Baadhi ya maswali TPA

sasa umesoma HR.BBA.LAW..sjui UFUGAJI WA KUKU unafanya usaili wa kada ya transport una akili???? lazima uende Dom kutalii tu.,waacheni wenye kada ya TRANSPORT & SHIPPING...omba kazi kulingana na kada yako..ili USILE ZA USO
 
Hii ilikuwa ya kibabe hii[emoji1787]
 
Kama kada yako tu unaweza kwenda na kupigwa za uso Sembuse kada isiyokuhusu.. hayo mambo sitaki kabisa kada usiyo na taaluma nayo ni ngumu sana kutoboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…