Baadhi ya nchi zilizoweka lockdown na kisha baada ya kuondoa, visa vya Corona vimeongezeka kwa kasi, inatufundisha nini juu ya busara za Rais wetu?

Baadhi ya nchi zilizoweka lockdown na kisha baada ya kuondoa, visa vya Corona vimeongezeka kwa kasi, inatufundisha nini juu ya busara za Rais wetu?

Busara gani, ya kutaka tupige kazi huku yeye amejificha vichakani kwao?

Kwa kua misukule kazi yenu ni kusifu hamjisumbui hata kutafta taarifa. Nchi nyingi hawajaweka lockdown ila walichukua hatua za kueleweka.

Lockdown hua sio ya milele kwamba haitaondolewa, hua ni haizidi siku 21 with extension kutegemea na hali itakavyokua. Lockdown imesaidia sana .

Sisi huku tulichokifanya ni kufunga shule tu na viongozi kukimbia kwenda kujificha.

Ndio maana nchi nyingine wameamua kutulock out kwa sababu ya ujinga.

Bila lockdown kuna measures nyingine hua zinachukuliwa, sisi hatujafanya chochote. Hiyo nayo unaona ni akili.

Ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania. Ndio maana nchi masikini kama zetu haziwezi kuendelea kwa sababu makondoo bado ni wengi
 
Sijui kama unajua maana halisi ya neno busara. Rais angekuwa na chembe ya busara asingejificha na kuuficha ukweli juu hali halisi ya ugonjwa huu nchini. Naona aibu kuwa mtanzania chini ya rais asiye na busara hata kidogo
Nazungumzia busara katika context ya mada husika, kwamba nchi zilizoweka lockdown na kisha wanaziondoa halafu infections zinapaa tena, halafu wanajifungia tena ndani, over and over
 
President Museveni has said lifting the ban on public transport will depend on how the public is responding to the use of masks.

The President made the remarks during the second National Day of Prayer against Covid-19, at State House Entebbe on Saturday.

“We have avoided situations like those of other countries because we used maximum restrictions. We must now slowly open by continuing to avoid the virus through using masks, continue to treat as long as the numbers are not many and at the same time still look for the vaccine. We may soon resume public transport, but this will only work if we have masks on. If we fail to wear masks, we will have massive infections,” he said.

The President also said those who want the trucks banned are misguided because stopping the cargo trucks will cripple the economy. He, however, assured the country that he had talked with the other heads of State of other East African countries and the matter would be dealt with.

“We are in talks with presidents Salva Kiir of South Sudan, Uhuru Kenyatta of Kenya, Paul Kagame of Rwanda and John Pombe Magufuli of Tanzania and we are discussing this. We want the drivers to be tested by joint teams of the four countries. We do not want them to be tested at the borders now, we want them to be tested from their origin,” he said.

Museveni pegs transport return on use of face masks
Kwahiyo anakubali kwamba sala na kuvaa mask kama tunavyofanya huku ndio sustainable strategy?
 
Sijui kama unajua maana halisi ya neno busara. Rais angekuwa na chembe ya busara asingejificha na kuuficha ukweli juu hali halisi ya ugonjwa huu nchini. Naona aibu kuwa mtanzania chini ya rais asiye na busara hata kidogo
Ukweli upi unaoujua ww unahisi umefichwa?
Raisi kajificha wapi? Kwa aliko hakuna ikulu ndogo?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
President Museveni has said lifting the ban on public transport will depend on how the public is responding to the use of masks.

The President made the remarks during the second National Day of Prayer against Covid-19, at State House Entebbe on Saturday.

“We have avoided situations like those of other countries because we used maximum restrictions. We must now slowly open by continuing to avoid the virus through using masks, continue to treat as long as the numbers are not many and at the same time still look for the vaccine. We may soon resume public transport, but this will only work if we have masks on. If we fail to wear masks, we will have massive infections,” he said.

The President also said those who want the trucks banned are misguided because stopping the cargo trucks will cripple the economy. He, however, assured the country that he had talked with the other heads of State of other East African countries and the matter would be dealt with.

“We are in talks with presidents Salva Kiir of South Sudan, Uhuru Kenyatta of Kenya, Paul Kagame of Rwanda and John Pombe Magufuli of Tanzania and we are discussing this. We want the drivers to be tested by joint teams of the four countries. We do not want them to be tested at the borders now, we want them to be tested from their origin,” he said.

