Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nadhani ungeenda Iran Penyewe ukawauliza.Huyu mbona nywele zinaonekana? Kikosi maalum cha kudhibiti wasiojisitiri hawajamuona?
View attachment 2489509
Kwa akili zako weka jina la search engine ya Iran.Kwahyo kwa fikra zako hakuna search engines zingine zaidi ya hiyo gugo ya beberu
Hebu weka flyover zilizotulia kama hizo na zikapambwa na maua mororo😁TEHRAN NA DAR ES SALAAM TOFAUTI NI KIDOGO SANA
Kwahyo kwa fikra zako hakuna search engines zingine zaidi ya hiyo gugo ya beberu
Mzee wa upinde mbona kama umeumia sana?Kwa msaada wa gugo ya Beberu. alafu ukimaliza kuapload hizo picha unasema"marekani hataki watu wajue vile Iran imeendelea" wakati hizo picha umezitoa kwenye saver za gugo ambayo ni mali yake.
Marekani ni mbeba lawama wa dunia😁
Kumbuka kua Iran hapo ipo kwenye vikwazo vya kiuchumi kwa zaidi ya miaka 40Pazuri lakini hapatishi, kwa ile pesa ndefu ya mafuta na gas waliyonayo kama Qatar wanatakiwa wawe vizuri zaidi
Na wewe unaonekana ni mfuasi wa wale jamaa wa Upinde,Internet ni technology ya jeshi la marekani! Inaonekana wewe ni wa dini ile, ile ya Allah!
MKuu huoni hata aibu kusema hivyo? Iran ipo kwenye vikwazo vya kiuchumi kwa zaidi ya miaka 40TEHRAN NA DAR ES SALAAM TOFAUTI NI KIDOGO SANA
Dunia ina mgawanyo wa kimajukumu,hata hao wazungu wanategemea pia Mafuta ya hao unao wachukia,Internet yenyewe ni mali ya mabeberu.
NaaaumNyumbani kwa Ayatullah.View attachment 2489472View attachment 2489473View attachment 2489474View attachment 2489475View attachment 2489476View attachment 2489477View attachment 2489478View attachment 2489479View attachment 2489480View attachment 2489485View attachment 2489486View attachment 2489487View attachment 2489488View attachment 2489489View attachment 2489490View attachment 2489491View attachment 2489492
Salamaleku mithli aljinsMzee wa upinde mbona kama umeumia sana?