Baadhi ya Masheikh acheni unafiki. Mwingine aibuka na kusema mafuta sio dhambi

Anzisha na wewe wako ili uone kwa tendo uuze mafuta humo upige na miziki kabisa then.. ndio utajua waislam wa dizain gani usipojikuta pekeako humo msikitin basi sharia itasimama mahala pake
 
Anzisha na wewe wako ili uone kwa tendo uuze mafuta humo upige na miziki kabisa then.. ndio utajua waislam wa dizain gani usipojikuta pekeako humo msikitin basi sharia itasimama mahala pake
Hao wanao uziwa sasahivi sio waislamu? sisi ukisema kanisa ama hekula maana yake ni mtu mwenyewe{muumini}
kama wewe unamanisha msikiti ni jengo upo sawa.

wanaouziwa ndo haohao mpo nao mskitini kila ijumaa maana yake hata wakiuziwa mahala popote pale watanunua tu.

miaka2 tu ijayo utaona imekuwa rasmi
 
Sio kwenye msikiti
Huyo dogo ana kituo chake cha kufanya hayo maswala Yake...
 
Ukiwa na hao watu kama kumi, yataanza kuuzwa msikitini. Kama wanavyouza vumbi la kongo na dawa kama hizo. Dunia hii tumtafute Mungu wa kweli. Hawa waganga njaa wanavuruga sana mambo
Hayauzwi misikitini lakini waumini wa humo misikitini wanayafuata pale Kawe au kwa yule nabii mtume sijui kuhani pale Mbezi Kwa Msuguli.

Ni mtihani watu wanatafuta urahisi hata kwa vitu serious.
 
Kupanda kwenye mimbara au usipande haiondoi kuwa hao ni matapeli ,hata mwamposa anayauza pale nje kwenye jengo lake
 
Unajuwa tofauti ya marashi na mafuta? Ya jan
Your browser is not able to display this video.

a ni marashi yana rashwa tashwa.

Mafuta yanayoongelewa hapa na Shafi ndiyo ya Mwamamposa?

Shafi hapo anawaponda wajinga ndiyo waliwao. Anakwambia mafuta hayo yapo madukani.

Kondoo uliona umepata upenyo?
Acha kutetea ujinga wewe

USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO...!!

Hii nimeipenda sana...
Huyu Shekhe Mazinge ndio huwa namba moja kuuponda Ukristo tena yeye kila asimamapo hana jambo lingine zaidi ya kukosoa Dini ya Ukristo.

LEO kageuka Kasuku kupigia Debe Maji na Mafuta ya Upako kwakua tu anaetoa ni Mwislamu mwenzake.
Kwani Maji na Mafuta wanayotoa kina Mwamposa na Kiboko ya Wachawi yanatofauti gani na haya anayotoa Shekhe?
Tofauti ni bei tu wanayotoza ila km ni Wizi basi wote Wezi tu wanaoibia Watu.
 
Kumekucha tena
 
Kupanda kwenye mimbara au usipande haiondoi kuwa hao ni matapeli ,hata mwamposa anayauza pale nje kwenye jengo lake
Sasa kumbe unajua ni matapeli si ndio sasa unawasibisha vipi na uislam hao matapeli kuna sehemu uislm umebariki utapeli au..!!? Ndio maana nikakwambia wanafanya kwa utashi wa nafsi zao ila mmoja anatumia mgongo wa dini na mwingine anajisibu anavyojua yeye.. ukijinasibu kwa dini waislam sisi hatutakuelewa hapo ndio ninapotetea dini
 
Nyinyi mara maji mara mafuta, mnajidhihirisha kuwa somo nililowapa jana limewaingia.

Waislam, tuna maji tena kihistoria kabisa, mnafahamu maana ya vita vya majimaji?

Hapo sasa.
 
Kwani mnavyowananga wakristo kisa hao matapeli,je Kuna sehemu Ukristo umeruhusu huo utapeli?
 
Uislamu ushaingiwa na shiriki nyingi
 
Isemee nafsi yako jombaa yaani kusema hamna atakaeenda as if unacontrol akili za wengine ilhali kuna video wanatumia hayo mafuta kwenye mihadhara ya kiislam.

Waislam wengi mna ilim ila sio wote wanaamini kama wewe unavyoamini, na huko mnakosema kwa Mwamposa waislam kibao wanaenda na wengine naishi nao mtaa mmoja kabisa wanaenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…