M

Haters wa taifa in the name of ushauri wa kebehi huku madhara hayachagui itikadi zao za siasa mpaka mwenye mambo ya msingi, wameiona hii?
Maana walimzodoa Rais wao kufanya siku ya maombi kitaifa na wakamsifia museven na wakafurahia sana hatua za nchi zingine dhidi ya nchi yao( Aliewaroga anastahili pongezi)
 
Raisi kafanya jambo jema sana kutofungia watu ndani.
Sisi wananchi maskini tunafaidika na uamuzi huu kwani unatunufaisha kwa kuendelea kufanya kazi zinazotupa kipato kila siku.

Nyie watu wenye uwezo wa Pesa kwanini msijifungie ndani ili msipate corona ?

Mnataka tufungiwe wote ili ninyi muishi na sisi tufe na njaa ?

Jifungieni ndani kama wabunge wa Chadema ili muwe salama.

Sisi wa kima cha chini mtuache tufanye kazi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Busara gani, ya kutaka tupige kazi huku yeye amejificha vichakani kwao?

Kwa kua misukule kazi yenu ni kusifu hamjisumbui hata kutafta taarifa. Nchi nyingi hawajaweka lockdown ila walichukua hatua za kueleweka.

Lockdown hua sio ya milele kwamba haitaondolewa, hua ni haizidi siku 21 with extension kutegemea na hali itakavyokua. Lockdown imesaidia sana .

Sisi huku tulichokifanya ni kufunga shule tu na viongozi kukimbia kwenda kujificha.

Ndio maana nchi nyingine wameamua kutulock out kwa sababu ya ujinga.

Bila lockdown kuna measures nyingine hua zinachukuliwa, sisi hatujafanya chochote. Hiyo nayo unaona ni akili.

Ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania. Ndio maana nchi masikini kama zetu haziwezi kuendelea kwa sababu makondoo bado ni wengi
Tatzo mnapenda kutaka kila jambo lifanyike kama linavyofanyika kwa wengne. Huko ni sawa na kuiga maisha ya mwingne..

Angalia maisha ya mtanzania yakoje?
Watanzania walio wengi wanaishi chini ya dola moja na kipato chenyewe ni kama ridhiki ya mbwa kwamba kila siku lazma atoke ahangaike ndio apate hyo chini ya dola moja.

Je nchi zilizopiga lockdown maambukizi yake na vifo vyake viko chini kuliko Tanzania?

Kama umetahadharishwa na kusisitizwa kabisa kuepuka mikusanyiko, na kubaki nyumbani nini kinakufanya upuyange?

Tatzo mmezoea maisha ya utumwa ya kushikiwa fimbo na risasi lakn mkiambiwa kwa upole na hekima mnaona ni ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui kama unajua maana halisi ya neno busara. Rais angekuwa na chembe ya busara asingejificha na kuuficha ukweli juu hali halisi ya ugonjwa huu nchini. Naona aibu kuwa mtanzania chini ya rais asiye na busara hata kidogo
[/QUOTEAkitoka

o
So akitoka huko unakokuita mafichoni ugonjwa utaisha nchini na dunian eeeh?
Alikoenda kujificha amejificha na hospital na vituo vya afya vyote vifaa tiba na wahudumu wa afya wote kisha akaacha wa Tanzania wanakufa barabarani bila msaada eeehh?
Kumbe tulipaswa kufanya nini
 
Busara gani, ya kutaka tupige kazi huku yeye amejificha vichakani kwao?

Kwa kua misukule kazi yenu ni kusifu hamjisumbui hata kutafta taarifa. Nchi nyingi hawajaweka lockdown ila walichukua hatua za kueleweka.

Lockdown hua sio ya milele kwamba haitaondolewa, hua ni haizidi siku 21 with extension kutegemea na hali itakavyokua. Lockdown imesaidia sana .

Sisi huku tulichokifanya ni kufunga shule tu na viongozi kukimbia kwenda kujificha.

Ndio maana nchi nyingine wameamua kutulock out kwa sababu ya ujinga.

Bila lockdown kuna measures nyingine hua zinachukuliwa, sisi hatujafanya chochote. Hiyo nayo unaona ni akili.

