Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

Baadhi ya Mawaziri Serikali ya Awamu ya Sita wamekuwa na Utajiri wa ghafla usio kifani

Hata kipindi cha dhalimu magu akina bashite, Sabaya, Kalemani, nk wakipata utajiri wa ghafla.
Mkuu kuwalalamikia hao walaji wa fedha za Umma ni kuwaonea bure. Wa kulaumiwa ni hawa wenye madaraka na mamlaka ya kuweka Idara ama Vitengo vya kupambana na hao watu unao watuhumu humu. Wenye Mamlaka ya kuunda Taasisi/Idara/Tume kama Takukuru, Maadili ya Viongozi, Takukuru Polisi, Usalama wa Taifa na vingine vinavyo fanana navyo. Vyombo hivi ndivyo vyenye wajibu wa kuhakikisha mambo haya hayapewi nafasi.
Aidha kama vyombo hivyo vipo na matukio hayo yapo na yana endelea kwa kasi, basi ni vyema VIKAFUTWA na watumishi WOTE waliopo kazini kufukuzwa kazi bila malipo, maana hawa kutimiza wajibu wao na hatimaye kuliangamiza Taifa.
 
Kuna baadhi ya Mawaziri wa Awamu ya Sita wamekuwa na utajiri mkubwa na wa ghafla usioendana na kipato chao.

Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa sasa. Mawaziri hao wamekuwa na tabia ya kugawa fedha ili Bajeti zao ziungwe mkono kwa mujibu wa maelezo ya mtoa taarifa kutoka Bungeni.

Kwa kuanza futailieni utajiri wa mawaziri wa sekta hizi;

1. Maji
2. Kilimo
3. Uchukuzi zamani Ujenzi
4. Mambo ya Nje zamani Nishati
5. Fedha
6. Mipango hasa baada ya Mkataba wa DP
7. Ardhi na danganya toto zake za PR
8. TAMISEMI, huyu yeye anakusanya bila aibu

Kama tungekuwa na vyombo imara vya uchunguzi wahusika hao wanatakiwa kuwa gerezani. Wanakula, wanaiba bila kunawa mikono.
Walisharuhusiwa na mkuu kula kwa urefu wa kamba zao, hakuna wa kuchunguzwa wala kufatiliwa , wanaofatiliwa ni akina yakhe wanaodunduliza mia mbili mia mbili
 
Sasa mtu anawaambia wale kwa urefu wa kamba zao, unategemea nini? Yani waziwazi Kiongozi wa nchi anaongea hivyo mbele ya vyombo vya habari, bila kujali chochote, bila kujali cheo chake! Tumepatikana Watanzania 😭
 
Hii inathibitishwa na maelezo ya Wabunge wenzao ambao hali zao ni ngumu kifedha kwa sasa. Mawaziri hao wamekuwa na tabia ya kugawa fedha ili Bajeti zao ziungwe mkono kwa mujibu wa maelezo ya mtoa taarifa kutoka Bungeni.
Yaani hao overpaid and underperforming wanaona kwamba hali zao ni ngumu kifedha ? Mwananchi kitaa asiyepata hata theluthi ya hio kwa miaka hata mitano aseme nini ?
 
Nilikuwa namshangaa sana Waziri wa maji,mbona kawa kimya ghafla,kumbe kalamba dume.Nimeshaelewa sasa.

Lakini ngoja niseme jambo.Nimenotisi kitu kimoja.Marais wetu waliokuwa Waislamu,wana one thing in common,they apparently have been the worst presidents:Mwinyi,Kikwete and now Samia.Misimamo yao ni very shaky,hawana hofu ya Mungu completely kwa hiyo wananchi kwao,si issue sana.

On the other hand Marais ambao walikuwa Wakristo:Nyerere,Mkapa na Magufuli ni very strong characters na hawayumbishwi kirahisi na somehow wana hofu ya Mungu.

Naomba niweke wazi kuwa hii ni observation yangu binafsi,which I can call a "Null Hypothesis."Somebody could take this hypothesis up and carry out research research on it, hasa wale wanao pursue Divinity.Study given samples of Atheists, Muslims,Mainstream Christians and Pentecostals,and see if some trends can be identified.
"I have failed to reject the null hypothesis" Observation yako iko sahihi kabisa, hao uliowataja wana one thing in common (there is no significant difference between them) hahahahahahahahahaha
 
Back
Top Bottom