Baadhi ya nyimbo za WASAFI zapigwa marufuku, Diamond ashutumiwa kutolipa kodi anapofanya kazi Kenya

Baadhi ya nyimbo za WASAFI zapigwa marufuku, Diamond ashutumiwa kutolipa kodi anapofanya kazi Kenya

Yaani hawa jamaa hata mimi waga nawashangaa sana nyimbo zao %kubwa ni zamatusi
Cha ajabu ndiyo nyimbo zinazo fanya vizuri YouTube nabaki najiuliza hiv watu walio wengi ni wahuni?
Maana ukweli nyimbo zao hazifai kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msikilize msemaji hapo anasema haya si maneno yangu

''Tunashirikiana na police na tumeshasema we will make it very difficult for people like Diamond and OTHER FOREIGN ARTIST WHO HAVE BEEN BANNED IN THEIR COUNTRY WON'T BE ALLOWED TO PERFORM HERE
Those guys dont pay taxes while money have been directed to theri home countries, that is corruption, for those who invites them here will be regarded as corrupt, we won't allow that''

Hatutaruhusu foreign musicians whose their music have been banned to perfom, unakuta watoto wanaimba kwamba AINAMA INAMA NA WANAWAIMBIA MAMA ZAO NA MAMA WANASHANGILIA KWAMBA UNATAKA KUCHEZA POOL TABLE WAKATI UMEINAMA, na akina mama wanashangilia hatutaruhusu hapa Kenya,


MAONI YANGU

Ni kweli ni muhimu kurudi kwenye maadili, nimeuliza hivi kama mamlaka hazitachukua hatua mapema nawaza miaka 20 ijayo kutakuwa na hali ya hatari sana,

TUJIANDAE KISAIKOLOJIA HIZI NYIMBO NA MAADILI VIENDANE
 
kuna ile nyimbo yao wanasema NALEGEAAAAAAAAAAAAAAAAAA IKIGUSANA YANGU NA YAKO
Ndimi yangu na yako hapo. Au lips yangu na yako. Ndiyo tafsiri rahisi au wewe unawaza nini!?
 
Ney wa mitego anakuambia

" Wazee wa kupima oil"..=Fingering female genitals

"Siku hizi tunafunga nyama kwenye foil"=0713

Aisee wasanii wa bongo wanaimba uchafu sana
 
Wivu tu
Msikilize msemaji hapo anasema haya si maneno yangu

''Tunashirikiana na police na tumeshasema we will make it very difficult for people like Diamond and OTHER FOREIGN ARTIST WHO HAVE BEEN BANNED IN THEIR COUNTRY WON'T BE ALLOWED TO PERFORM HERE
Those guys dont pay taxes while money have been directed to theri home countries, that is corruption, for those who invites them here will be regarded as corrupt, we won't allow that''

Hatutaruhusu foreign musicians whose their music have been banned to perfom, unakuta watoto wanaimba kwamba AINAMA INAMA NA WANAWAIMBIA MAMA ZAO NA MAMA WANASHANGILIA KWAMBA UNATAKA KUCHEZA POOL TABLE WAKATI UMEINAMA, na akina mama wanashangilia hatutaruhusu hapa Kenya,


MAONI YANGU

Ni kweli ni muhimu kurudi kwenye maadili, nimeuliza hivi kama mamlaka hazitachukua hatua mapema nawaza miaka 20 ijayo kutakuwa na hali ya hatari sana,

TUJIANDAE KISAIKOLOJIA HIZI NYIMBO NA MAADILI VIENDANE


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ney wa mitego anakuambia

" Wazee wa kupima oil"..=Fingering female genitals

"Siku hizi tunafunga nyama kwenye foil"=0713

Aisee wasanii wa bongo wanaimba uchafu sana
Haaaaaaa

Huyo ndo ney
 
Hawa mashetani wanapotosha jamii sana na nyimbo zao za kuzimu.
Bora wapigwe tu marufuku maana nyimbo zao hazina maadili kabisa zaid ya matusi
Muoneni huyu! Wakenya wanaona wivu Wabongo kwenda kupiga mpunga na kuja kuwekeza Bongo huku wao wakiambulia patupu!! Wivu huu wa Wakenya ulianza pale ilipogundulika kwenye shoo moja kule Mombasa, Diamond alikuwa amelipwa 5 Million za Kenya, Kiba 3 Million wakati hakuna Kenyan Artist hata mmoja ambae alilipwa angalau 1 Million!

Tangu hapo Wakenya hawajatulia hadi wakaanzisha kampeni ya "Play Kenyan Music"

By Tuko!

Kenyan 1.png





By Start

Kenya 2.png


Daily Active Kenya
Kenyan 3.png


Ghafla Kenya
Kenya 4.png


The Nation!

Kenya5.png


Sehemu ya habari ya Nation inasema:-
One of the most notable responses was by Jalang'o, who was rooting for the media personalities. In his defence, he stated that radio presenters don’t choose playlist, but management decide what is to be played based on data collected from consumer preferences research.

“The other day we were involved in making our playlist, I posted it here asking you to help us and the results were shocking almost! 50 percent Bongo 40 percent Naija!” he said on his post.
Kisha wanaendelea:-
According to him, local artistes remain behind because they are not taking full advantage of digital platforms to push their music. He asserted that Nigerian and Tanzanian artistes are more aggressive and employ better marketing strategies than their Kenyan counterparts.
“The other day @thekingkaka launched his album, they didn’t even show up, and the other day saw them begging selfies with Diamond just like they did with Neyo instead of asking for collabo!” he added.
Hawakuishia hapo
Nyashinski took issue with a video that Willy Tuva posted where the radio presenter was interviewing Taita Taveta Governor Granton Samboja.When asked to name his favourite song, the governor said "Kwangaru" by Harmonize featuring Diamond and went on to sing it word for word. The clip however ended before the governor could name his favourite Kenyan artistes. To this Nyashinski reacted:
Halafu tena?
Concerts and events! I swear I do events all year through and it is a struggle to even sell tickets to a full Kenyan concert! MASHUJAA festival, Sawasawa festival, Jamhuri festival are all struggling! And when they decide to come, a Kenyan would rather ask for a complimentary ticket but spend 20k on drinks. See the Naija events and BONGO events are sold out before even the event! So ask yourself ‘what are you doing to support?’
So, hayo mambo sijui maadili sijui nini ni visingizio tu ya kutafuta kuungwa mkono na watu aina yako! Ukweli ni kwamba, inawauma sana kuona Wabongo wame-dominate Kenya!
 
Back
Top Bottom