Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,012
Nimekua nikifuatilia baadhi ya watu wenye pesa duniani na waliokufa wakiwa matajiri wakubwa hawakuwahi kufika vyuo vikuu na wengine waliacha.
Bill Gates mmoja wa watu matajiri mwanzilish wa kampuni ya microsoft. Hakuwah kusoma chuo kikuu na alikua akifel but leo anasema wanaofaulu kwa ufaulu wa juu vyuo mbalimbali ndo wadfanyakaz katika kampuni yake.
Je unaitaj kuwa na elimu ya chuo kikuu kuanzisha kampuni kama billgates? Unaitaj kuwa na elim ili kuwa na pesa kama billgates?.
Steve jobs mwanzilish wa kampuni ta apple ambayo kwasasa ndo kampuni kubwa yenye bidhaa za bei gali kama ipad, iphone, nk. Steve alisoma chuo kwa miez 6 akaacha coz hakuona kama elimu ya chuo ingemsaidia kufikia mlengo yake miaka michache badae akaja na kampuni yake ya apple na komyuta ya bei gal zaid macbook yenye oparating system tofaut kabisa na windows.
Leo wasomi wangapi wameajiriwa ktk kampuni ya mtu ambaye aliacha chuo na kuingia mtaani? Henry Ford mtengenezaji wa magar ya Ford hajawai kufika chuo.
Marc zuckerberg mmiliki wa facebook hajawai kufika chuo kikuu but he is the one of the multimillionaire. Joam mwanzilish wa whatsapp hajawai kufika chuo kikuu bt now he is multimillionaire.
Na wengineo weng mnaowafaham. Mtazamo wangu ni kwamba haiitaj kuwa na degree kufanikiwa ila utakachokifanya ukiwa mtaani ndo kitakufanya ufanikiwe au la.
Izi sio enz za kuwadanganya watoto nenda shule soma kwa bidii upate degree utapata kaz na kuish maisha mazur. Ukimwambia mtoto ivyo unakosea. Ni bora kumuendeleza mtu katika kitu anachoweza kufanya.
Leo hii mtu wa mtaani yupo garage anaweza kutengeneza magar aina zote na ana uwezo mkubwa kifedha kuliko mtu aliyemaliza degree kwenye fani ya mechanics.
Tubadili mfumo wa kufikir kuhusu elimu na pesa.
Bill Gates mmoja wa watu matajiri mwanzilish wa kampuni ya microsoft. Hakuwah kusoma chuo kikuu na alikua akifel but leo anasema wanaofaulu kwa ufaulu wa juu vyuo mbalimbali ndo wadfanyakaz katika kampuni yake.
Je unaitaj kuwa na elimu ya chuo kikuu kuanzisha kampuni kama billgates? Unaitaj kuwa na elim ili kuwa na pesa kama billgates?.
Steve jobs mwanzilish wa kampuni ta apple ambayo kwasasa ndo kampuni kubwa yenye bidhaa za bei gali kama ipad, iphone, nk. Steve alisoma chuo kwa miez 6 akaacha coz hakuona kama elimu ya chuo ingemsaidia kufikia mlengo yake miaka michache badae akaja na kampuni yake ya apple na komyuta ya bei gal zaid macbook yenye oparating system tofaut kabisa na windows.
Leo wasomi wangapi wameajiriwa ktk kampuni ya mtu ambaye aliacha chuo na kuingia mtaani? Henry Ford mtengenezaji wa magar ya Ford hajawai kufika chuo.
Marc zuckerberg mmiliki wa facebook hajawai kufika chuo kikuu but he is the one of the multimillionaire. Joam mwanzilish wa whatsapp hajawai kufika chuo kikuu bt now he is multimillionaire.
Na wengineo weng mnaowafaham. Mtazamo wangu ni kwamba haiitaj kuwa na degree kufanikiwa ila utakachokifanya ukiwa mtaani ndo kitakufanya ufanikiwe au la.
Izi sio enz za kuwadanganya watoto nenda shule soma kwa bidii upate degree utapata kaz na kuish maisha mazur. Ukimwambia mtoto ivyo unakosea. Ni bora kumuendeleza mtu katika kitu anachoweza kufanya.
Leo hii mtu wa mtaani yupo garage anaweza kutengeneza magar aina zote na ana uwezo mkubwa kifedha kuliko mtu aliyemaliza degree kwenye fani ya mechanics.
Tubadili mfumo wa kufikir kuhusu elimu na pesa.