Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kwani yule mkenya mweny kingereza cha ugoko kaacha kupost maandamano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Documentary ya Dw daah hakika Tehran hakuna matataNyumbani kwa Ayatullah.View attachment 2489472View attachment 2489473View attachment 2489474View attachment 2489475View attachment 2489476View attachment 2489477View attachment 2489478View attachment 2489479View attachment 2489480View attachment 2489485View attachment 2489486View attachment 2489487View attachment 2489488View attachment 2489489View attachment 2489490View attachment 2489491View attachment 2489492
muulize mama yako kama kichwa changu ni cha panzi, atakupa mrejeshoKichwa cha Panzi wewe.
Beberu hakwepeki shekhe kwenye modern lifestyleAcha ujuaji hizo ni biashara za watu na zimeanzishwa ili kupata faida.
Usifikiri tabia alizo nazo Mama yako ni sawa na tabia ambazo wanazo Mama wa wenzako,usikariri kichwa cha Panzi wewe.muulize mama yako kama kichwa changu ni cha panzi, atakupa mrejesho
Ona huyu ustaadhi, kwamba mafuta yapo Iran tu? Hujui USA ana reserve kubwa sana ya mafuta? Zanzibar? Quwait etc tumia google ya beberu upate maarifa hayoHata hao Iran hawakwepeki kwa sababu huwezi kuishi bila mafuta.
Sasa mbona yupo uchi?Hicho ni kinogesho cha picha ninajaribu kukuonesha wajukuu wa Ayatullah walivyo visu.
Ndio umeacha nini umekubali nini.Ona huyu ustaadhi, kwamba mafuta yapo Iran tu? Hujui USA ana reserve kubwa sana ya mafuta? Zanzibar? Quwait etc tumia google ya beberu upate maarifa hayo
Una hamu na njaa?Ndio umeacha nini umekubali nini.
hujui hata maana reserv nahisi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ukubwa jalalaKwa msaada wa gugo ya Beberu. alafu ukimaliza kuapload hizo picha unasema"marekani hataki watu wajue vile Iran imeendelea" wakati hizo picha umezitoa kwenye saver za gugo ambayo ni mali yake.
Marekani ni mbeba lawama wa dunia😁
Wana mitambo na silaha za nyukilia.Sasa mkuu Iran na Qtaar utazilinganishaje?
Internet ni technology ya jeshi la marekani! Inaonekana wewe ni wa dini ile, ile ya Allah!
Kama hawauzi Marekani basi wanauza sehemu nyingine za dunia sio razima wauze Marekani.Ona huyu ustaadhi, kwamba mafuta yapo Iran tu? Hujui USA ana reserve kubwa sana ya mafuta? Zanzibar? Quwait etc tumia google ya beberu upate maarifa hayo