stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,990
- 4,241
Weee... Mshana na mambo yake ya kichawichawi angekuwa JAYFONGMwenzenu napenda magari.
Member hawa nahisi wangekuwa kama ifuatavyo!
Mshana Jr - Buggati Veyron supersport
Hajar - Ferrari
Shunie - Zenvo SIT
Mzigua90 - Aston Martin one
Mr Miller - Honda fit
mahondaw - Toyota IST
Daby - Toyota vitz
mbalizi1 - Nissan March
Asprin - Toyota Passo
Kiranga - Greda kijiko la kuchota mchanga
Genta- Tingatinga /Kiberenge/
Shindilia la barabarani.
Nimejiandaaa vya kutosha kutengua tunguliHata mimi naona.... Dawa ya tunguri lkn ndogo sana.... Just use olive oil regularly... Tunguri hazifanyi kazi... Nimekumegea kidogo Ukitaka zaidi njoo pm.... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tusije tukataengeneza waganga wa kienyeji humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe ungekuwa na namba za serikali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona unanivimbisha bichwa hili, gari zote zipo level ya juu siwezi kufanana nazo.
Mimi nafikiri naweza kuendana na mkokoteni tu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ah ah ah ah ahWewe kale kakobeeew