Baadhi ya maswali TPA

Baadhi ya maswali TPA

Hujabishiwa.

Unaambiwa ni maswali ya kitoto ila kwa walio kwenye kozi husika.

Wengi tulizoeshwa kwamba utumishi wakiita watu wa kozi tofauti katika post moja hua wanabalansi maswali.

Wewe unavyosema ungepasua kwa elimu ya first year haimaanishi una akili sana inamaanisha wametoa maswali angle unayoijua
Siku zote ndivyo ilivyo ukiona mtu kafaulu mtihani vyema jua kwamba kilichoulizwa alikuwa n ufahamu nacho kwa undani🤣 sio kwamba yeye ana akili sana kuliko wote ambao wamefeli.
 
Hyo paper unavyoina labda kwa mtu mwenye uzoefu na amefanya practical sivyo Italian hao logistic and transport management sio maswali yote watajibu happ nusu tu hwataboi kuna vitu hapo vya field zaidi angalia swali la 5 ilo ni la clearing and forwarding pure.

Hapo mtu ajue kuanzia kuja na import permit /transport permit process zote za TPA mpaka kuja kupata gate pass yaani gate out na ajue izo shipment Kuna direct delivery Kuna condition zake sana sana ujue kuendana na yule gate operator uwe na baadhi ya documents za mzigo kama Delivery order kutoka shipping line taarifa za madereva wale na namba za magari mpaka chasis number zikitofautian gari halitoki 🤣🤣🤣🤣 na hapo clearing&forwarding agent ndo anasimamia show

Hapo mpaka uwe field la swali unapiga easy

Maswali yanaeleweka karibia yote sema unatakiwa ujue field ndo utaeleza vizuri mfano stowage plan hapo kuandaa space katika meli ili kupanga containers kuna vitu vya kujua mfano list of dangerous goods(DG) ili ujue unaziweka vip zisije kuleta madhara

Demmurage ni kama vile detention yaani kuzuiliwa Kwa meli na wale charter Kwa kushindwa kupakia au kushusha mzigo katika mda husika unakuta zinatolewa pale berth mpaka ije lipiwa dummurage charges
Hata kwa mtoa mzigo demmurage ipo so ungeelezea kwa pande zote. Yani hata mzigo ukishawekwa bandarini au ICD charges za aina hio zipo.
 
mtu yeyote ambaye amefanya kazi kwenye clearing and forwarding company kwa umakini na amecheza na documents kwa muda mrefu hio paper ananyoosha mazima. Hasa wanaodili na mizigo ya local na transit yani ni kitonga sana hio paper watakuwa ndio watu pekee wanachekelea ushindi humo.
Sure thing mzee

Pata picha sasa mzee mtu wa HR anajibu nini hapo? [emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mtu yeyote ambaye amefanya kazi kwenye clearing and forwarding company kwa umakini na amecheza na documents kwa muda mrefu hio paper ananyoosha mazima. Hasa wanaodili na mizigo ya local na transit yani ni kitonga sana hio paper watakuwa ndio watu pekee wanachekelea ushindi humo.
Kabisa mzee baba
 
Pepa la leo la TPA

Ports operation officer:
1. Define the folowing i) feeder ship
ii) Dumerrage
iii) heavy lift service

2. Meanig of
i) Quay transfer
ii) storage operation
iii) ship operation
iv) delivery and receipt operation

3. Documents required in:
i) general cargo clearing,
ii) motor vehicle,
iii) Container terminal movement
iv) Transhipment

4. a) what is stowage plan
b) 3 main content of a stowage plan

5. Steps of handling a truck that came to pick up a ceared good.
Siambui hata moja
 
Yani hata ship,storage operation ushindwe kujibu ? Naona hayo mtu yeyote anajibu,mengine ni kipengele
Kama ni kujibu ship is a vessel that carries goods from abroad au country of origin to the destination country kwa majibu ya aina hio hamna mtu mwenye kujua kingereza atashindwa jibu.

Storage operation includes all the process of keeping the goods safe from the time of arrival of the ship until they are dismissed to the importer.
 
Kama ni kujibu ship is a vessel that carries goods from abroad au country of origin to the destination country kwa majibu ya aina hio hamna mtu mwenye kujua kingereza atashindwa jibu.

Storage operation includes all the process of keeping the goods safe from the time of arrival of the ship until they are dismissed to the importer.
Kabisa Mkuu,hi kitu sikuitwa, kumbe ningeenda ningepata maswali mawili tu😂
 
Nimesomea manunuzi. Ila maswali yote haya najibu. Kuna nyuzi wanalalamika maswali yalikuwa magumu. Yaani haya ndio magumu?
ni kichekesho sana eti haya ndio maswali magumu, kisha applicants ni kutoka kwa kobe panya chura mjusi wakati fani ni ya farasi wapi na wapi wamechosha watu bila huruma
 
Kama ni kujibu ship is a vessel that carries goods from abroad au country of origin to the destination country kwa majibu ya aina hio hamna mtu mwenye kujua kingereza atashindwa jibu.

Storage operation includes all the process of keeping the goods safe from the time of arrival of the ship until they are dismissed to the importer.
Kweli kabisa common sense inatumika maswali yote
 
Dah haikua haki kwa mliotoka courses za Procurement, Statistics etc etc

Paper ni pure Shipping.

Mtu makini wa Shipping and Logistics Management hiyo paper ilikua kitonga sana aisee. Mtu wa Transport and Logistics Management stood a chance pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
sure mzee..hata hivi utumishi wanakosea sana kuita watu wa kozi tofauti na kada ya kazi husika.. hizo kazi za logistics and shipping mgt..watu wa NIT na DMI sasa umesoma sheria unaenda kufanya nn kule???
 
Hujabishiwa.

Unaambiwa ni maswali ya kitoto ila kwa walio kwenye kozi husika.

Wengi tulizoeshwa kwamba utumishi wakiita watu wa kozi tofauti katika post moja hua wanabalansi maswali.

Wewe unavyosema ungepasua kwa elimu ya first year haimaanishi una akili sana inamaanisha wametoa maswali angle unayoijua
fanya usaili kwenye kada husika ili kuepusha kuchoma nauli
 
Tema mate chini boss.

Wewe wa Procurement & Supply kusema kuwa ungejibu hiyo paper yote bila tabu ni kutudanganya tu [emoji3]

Ungejipapatua kiasi hapo kwenye stowage plans, order and delivery & storage operations kwa sababu ni vitu mnasoma.

Anyway watu wanalalamika sababu hakukua na usawa, hebu niambie mtu wa Human Resources Management au Statistics alikua anajibu nini hapo?




Sent using Jamii Forums mobile app
sasa umesoma hr unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPING
 
sasa umesoma hr unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPING
 
Back
Top Bottom