Ni kweli ni Wakarimu hata kiongozi anasimama kwenye jukwaa akitangaza kuwa wana uwezo wa kuuza umeme Nchi jirani huku Kijijini kwake hakuna umeme...Watanzania ni watu wakarimu sana na wenye ujamaa kuzidi taifa lolote Africa.
😁😁Watoe viongozi mkuu, wabongo ni wakarimu na wavumilivu mno ndio maana kiongozi anaweza ongea utumbo kama huo na bado akapumua tu.Ni kweli ni Wakarimu hata kiongozi anasimama kwenye jukwaa akitangaza kuwa wana uwezo wa kuuza umeme Nchi jirani huku Kijijini kwake hakuna umeme...
Malizia na hii, ni waoga sana!!Watanzania ni watu wakarimu sana na wenye ujamaa kuzidi taifa lolote Africa.
Hii ni sifa ya wanaigeria.. umewasingizia watanzania.Watanzania ni watu wezi sanaaa na wanaweza kukupanga ukapangika ...
Kiufupi tantalila nyingi sana mdomoni.
Nani atamfunga paka kengele kaka mkubwa😁Malizia na hii, ni waoga sana!!
Labda ungesema watu slow sana pia.Watanzania ni watu wakarimu sana na wenye ujamaa kuzidi taifa lolote Africa.
Ukarimu ni adimu pia sana siku hizi kwenye ofisi nyingi za umma na polisi, labda ilikuwa huko zamani.Watanzania ni watu wakarimu sana na wenye ujamaa kuzidi taifa lolote Africa.
Sasa gerezani wote wafungwa mnabaguana ili iweje!Watanzania ni wakatimu na upendo wa kutosha...wala sio waoga ni watu wa kupuuza...kama umeshawah kaa gerezan..unakuta wale wasomali au waethiopia wana uhuru na aman utazan wapo nchini mwao...huwez kuta wanabaguliwa either na wafungwa au maofisaa
Aliyeakuambia gerezan wote wafungwa nani?Sasa gerezani wote wafungwa mnabaguana ili iweje!
Njoo kwenye siasa na fursa nyingine uzungumze hayo maneno kama utaeleweka
Samahani nimekosea, kuna maafisa gereza na askari magereza pia.Aliyeakuambia gerezan wote wafungwa nani?
Kaka mm ni manzanita pia nakwambia huyu mbongo anaweza akasuka plan akampa mnigeria ili akupige wewe wakagawane mbele au akamchapa na yeye vile vileHii ni sifa ya wanaigeria.. umewasingizia watanzania.