Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahahaha kmmmk dah nimecheka sana mzee baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda manunuzi ya mapumbuh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha kmmmk dah nimecheka sana mzee baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda manunuzi ya mapumbuh.
Siku zote ndivyo ilivyo ukiona mtu kafaulu mtihani vyema jua kwamba kilichoulizwa alikuwa n ufahamu nacho kwa undani🤣 sio kwamba yeye ana akili sana kuliko wote ambao wamefeli.Hujabishiwa.
Unaambiwa ni maswali ya kitoto ila kwa walio kwenye kozi husika.
Wengi tulizoeshwa kwamba utumishi wakiita watu wa kozi tofauti katika post moja hua wanabalansi maswali.
Wewe unavyosema ungepasua kwa elimu ya first year haimaanishi una akili sana inamaanisha wametoa maswali angle unayoijua
Hata kwa mtoa mzigo demmurage ipo so ungeelezea kwa pande zote. Yani hata mzigo ukishawekwa bandarini au ICD charges za aina hio zipo.Hyo paper unavyoina labda kwa mtu mwenye uzoefu na amefanya practical sivyo Italian hao logistic and transport management sio maswali yote watajibu happ nusu tu hwataboi kuna vitu hapo vya field zaidi angalia swali la 5 ilo ni la clearing and forwarding pure.
Hapo mtu ajue kuanzia kuja na import permit /transport permit process zote za TPA mpaka kuja kupata gate pass yaani gate out na ajue izo shipment Kuna direct delivery Kuna condition zake sana sana ujue kuendana na yule gate operator uwe na baadhi ya documents za mzigo kama Delivery order kutoka shipping line taarifa za madereva wale na namba za magari mpaka chasis number zikitofautian gari halitoki 🤣🤣🤣🤣 na hapo clearing&forwarding agent ndo anasimamia show
Hapo mpaka uwe field la swali unapiga easy
Maswali yanaeleweka karibia yote sema unatakiwa ujue field ndo utaeleza vizuri mfano stowage plan hapo kuandaa space katika meli ili kupanga containers kuna vitu vya kujua mfano list of dangerous goods(DG) ili ujue unaziweka vip zisije kuleta madhara
Demmurage ni kama vile detention yaani kuzuiliwa Kwa meli na wale charter Kwa kushindwa kupakia au kushusha mzigo katika mda husika unakuta zinatolewa pale berth mpaka ije lipiwa dummurage charges
Sure thing mzeemtu yeyote ambaye amefanya kazi kwenye clearing and forwarding company kwa umakini na amecheza na documents kwa muda mrefu hio paper ananyoosha mazima. Hasa wanaodili na mizigo ya local na transit yani ni kitonga sana hio paper watakuwa ndio watu pekee wanachekelea ushindi humo.
Mtihani ni mtihani tu na hamna kitu kigumu kama hujui pepa itatoka na maswali gani. Utasomaje kila kitu yani🤣Kweli ilipazwa mtu kujindaa vzr sna
Duh acha nianze kupiga msuli
Hahahahah HR unasugua kichwa tu maana utaona duble duble tuSure thing mzee
Pata picha sasa mzee mtu wa HR anajibu nini hapo? [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani hata ship,storage operation ushindwe kujibu ? Naona hayo mtu yeyote anajibu,mengine ni kipengeleSijui hata swali moja hapo, ningetoka kapa kila rakheri kwa mliofanya hiyo written interview
Kabisa mzee babamtu yeyote ambaye amefanya kazi kwenye clearing and forwarding company kwa umakini na amecheza na documents kwa muda mrefu hio paper ananyoosha mazima. Hasa wanaodili na mizigo ya local na transit yani ni kitonga sana hio paper watakuwa ndio watu pekee wanachekelea ushindi humo.
Siambui hata mojaPepa la leo la TPA
Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship
ii) Dumerrage
iii) heavy lift service
2. Meanig of
i) Quay transfer
ii) storage operation
iii) ship operation
iv) delivery and receipt operation
3. Documents required in:
i) general cargo clearing,
ii) motor vehicle,
iii) Container terminal movement
iv) Transhipment
4. a) what is stowage plan
b) 3 main content of a stowage plan
5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
Kama ni kujibu ship is a vessel that carries goods from abroad au country of origin to the destination country kwa majibu ya aina hio hamna mtu mwenye kujua kingereza atashindwa jibu.Yani hata ship,storage operation ushindwe kujibu ? Naona hayo mtu yeyote anajibu,mengine ni kipengele
Kabisa Mkuu,hi kitu sikuitwa, kumbe ningeenda ningepata maswali mawili tu😂Kama ni kujibu ship is a vessel that carries goods from abroad au country of origin to the destination country kwa majibu ya aina hio hamna mtu mwenye kujua kingereza atashindwa jibu.
Storage operation includes all the process of keeping the goods safe from the time of arrival of the ship until they are dismissed to the importer.
ni kichekesho sana eti haya ndio maswali magumu, kisha applicants ni kutoka kwa kobe panya chura mjusi wakati fani ni ya farasi wapi na wapi wamechosha watu bila hurumaNimesomea manunuzi. Ila maswali yote haya najibu. Kuna nyuzi wanalalamika maswali yalikuwa magumu. Yaani haya ndio magumu?
Kweli kabisa common sense inatumika maswali yoteKama ni kujibu ship is a vessel that carries goods from abroad au country of origin to the destination country kwa majibu ya aina hio hamna mtu mwenye kujua kingereza atashindwa jibu.
Storage operation includes all the process of keeping the goods safe from the time of arrival of the ship until they are dismissed to the importer.
sure mzee..hata hivi utumishi wanakosea sana kuita watu wa kozi tofauti na kada ya kazi husika.. hizo kazi za logistics and shipping mgt..watu wa NIT na DMI sasa umesoma sheria unaenda kufanya nn kule???Dah haikua haki kwa mliotoka courses za Procurement, Statistics etc etc
Paper ni pure Shipping.
Mtu makini wa Shipping and Logistics Management hiyo paper ilikua kitonga sana aisee. Mtu wa Transport and Logistics Management stood a chance pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
fanya usaili kwenye kada husika ili kuepusha kuchoma nauliHujabishiwa.
Unaambiwa ni maswali ya kitoto ila kwa walio kwenye kozi husika.
Wengi tulizoeshwa kwamba utumishi wakiita watu wa kozi tofauti katika post moja hua wanabalansi maswali.
Wewe unavyosema ungepasua kwa elimu ya first year haimaanishi una akili sana inamaanisha wametoa maswali angle unayoijua
sasa umesoma hr unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPINGMtu aliesomea HR anajibu nin hapo kwa mfano.
sasa umesoma hr unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPINGSawa ngoja tuendelee kuzurura jijini hapa baadae turudi makwetu
sasa umesoma hr unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPINGTema mate chini boss.
Wewe wa Procurement & Supply kusema kuwa ungejibu hiyo paper yote bila tabu ni kutudanganya tu [emoji3]
Ungejipapatua kiasi hapo kwenye stowage plans, order and delivery & storage operations kwa sababu ni vitu mnasoma.
Anyway watu wanalalamika sababu hakukua na usawa, hebu niambie mtu wa Human Resources Management au Statistics alikua anajibu nini hapo?
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa umesoma hr unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPINGHivyo man [emoji3]
Wangenyoosha sasa maelezo kuliko kwenda kuchomesha watu mahindi.
Sent using Jamii Forums mobile app