Baadhi ya nchi zilizoweka lockdown na kisha baada ya kuondoa, visa vya Corona vimeongezeka kwa kasi, inatufundisha nini juu ya busara za Rais wetu?

Baadhi ya nchi zilizoweka lockdown na kisha baada ya kuondoa, visa vya Corona vimeongezeka kwa kasi, inatufundisha nini juu ya busara za Rais wetu?

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Tumepata taarifa kupitia vyombo mbali mbali vya kimataifa juu ya nchi kadhaa zilizoweka total lockdown na baada ya uchumi kuyumba na njaa kuwa kali wakaamua kuondoa lockdown, kisha visa vya Corona vikashoot juu kwa kasi kwa mara nyingine tena, na sasa wanafikiria kurudisha tena lockdown. Nchi hizo ni kama Germany na South Korea.
Uingereza nao wanatoa lockdown na wamesema wakihisi tu visa vinapaa tena basi hawatasita kuwafungia tena ndani wananchi, (Total lockdown).
Je, hii inatufundisha nini juu ya busara za mheshimiwa Rais?

Fahamu kwa undani nadharia ya ‘Lockdown YOYO effect’ , mchezo wa kujaza maji ndoo ilitoboka - JamiiForums

Boris Johnson: Tujifunzeni kuishi na Corona tutakuwa nayo kwa muda mrefu - JamiiForums
 
Nilichojifunza ni kwamba NO BODY CAN STOP REGGAE!!

Ukitaka kumaliza COVID lazima ufungie watu ndani mpaka chanjo ipatikane tofauti na hapo ni kucheza miondoko ya reggae tu yaani kurukaruka huku upo hapohapo tu.

Hii ni reggae in real life.
Ofcourse, kama wanaweza wawafungie ndani hadi chanjo ipatikane, otherwise itakuwa ni raggae kama usemavyo (YOYO effect)
 
Inatufundisha kuwa Lockdown inasaidia ku control kusambaza na kuleta visa vipya. Watu wakiwa lockdown kuna kuwa na visa kadhaa ila wakiiondoa vinaongezeka sana kuliko mwanzo tena kwa kasi
Ahsante, na hii ndio hasa inadhirisha busara za Mh. Rais
 
Ingekuwa huu ugonjwa unaathari kama unavyopakwa rangi humu, nina hakika hata mtaani kwetu visa vya vifo visingeweza kufichika

Lakini hata majirani na wafanyakazi wenzetu bado tunao na hawana kisa chochote makwao

Ila ukiingia humu mpaka inachosha kwa kweli, utasema kuna watu wanakodiwa kuleta taharuki ama la ni utoto..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
President Museveni has said lifting the ban on public transport will depend on how the public is responding to the use of masks.

The President made the remarks during the second National Day of Prayer against Covid-19, at State House Entebbe on Saturday.

“We have avoided situations like those of other countries because we used maximum restrictions. We must now slowly open by continuing to avoid the virus through using masks, continue to treat as long as the numbers are not many and at the same time still look for the vaccine. We may soon resume public transport, but this will only work if we have masks on. If we fail to wear masks, we will have massive infections,” he said.

The President also said those who want the trucks banned are misguided because stopping the cargo trucks will cripple the economy. He, however, assured the country that he had talked with the other heads of State of other East African countries and the matter would be dealt with.

“We are in talks with presidents Salva Kiir of South Sudan, Uhuru Kenyatta of Kenya, Paul Kagame of Rwanda and John Pombe Magufuli of Tanzania and we are discussing this. We want the drivers to be tested by joint teams of the four countries. We do not want them to be tested at the borders now, we want them to be tested from their origin,” he said.

Museveni pegs transport return on use of face masks
 
Tumepata taarifa kupitia vyombo mbali mbali vya kimataifa juu ya nchi kadhaa zilizoweka total lockdown na baada ya uchumi kuyumba na njaa kuwa kali wakaamua kuondoa lockdown, kisha visa vya Corona vikashoot juu kwa kasi kwa mara nyingine tena, na sasa wanafikiria kurudisha tena lockdown. Nchi hizo ni kama Germany na South Korea.
Uingereza nao wanatoa lockdown na wamesema wakihisi tu visa vinapaa tena basi hawatasita kuwafungia tena ndani wananchi, (Total lockdown).
Je, hii inatufundisha nini juu ya busara za mheshimiwa Rais?

Fahamu kwa undani nadharia ya ‘Lockdown YOYO effect’ , mchezo wa kujaza maji ndoo ilitoboka - JamiiForums
Sijui kama unajua maana halisi ya neno busara. Rais angekuwa na chembe ya busara asingejificha na kuuficha ukweli juu hali halisi ya ugonjwa huu nchini. Naona aibu kuwa mtanzania chini ya rais asiye na busara hata kidogo
 
Tumepata taarifa kupitia vyombo mbali mbali vya kimataifa juu ya nchi kadhaa zilizoweka total lockdown na baada ya uchumi kuyumba na njaa kuwa kali wakaamua kuondoa lockdown, kisha visa vya Corona vikashoot juu kwa kasi kwa mara nyingine tena, na sasa wanafikiria kurudisha tena lockdown. Nchi hizo ni kama Germany na South Korea.
Uingereza nao wanatoa lockdown na wamesema wakihisi tu visa vinapaa tena basi hawatasita kuwafungia tena ndani wananchi, (Total lockdown).
Je, hii inatufundisha nini juu ya busara za mheshimiwa Rais?

Fahamu kwa undani nadharia ya ‘Lockdown YOYO effect’ , mchezo wa kujaza maji ndoo ilitoboka - JamiiForums
Wachezaji watatu wa Brighton ya UK waliorudi kufanya mazoezi wana Corona.Sasa hapo sijui teamates na member wengine wa hiyo timu watakuwa na hali gani.Hapo bado hujajua wamekutana na akina nani na huo ugonjwa waliambukizwa na akina nani na hao walio waambukiza hao wachezaji walitembelea wapi na wapi na wao waliambukizwa na nani..................(yaani hapa chain yake ni ndefu)

Huu ugonjwa ni kutafuta njia ya kuishi nao kama Malaria ili maisha yaendelee.Tufuate ushauri wa kitaalamu tuvae barakoa maisha ya endelea la sivyo itakuwa mchezo wa kufunga na kufungua.

Boris Johnson pamoja na wapinzani jana kumpigia kelele hali mbaya,akawaambia lazima incho ifunguke,ila kila mwananchi anatakiwa achukua taadhari na afuate masharti ya wataalamu na serikali.
 
Back
Top Bottom