ndio utajua waislam wa dizain gani usipojikuta pekeako humo msikitin basi sharia itasimama mahala pake
 
Anzisha na wewe wako ili uone kwa tendo uuze mafuta humo upige na miziki kabisa then.. ndio utajua waislam wa dizain gani usipojikuta pekeako humo msikitin basi sharia itasimama mahala pake
Hao wanao uziwa sasahivi sio waislamu? sisi ukisema kanisa ama hekula maana yake ni mtu mwenyewe{muumini}
kama wewe unamanisha msikiti ni jengo upo sawa.

wanaouziwa ndo haohao mpo nao mskitini kila ijumaa maana yake hata wakiuziwa mahala popote pale watanunua tu.

miaka2 tu ijayo utaona imekuwa rasmi
 
Sheikh sharif majini ameanza kuuza mafuta kitambo sana Hadi amekuwa tajiri, ni vile aliacha kujitangaza kwenye media, alifanywa nini? Tena misikitini na kwenye mihadhara alikuwa Anaitwa kama mgeni rasmi, wewe labda mgeni

Huyu wa sasa Anaitwa sheikh Firdaus Sharifu

Hapo akitoa upako wa Allah kwa waumini wa kislamu na kufanya maombezi ya kufunguliwa......Tena ndani ya misikiti, ( nimeshindwa kupandisha video)

Ukija hapa ukasema si sheikh basi ni juu yako. Sisi tulitambulishwa na umoja wa wahadhiri wa waislamu Tanzania kuwa ni shekhe na akapewa nafasi ya kuomba dua katika mkutano wa muhadhara wa Sinza kwa upande wa Waislamu. Na vyombo vyake vya habari vilitumika pia kurushia mdahalo huku yeye akipewa heshima kubwa mbele ya Waislamu. Na ukiangalia video za mkutano utamwona akiwa amevalia sawa na hapo katika clip akimwaga pesa kwa wahadhiri wa kislamu, yaani Shafii, Mazinge na Kinyogori nk......hawa wote wanamponda Sule sana anapofanya mambo kama haya ila mbele ya Sharifu huyu, walibeba hela.

Uislamuni kumechangamka
Sio kwenye msikiti
Huyo dogo ana kituo chake cha kufanya hayo maswala Yake...
 
Ukiwa na hao watu kama kumi, yataanza kuuzwa msikitini. Kama wanavyouza vumbi la kongo na dawa kama hizo. Dunia hii tumtafute Mungu wa kweli. Hawa waganga njaa wanavuruga sana mambo
Hayauzwi misikitini lakini waumini wa humo misikitini wanayafuata pale Kawe au kwa yule nabii mtume sijui kuhani pale Mbezi Kwa Msuguli.

Ni mtihani watu wanatafuta urahisi hata kwa vitu serious.
 
Kuuza sio kosa wala sharifu majini hajawai kutumia mgongo wa dini Kuna malazi ya kijini hata sisi katika uislam baada ya kusomea ruqya Kuna mafuta utanunua na kutumia yawezakuwa tini zaitun n.k sio kosa ila kosa ni kutumia mgongo wa dini na kuleta uzushi.. sharifu majini anauza sikatai unaweza kuyauza nje kwenye midahalo yako lakini huwezi kupanda nayo kwenye minbal ukanadi biashara zako kama kina mwamposa
Kupanda kwenye mimbara au usipande haiondoi kuwa hao ni matapeli ,hata mwamposa anayauza pale nje kwenye jengo lake
 
Unajuwa tofauti ya marashi na mafuta? Ya jan

a ni marashi yana rashwa tashwa.

Mafuta yanayoongelewa hapa na Shafi ndiyo ya Mwamamposa?

Shafi hapo anawaponda wajinga ndiyo waliwao. Anakwambia mafuta hayo yapo madukani.

Kondoo uliona umepata upenyo?
Acha kutetea ujinga wewe

USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO...!!

Hii nimeipenda sana...
Huyu Shekhe Mazinge ndio huwa namba moja kuuponda Ukristo tena yeye kila asimamapo hana jambo lingine zaidi ya kukosoa Dini ya Ukristo.

LEO kageuka Kasuku kupigia Debe Maji na Mafuta ya Upako kwakua tu anaetoa ni Mwislamu mwenzake.
Kwani Maji na Mafuta wanayotoa kina Mwamposa na Kiboko ya Wachawi yanatofauti gani na haya anayotoa Shekhe?
Tofauti ni bei tu wanayotoza ila km ni Wizi basi wote Wezi tu wanaoibia Watu.
 