Ujinga bado ni tatizo kubwa sana Tanzania. Ndio maana nchi masikini kama zetu haziwezi kuendelea kwa sababu makondoo bado ni wengi
1.) Kule ni nyumbani kwake kama wewe unavyoenda nyumbani kwako, ushauri unaotolewa ni kaa nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, hata wewe unaweza kufuata ushauri ambao Rais anaufanya kwa vitendo, kazi anafanya kwa simu na video conferencing, kwani nesi yule akahudumie wagonjwa? HUNA HOJA

2.) Tunajua nchi nyingi kama ilivyo sisi hawajaweka lockdown ila wamechukua hatua za kueleweka kama sisi pia, tumefunga shule, tumekataza watu kutoka bila barakoa, tumehakikisha kuna ndoo za maji na sabuni kila baada ya mita tatu, tumetoa sharti la watu kuchukua TAKEAWAY na masharti mengine mengi ya social distancing, HUNA HOJA

3.) Lockdown ina maana tu kama itawekwa hadi wagonjwa wabaki 0, pasiwe na mgonjwa hata mmoja aliyebaki maana huyo mmoja atasababisha tena mlipuko, maana hata hapo mwanzo palianza na mgonjwa mmoja tu, ukisema watachukua tahadhari za kujikinga ili mlipuko usirudi nami nitakwambia kwanini wasingechukua tu hizo tahadhari toka mwanzo badala ya kuweka lockdown? Maana cases zilizopo wakati wanatoa lockdown ni nyingi kuliko wakati wanaweka lockdown, so lockdown ina mantiki ipi hapo? HUNA HOJA

4.) Kuna ubaya gani kufunga shule maana wanafunzi hawana uwezo wa kujisimamia kutekeleza tahadhari za kitaalam za social distancing, kunawa, uvaaji barako nk. Halafu kujificha maananyake nini? Mtu kukaa kwake ni kajificha, ulitaka afanye nini wakati wataalam wamesema kama huna ulazima wa kutoka basi usitoke, na yeye anafanya hivyo, hata wewe kama unaweza kufanya kazi kwa simu/ online bila kutoka basi usitoke, maana hayo ndio maagizo ya wataalam. HUNA HOJA.

5.) Mtu ambae kajifungia ndani kwake automatically amelockout kila mtu nje, sasa sijui unamaanisha nini, HUNA HOJA

6.) Unaposema hatuna lolote tulilofanya (ukiacha hiyo lockdown), unamaanisha nini? Haya yote yaliyofanyika including kufunga shule sio chochote? Hizi restrictions zote especially Dar we unaona si chochote? HUNA HOJA

7.) Kweli ujinga ni tatizo, lakini elimu ipo na inatolewa kila kona ili kuondoa ujinga na hatimae umasikini, lakini tofautisha ujinga na kupingana, watu kutofautiana mawazo ni jambo lakawaida, hivyo jitahidi kuonyesha uhalali wa mawazo dhidi ya mawazo ya mtu mwingine kwa kutumia hoja, jenga hoja na utasikikizwa, HUNA HOJA
 
Imenifundisha kuamini Magufuli ni the best - hatingishiki. Mwanaume halisi hapepesuki na miluzi ya wengine, anasimamia anachoamini.
Awali sikua namkubali ila kwenye hili nasimama naye.
 
Ndiyo matatizo yetu watanzania. JPM yupo sahihi the hard way ndugu yangu. Umeona hata fedha ya kenya imeshuka thamani?
 
Ndiyo matatizo yetu watanzania. JPM yupo sahihi the hard way ndugu yangu. Umeona hata fedha ya kenya imeshuka thamani?
Ni very obvious kwamba kuchukua tahadhari (staying alert) ndio njia sustainable, hii kufungiana ndani ni sawa na mtu kujibana usiharishe, utanbana weeeee, ila yakifika mahali pake lazima utaachia tu
 
Nilichojifunza ni kwamba NO BODY CAN STOP REGGAE!!

Ukitaka kumaliza COVID lazima ufungie watu ndani mpaka chanjo ipatikane tofauti na hapo ni kucheza miondoko ya reggae tu yaani kurukaruka huku upo hapohapo tu.

Hii ni reggae in real life.
Nobody can stop raggae because raggae is strong
 
Umejibu kisomi sana bro.. Kama hajakuelewa basi kuna shida kwenye akili yake
1.) Kule ni nyumbani kwake kama wewe unavyoenda nyumbani kwako, ushauri unaotolewa ni kaa nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, hata wewe unaweza kufuata ushauri ambao Rais anaufanya kwa vitendo, kazi anafanya kwa simu na video conferencing, kwani nesi yule akahudumie wagonjwa? HUNA HOJA

2.) Tunajua nchi nyingi kama ilivyo sisi hawajaweka lockdown ila wamechukua hatua za kueleweka kama sisi pia, tumefunga shule, tumekataza watu kutoka bila barakoa, tumehakikisha kuna ndoo za maji na sabuni kila baada ya mita tatu, tumetoa sharti la watu kuchukua TAKEAWAY na masharti mengine mengi ya social distancing, HUNA HOJA

