britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Nina imani Magufuli ataendelea kuwa rais si kwa sababu amefanya vema sana au ameutendea haki urais, ni kwa sababu zifuatazo:
1. Uchama Dola
Piga Ua CCM isiposhinda kihalali inashindishwa, hili ni kutokana na mifumo yote ya kidola,polis na mahakama kuwa upande wa CCM, dhambi hii ilifanyika mwaka 1992 kutoivunja CCM kuanza upya,
2. Uelewa mdogo wa watanzania wapiga kura wa vijijini
Bado watanzania wengi wa vijijini ni wana CCM na ndo wengi pia ndo wapiga kura kwa wingi, wanaaminu katika habari za kuwa kila Mpinzani wa CCM ni mawakala wa mabeberu,
3. Wapinzani wamejikita sana mtandaoni badala ya kuimarisha upinzani mtaani, halina ubishi,
4. Washindani wa JPM wanaweza wakawa wasiwe presidential material, ndo kina Tundu Lissu na Membe
5. Uoga wa wana CCM Wenye nia ya kugombea
6. Maendeleo anayofanya Magufuli kwa kiasi fulani
Ni mjinga pekee anayeweza kuwaza kuwa Magufuli mwisho wake ni 2020
Thathmini za mtandao zinatudanganya watumiaji wa Mitandao, kumbe mtaani bado jamaa anakubalika.
Britannica
1. Uchama Dola
Piga Ua CCM isiposhinda kihalali inashindishwa, hili ni kutokana na mifumo yote ya kidola,polis na mahakama kuwa upande wa CCM, dhambi hii ilifanyika mwaka 1992 kutoivunja CCM kuanza upya,
2. Uelewa mdogo wa watanzania wapiga kura wa vijijini
Bado watanzania wengi wa vijijini ni wana CCM na ndo wengi pia ndo wapiga kura kwa wingi, wanaaminu katika habari za kuwa kila Mpinzani wa CCM ni mawakala wa mabeberu,
3. Wapinzani wamejikita sana mtandaoni badala ya kuimarisha upinzani mtaani, halina ubishi,
4. Washindani wa JPM wanaweza wakawa wasiwe presidential material, ndo kina Tundu Lissu na Membe
5. Uoga wa wana CCM Wenye nia ya kugombea
6. Maendeleo anayofanya Magufuli kwa kiasi fulani
Ni mjinga pekee anayeweza kuwaza kuwa Magufuli mwisho wake ni 2020
Thathmini za mtandao zinatudanganya watumiaji wa Mitandao, kumbe mtaani bado jamaa anakubalika.
Britannica