Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Baadhi ya miradi ya uwekezaji inayoweza kufanywa na wastaafu

Maana ya kustaafu ni kupumzika baada ya kufanya kazi kwa miaka yako 60 na kuchoka kimwili na akili. Sitarajii eti mtu anasaafu halafu aendelee na kufuga ua kulima au kufanya biashara. Ukistaafu unatakiwa kupumzika warume! kwa maana hiyo jiwekee sasa vituo vya kukusanya pesa ukishastaafu. Tunataka tumuone mstaafu anaamka asubuhi, anapiga mazoezi yake ya kutembea tartiiiibu, akirudi home anaoga, anapiga breakfast health anapumzika chini ya kamwembe hapo nje na baadae anatoka kwenda kukusanya maokoto mdogo mdogo na kupiga umbea kidogo na majirani.... jioni anaingia kanisani au msikitini anamshukuru Mungu wake anarudi kulalala..... wekend anapanda SGR anaenda kusalimia wajukuu. huku ndio kustaafu

Wakat wabongo anakwambia biashara gani ya kufanya baada ya kustaafu.. sasa ufanye biashara tena.. basi hujastaafu ila umeachishwa kazi kutokana na umri
 
Umesema vitu vingi sana ambavyo wazee wengi hawawez fanya

Nawashauri wazee wenzangu ambao wameshajenga nyumba tayar

Kwanza unapopata hyo hela ya pension wape wanao kila mmoja walau hata 2mil

Biashara nyepesi ambazo mzee anaweza fanya kwenye haya mazingira yetu ya tz
1.kilimo na ufugaji
2.duka la hardware
3.mashine za nafaka
4.nyumba za kulala wageni au za kupangisha
5.maabara,dispensary na duka la dawa

Sasa hardware ni kaZi ya mstaafu.. yaan aamke aanze purukushani za kufungua duka mara kufata material mara kuoambana na TRA.. hiyo sio kazi ua kustaafu

Kazi kustaafu unatakiwa isichoshe akili..

Kipato chake kinatakiwa kiwe passive maana yake hata akiamua mwez mzima au mwaka hajapita kwenye hiyo biashara pesa inaingia..

Mdau kasema hapo mstaafu anatakiwa awe na uhuru wa mda anawwza akasafiri anavyojisikia na huku nyuma maokoto yanaingia..

kama Anafanya kazi na hana uhuru na mda wake huyo haja staafu sema kaachishwa kazi kutokana na umri

Asilimia kubwa ya biashara hapo juu ulizozitaja ni aidha mstaafu awe na mtaji mkubwa sana kias kwamba afungue kampuni aajiri hadi CEO ndio atakuwa na uhuru walau kidogi na mda wake otherwise sio biashara za mstaafu hizo
 
Mstafu yoyote asipofanya chochote kwa hela zake,atazila mpaka kufa.Mfano Mama yangu alikuwa Mwalimu mafao yake alipata 92.5M na fedha ya kila mwezi anapata 500K.
Alisitafu na 55,ukiweka makadirio kuwa ataishi 25 yrs to come maana yake ataishi mpaka 80 yrs.Akisema atumie 92.5 kwa miaka hiyo 25 kila mwaka atatumia 3.7M wastani wa 308,000 kwa mwezi,fedha hii ukijumuisha na 500K anayopata kila mwezi maana yake kila mwezi atakuwa na kipato cha 800K.
Kwa mstafu anayeishi wilayani 800,000 ni hela nyingi sana,ukitegemea hana mtoto hata moja anamtegemea.


Nchi za wenzetu (US) taratibu zao za mambo ya kustaafu wanakwambia hakikisha una pesa ambayo itakuhudumia kwa miaka 30. Katika rate ya 4% - 7% kwa mwaka mara baada ya kustaafu

Maana yake wanataka uwekeze ili ukija kustaafu uwe na pesa ya kustaafu na hiyo pesa uwe unaweza kuitumia 4% yake kila Mwaka kwa mda wa miaka 30. Kumbuka hapo washa factor in inflation

Hicho ndio kikokotoo cha, ni kipo online
 
Nchi za wenzetu (US) taratibu zao za mambo ya kustaafu wanakwambia hakikisha una pesa ambayo itakuhudumia kwa miaka 30. Katika rate ya 4% - 7% kwa mwaka mara baada ya kustaafu

Maana yake wanataka uwekeze ili ukija kustaafu uwe na pesa ya kustaafu na hiyo pesa uwe unaweza kuitumia 4% yake kila Mwaka kwa mda wa miaka 30. Kumbuka hapo washa factor in inflation

Hicho ndio kikokotoo cha, ni kipo online
Huku kwetu hali ni tofauti

Kwanza unakuta Mstaafu Hana hata nyumba ya kuishi, hapo Kikokotoo kipya kinakupa 33%

Kwahiyo maisha ya wastaafu lazima yawe magumu
 
Back
Top Bottom