3.) Lockdown ina maana tu kama itawekwa hadi wagonjwa wabaki 0, pasiwe na mgonjwa hata mmoja aliyebaki maana huyo mmoja atasababisha tena mlipuko, maana hata hapo mwanzo palianza na mgonjwa mmoja tu, ukisema watachukua tahadhari za kujikinga ili mlipuko usirudi nami nitakwambia kwanini wasingechukua tu hizo tahadhari toka mwanzo badala ya kuweka lockdown? Maana cases zilizopo wakati wanatoa lockdown ni nyingi kuliko wakati wanaweka lockdown, so lockdown ina mantiki ipi hapo? HUNA HOJA

4.) Kuna ubaya gani kufunga shule maana wanafunzi hawana uwezo wa kujisimamia kutekeleza tahadhari za kitaalam za social distancing, kunawa, uvaaji barako nk. Halafu kujificha maananyake nini? Mtu kukaa kwake ni kajificha, ulitaka afanye nini wakati wataalam wamesema kama huna ulazima wa kutoka basi usitoke, na yeye anafanya hivyo, hata wewe kama unaweza kufanya kazi kwa simu/ online bila kutoka basi usitoke, maana hayo ndio maagizo ya wataalam. HUNA HOJA.

5.) Mtu ambae kajifungia ndani kwake automatically amelockout kila mtu nje, sasa sijui unamaanisha nini, HUNA HOJA

6.) Unaposema hatuna lolote tulilofanya (ukiacha hiyo lockdown), unamaanisha nini? Haya yote yaliyofanyika including kufunga shule sio chochote? Hizi restrictions zote especially Dar we unaona si chochote? HUNA HOJA

7.) Kweli ujinga ni tatizo, lakini elimu ipo na inatolewa kila kona ili kuondoa ujinga na hatimae umasikini, lakini tofautisha ujinga na kupingana, watu kutofautiana mawazo ni jambo lakawaida, hivyo jitahidi kuonyesha uhalali wa mawazo dhidi ya mawazo ya mtu mwingine kwa kutumia hoja, jenga hoja na utasikikizwa, HUNA HOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.) Kule ni nyumbani kwake kama wewe unavyoenda nyumbani kwako, ushauri unaotolewa ni kaa nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, hata wewe unaweza kufuata ushauri ambao Rais anaufanya kwa vitendo, kazi anafanya kwa simu na video conferencing, kwani nesi yule akahudumie wagonjwa? HUNA HOJA

2.) Tunajua nchi nyingi kama ilivyo sisi hawajaweka lockdown ila wamechukua hatua za kueleweka kama sisi pia, tumefunga shule, tumekataza watu kutoka bila barakoa, tumehakikisha kuna ndoo za maji na sabuni kila baada ya mita tatu, tumetoa sharti la watu kuchukua TAKEAWAY na masharti mengine mengi ya social distancing, HUNA HOJA

3.) Lockdown ina maana tu kama itawekwa hadi wagonjwa wabaki 0, pasiwe na mgonjwa hata mmoja aliyebaki maana huyo mmoja atasababisha tena mlipuko, maana hata hapo mwanzo palianza na mgonjwa mmoja tu, ukisema watachukua tahadhari za kujikinga ili mlipuko usirudi nami nitakwambia kwanini wasingechukua tu hizo tahadhari toka mwanzo badala ya kuweka lockdown? Maana cases zilizopo wakati wanatoa lockdown ni nyingi kuliko wakati wanaweka lockdown, so lockdown ina mantiki ipi hapo? HUNA HOJA

4.) Kuna ubaya gani kufunga shule maana wanafunzi hawana uwezo wa kujisimamia kutekeleza tahadhari za kitaalam za social distancing, kunawa, uvaaji barako nk. Halafu kujificha maananyake nini? Mtu kukaa kwake ni kajificha, ulitaka afanye nini wakati wataalam wamesema kama huna ulazima wa kutoka basi usitoke, na yeye anafanya hivyo, hata wewe kama unaweza kufanya kazi kwa simu/ online bila kutoka basi usitoke, maana hayo ndio maagizo ya wataalam. HUNA HOJA.

5.) Mtu ambae kajifungia ndani kwake automatically amelockout kila mtu nje, sasa sijui unamaanisha nini, HUNA HOJA

6.) Unaposema hatuna lolote tulilofanya (ukiacha hiyo lockdown), unamaanisha nini? Haya yote yaliyofanyika including kufunga shule sio chochote? Hizi restrictions zote especially Dar we unaona si chochote? HUNA HOJA