Huu ni mwaka wao

Ustadhi Shafii aliongoza kampeni ya kumpinga Mwamposa na Dr. Sule sababu ya shughuli zao za uponyaji wa kutumia zana kama mafuta nk

Sasa nilichokiona kwenye mdahalo tulioandaa mimi na Francis Ndacha pale Sinza darajani, ni Shafii kutozwa pesa na sheikh Firdaus Sharifu akiwa anatoa hoja jukwaani, na baada ya hapo akiwa anawapa pesa za kujikimu baada ya mkutano.

Sheikh Firdaus Shairifu hana tofauti na dr. Sule katika eneo hilo la kuagua. Nikawaza si huyu huyu Shafii ndio alikuwa anaponda mambo haya kiasi cha kutuambia akiwa na Mazinge eti kwanini mnafanya mdahalo na mganga wakimaanisha Sule.

Ila na wao wanapokea pesa za mnganga Firdaus, na niliposhangaa zaidi ni Dr. Sule alipokuja katika mkutano kama mtazamaji, naye akawachangia pesa na wakachukua. Yaani unaponda uganga halafu tena unakula pesa za mnganga, huu si unafiki kweli?

Haya sasa, naye kaibuka kutetea anapokula naam akitetea mafuta akiyapa jina lilelile ambao wakristo wanatumia yaani "upako" kama sheikh wake naam tajiri yake wa kiganga anavyotumia kuyaita. Kweli usicheze na mpunga.

Kweli Uislamuni mwaka huu kumechangamka......

Na Jeff Massawe

View attachment 3125986afiki
Kumekucha tena
 
Kupanda kwenye mimbara au usipande haiondoi kuwa hao ni matapeli ,hata mwamposa anayauza pale nje kwenye jengo lake
Sasa kumbe unajua ni matapeli si ndio sasa unawasibisha vipi na uislam hao matapeli kuna sehemu uislm umebariki utapeli au..!!? Ndio maana nikakwambia wanafanya kwa utashi wa nafsi zao ila mmoja anatumia mgongo wa dini na mwingine anajisibu anavyojua yeye.. ukijinasibu kwa dini waislam sisi hatutakuelewa hapo ndio ninapotetea dini
 
View attachment 3126449

Acha kutetea ujinga wewe

USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO...!!

Hii nimeipenda sana...
Huyu Shekhe Mazinge ndio huwa namba moja kuuponda Ukristo tena yeye kila asimamapo hana jambo lingine zaidi ya kukosoa Dini ya Ukristo.

LEO kageuka Kasuku kupigia Debe Maji na Mafuta ya Upako kwakua tu anaetoa ni Mwislamu mwenzake.
Kwani Maji na Mafuta wanayotoa kina Mwamposa na Kiboko ya Wachawi yanatofauti gani na haya anayotoa Shekhe?
Tofauti ni bei tu wanayotoza ila km ni Wizi basi wote Wezi tu wanaoibia Watu.
Nyinyi mara maji mara mafuta, mnajidhihirisha kuwa somo nililowapa jana limewaingia.

Waislam, tuna maji tena kihistoria kabisa, mnafahamu maana ya vita vya majimaji?

Hapo sasa.
 
Sasa kumbe unajua ni matapeli si ndio sasa unawasibisha vipi na uislam hao matapeli kuna sehemu uislm umebariki utapeli au..!!? Ndio maana nikakwambia wanafanya kwa utashi wa nafsi zao ila mmoja anatumia mgongo wa dini na mwingine anajisibu anavyojua yeye.. ukijinasibu kwa dini waislam sisi hatutakuelewa hapo ndio ninapotetea dini
Kwani mnavyowananga wakristo kisa hao matapeli,je Kuna sehemu Ukristo umeruhusu huo utapeli?
 
Msikiti upi..!? Kama tu sisi wenyewe hatufanyii vikao ndani ya misikiti sembuse kulete huo upuuzi Yani upande kwenye minbal hayo matakataka huo ndio utakuwa mwisho wako hatupendi mchezo na dini labla afungue msikiti wake na asitegemee kuona mtu akienda kusali humo
Isemee nafsi yako jombaa yaani kusema hamna atakaeenda as if unacontrol akili za wengine ilhali kuna video wanatumia hayo mafuta kwenye mihadhara ya kiislam.

Waislam wengi mna ilim ila sio wote wanaamini kama wewe unavyoamini, na huko mnakosema kwa Mwamposa waislam kibao wanaenda na wengine naishi nao mtaa mmoja kabisa wanaenda.
 
Back
Top Bottom