Baadhi ya member wa JF wangekuwa magari unadhani wangekuwa gari gani?

Mzee huyu atakuwa kafundishwa kutumia Tunguli sasa ana jeuri.
Hata mimi naona.... Dawa ya tunguri lkn ndogo sana.... Just use olive oil regularly... Tunguri hazifanyi kazi... Nimekumegea kidogo Ukitaka zaidi njoo pm.... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tusije tukataengeneza waganga wa kienyeji humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tumosa atakuwa Peugeot 505 [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…