7.) Kweli ujinga ni tatizo, lakini elimu ipo na inatolewa kila kona ili kuondoa ujinga na hatimae umasikini, lakini tofautisha ujinga na kupingana, watu kutofautiana mawazo ni jambo lakawaida, hivyo jitahidi kuonyesha uhalali wa mawazo dhidi ya mawazo ya mtu mwingine kwa kutumia hoja, jenga hoja na utasikikizwa, HUNA HOJA
Kudos mwamba.. Kuna baadhi ya watu akili zao zinaongozwa na akina kigogo2014 kama huyu jamaa amepost uhalo mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.) Kule ni nyumbani kwake kama wewe unavyoenda nyumbani kwako, ushauri unaotolewa ni kaa nyumbani kama huna ulazima wa kutoka, hata wewe unaweza kufuata ushauri ambao Rais anaufanya kwa vitendo, kazi anafanya kwa simu na video conferencing, kwani nesi yule akahudumie wagonjwa? HUNA HOJA

2.) Tunajua nchi nyingi kama ilivyo sisi hawajaweka lockdown ila wamechukua hatua za kueleweka kama sisi pia, tumefunga shule, tumekataza watu kutoka bila barakoa, tumehakikisha kuna ndoo za maji na sabuni kila baada ya mita tatu, tumetoa sharti la watu kuchukua TAKEAWAY na masharti mengine mengi ya social distancing, HUNA HOJA

3.) Lockdown ina maana tu kama itawekwa hadi wagonjwa wabaki 0, pasiwe na mgonjwa hata mmoja aliyebaki maana huyo mmoja atasababisha tena mlipuko, maana hata hapo mwanzo palianza na mgonjwa mmoja tu, ukisema watachukua tahadhari za kujikinga ili mlipuko usirudi nami nitakwambia kwanini wasingechukua tu hizo tahadhari toka mwanzo badala ya kuweka lockdown? Maana cases zilizopo wakati wanatoa lockdown ni nyingi kuliko wakati wanaweka lockdown, so lockdown ina mantiki ipi hapo? HUNA HOJA

4.) Kuna ubaya gani kufunga shule maana wanafunzi hawana uwezo wa kujisimamia kutekeleza tahadhari za kitaalam za social distancing, kunawa, uvaaji barako nk. Halafu kujificha maananyake nini? Mtu kukaa kwake ni kajificha, ulitaka afanye nini wakati wataalam wamesema kama huna ulazima wa kutoka basi usitoke, na yeye anafanya hivyo, hata wewe kama unaweza kufanya kazi kwa simu/ online bila kutoka basi usitoke, maana hayo ndio maagizo ya wataalam. HUNA HOJA.

5.) Mtu ambae kajifungia ndani kwake automatically amelockout kila mtu nje, sasa sijui unamaanisha nini, HUNA HOJA

6.) Unaposema hatuna lolote tulilofanya (ukiacha hiyo lockdown), unamaanisha nini? Haya yote yaliyofanyika including kufunga shule sio chochote? Hizi restrictions zote especially Dar we unaona si chochote? HUNA HOJA

7.) Kweli ujinga ni tatizo, lakini elimu ipo na inatolewa kila kona ili kuondoa ujinga na hatimae umasikini, lakini tofautisha ujinga na kupingana, watu kutofautiana mawazo ni jambo lakawaida, hivyo jitahidi kuonyesha uhalali wa mawazo dhidi ya mawazo ya mtu mwingine kwa kutumia hoja, jenga hoja na utasikikizwa, HUNA HOJA
Ndio maana nasema ujinga bado ni tatizo kubwa nchi hii.

Nimesoma namba moja tu hata sikutaka kuendelea maana tayari nilishajua uwezo wako wa akili.

Kukusaidia kwenye namba moja hapo. Kinachosababisha anaitwa rais ni katiba. Katiba hiyo hiyo imeweka utaratibu wa makazi kwa mtu anaeitwa au aliekalia cheo cha urais, amawekewa utaratibu wa kuanzia makazi na kila kitu. Vinginevyo ikulu isingekuwepo maana kila mtu ana kwao, Nyerere angekua anaishi kwao Butiama, Mkapa angekua anaishi kwao Mtwara, Kikwete angekua anaishi kwao Msoga.

Trump ana kwake ila baada ya kua rais anatakiwa kisheria akaishi white house, Boris Johnson ana kwake au kwao ila anatakiwa aishi Ofice No 10 na viongozi wote Duniani utaratibu ndio huo.

Hoja ya kitaahila eti ni kwao kwani hao marais wengine hawakua na kwao? Museveni hana kwao? Kenyata hana kwao mbona hawajakimbia kwenda kwao?

Sishangai kwa sababu mmejaa ujinga, haya anayoyaongea Ndugai ndio kama unayoyasema wewe. Zero brain kabisa.

Namba 2 hadi mwisho yote ni uharo.
 
Back
Top Bottom