Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yani ww na mzee mwenzako Asprin nimecheka sana [emoji23][emoji23][emoji23]haha kwa hiyo mimi kivitz.... mshana ndiye anakupa jeuri eeeh?
Honda fit ndio gari gani hilo Demiss!![emoji134][emoji134][emoji134]Mwenzenu napenda magari.
Member hawa nahisi wangekuwa kama ifuatavyo!
Mshana Jr - Buggati Veyron supersport
Hajar - Ferrari
Shunie - Zenvo SIT
Mzigua90 - Aston Martin one
Mr Miller - Honda fit
mahondaw - Toyota IST
Daby - Toyota vitz
mbalizi1 - Nissan March
Asprin - Toyota Passo
Kiranga - Greda kijiko la kuchota mchanga
Genta- Tingatinga /Kiberenge/
Shindilia la barabarani.
katukosea heshima kabisa huyu bintiUzi umenisikitisha sana yani wanawake umewafananisha na magari alafu wanaume umewafananisha na usafiri
hahahaDemiss ungekuwa gari ungekuwa kagari ka mzigo.
Labda ka Suzuri Carry. Yaani ka Kirikuu😀😀
Kadogo lakini kanabeba mizigo hiyo mnnh.
Ukimaindi poa tu.
hahahaHa ha ha ha ha... Yaani wewe kivitz kivp? Body ya nje au mambo ya ndani? Ebu mzee mwenzangu muombe akuweke wazi
Nawahi taraweh nisije nikakutwa na dadaake Shunie.... Ana kweli kweliSafari ya wap hyo
Sawasawa wasalmie hukoNawahi taraweh nisije nikakutwa na dadaake Shunie.... Ana kweli kweli
I am just being a little inquisitive [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Uchochezi
hahah haya aiseeUngetembea nyuma unasomeka STL