Baadhi ya member wa JF wangekuwa magari unadhani wangekuwa gari gani?

Baadhi ya member wa JF wangekuwa magari unadhani wangekuwa gari gani?

[emoji1] [emoji1]
daah hapa kanimaliza aseeh afadhali hata angenifananisha na kaRunx.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Hata mimi naona.... Dawa ya tunguri lkn ndogo sana.... Just use olive oil regularly... Tunguri hazifanyi kazi... Nimekumegea kidogo Ukitaka zaidi njoo pm.... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tusije tukataengeneza waganga wa kienyeji humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Nimejiandaaa vya kutosha kutengua tunguli
 
Wewe ungekuwa na namba za serikali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

tapatalk_1507481669507.jpeg

Kama Nissan Nyeupe?
 
Naona unanivimbisha bichwa hili, gari zote zipo level ya juu siwezi kufanana nazo.

Mimi nafikiri naweza kuendana na mkokoteni tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom