Baadhi ya sababu zinazomfanya Magufuli aendelee kuwa Rais 2020-2025

Baadhi ya sababu zinazomfanya Magufuli aendelee kuwa Rais 2020-2025

Magufuli ataweka rekodi ya mafanikio pale atakapomaliza muhula wake 2025.
 
Acha uongo na uzandiki wewe. Tuambie hao wapinzani wanashinda kwa lipi hasa? Wana kitu gani kinachowafanya wakubalike na wananchi. Huo wimbo wa kuibiwa kura unaimbwa toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe. Walisema CCM inapeleka mamluki kwenye chaguzi, vikaja vitambulisho vya kupigia kura na mawakala wakaruhusiwa bado mnasema mnaibiwa. Mara maboksi ya kura yanakuja vituoni tayari yana kura ndani, mkaletewa maboksi ya transparent, bado mnasema mnaibiwa. Mara tume inachakachua matokeo, mkaambiwa kila kituo kihesabu kura zake zibandikwe kituoni, bado mnasema mnaibiwa.
Infact, Tanzania hakuna strong political parties, kuna wachumia tumbo tu. Hata mlete wazungu wasimamie uchaguzi bado watashindwa tu.


Akili yako inaendana na jina lako kweli kweli. Sio mzima kabisa ww. Tukiendelea kua a watu kama ww basi taifa letu litazidi kua nyuma kimaendeleo kwa karne nyingi sana uko mbele.
#chaguzihuru
#tumehuru
 
Akili yako inaendana na jina lako kweli kweli. Sio mzima kabisa ww. Tukiendelea kua a watu kama ww basi taifa letu litazidi kua nyuma kimaendeleo kwa karne nyingi sana uko mbele.
#chaguzihuru
#tumehuru
Wewe jibu hoja usilete porojo hapa. Kwa mfano hicho nilichokiandika ambacho ndo ukweli kinarudisha vipi taifa nyuma? Kwamba wapinzani wakichukua nchi ndo itaendelea? Vyama vyao vinawashinda ndo wataweza nchi? Kwa akili hizi mlizonazo ndo maana hamuwezi kujua baya wala zuri, nyie ni bendera tu fuata upepo.
 
Yaani nashangaa inamaana upinzani tumekosa kabisa sera Na mikakati ya kuiondoa CCM mamlakani 2020??

nachukizwa na jinsi upinzani ulivogeuka mtetezi wa kila mwana ccm anaonekana yupo tofauti na magufuli...!

Guys ccm wana chama chao na mambo yao wanayajua wenyew.

Leo hii watu tena viongozi wakubwa upinzani mnamshupalia BERNARD MEMBE kweli Jaman...??
Yaani MEMBE anaonekana shujaa leo kwa Kisa tu yupo against na magu.!

Let's be real.. Kina MEMBE hawa ndo walikuwepo awamu ambayo tuliwapoteza watu na wengine waliteswa (Dr. Ulimboka, na kina mvungi.) hakuna jipya ndani ya ccm trust me HAKUNAAA!!!!

Yaani kina Nape nauye siku hizi ndo mabest zetu wezi mashuhuri wa kura, wanaonekana mashujaa..!


Tumetingwa na kina MEMBE mpaka tunasahau kuna CHUMA kipo ubelgiji .
 
Yaani nashangaa inamaana upinzani tumekosa kabisa sera Na mikakati ya kuiondoa CCM mamlakani 2020??

nachukizwa na jinsi upinzani ulivogeuka mtetezi wa kila mwana ccm anaonekana yupo tofauti na magufuli...!

Guys ccm wana chama chao na mambo yao wanayajua wenyew.

Leo hii watu tena viongozi wakubwa upinzani mnamshupalia BERNARD MEMBE kweli Jaman...??
Yaani MEMBE anaonekana shujaa leo kwa Kisa tu yupo against na magu.!

Let's be real.. Kina MEMBE hawa ndo walikuwepo awamu ambayo tuliwapoteza watu na wengine waliteswa (Dr. Ulimboka, na kina mvungi.) hakuna jipya ndani ya ccm trust me HAKUNAAA!!!!

Yaani kina Nape nauye siku hizi ndo mabest zetu wezi mashuhuri wa kura, wanaonekana mashujaa..!


Tumetingwa na kina MEMBE mpaka tunasahau kuna CHUMA kipo ubelgiji .
Kumbe
 
Unasema Lissu na membe sio presidential material how Magufuli akawa presidential material hadi kugombea 2015?
Tanzania hii uzembe wa TISS wa kuwa chini ya ccm ndio mana unaona huu ujinga,Kwa sasa TZ hii hata wewe unaweza kuwa rais ukifanya baadhi ya machache tu.Haina viongozi wa kutengenezwa,ina viongozi wa kusukumizwa hasa Mkapa na Magufuli.
Kama tungekuwa tunajitambua basi kina Nappe,Zitto,Makamba,Mnyika,Bashite,Happy,Gondwe,Malisa,Masele,na wengineo wengi wangekuwa wanaoigiwa chapuo kwa kufundishwa kivitendo kama wengine wafanyavyo.mf.Familia ya Bush kule US wanawafundisha watoto wao kuwa viongozi wa ngazi ya juuu kabisa hasa urais.Na hakika ni watu wenye uwezo mzuri.Hata sisi tukiwajenga vijana kuwa viongozi tangu wakiwa vyuoni,hakika tutapata rais imara,lakini saiz uchaguzi wa Vyuo kama sio Uvccm unakatwa mapema tu.sasa hapo ndo tunaharibu maana tutapata kiongozi kama Magufuli ambaye anaingia hata ajui anafanya nini anapata frustration,anafanya mambo ya aibu,hadi nchi inakwenda bora tumeamka,vision2015-2020Tanzania ya viwanda imekufa,Vision 2025-Tanzania kuwa na uchumi wa kati haipo.Ajira hakuna.Akija rais mwngine baada yake atasema sasa wachina waendeleze ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,stigler gauge imejaa matope ndo maana bado umeme hautoshi kwenye mkongo wa taifa.Hazitatoka ajira mpya zozote kuanzia wale waliohitimu 2023 ili wale ambao hawakuajiriwa tangu 2013 wapate nao ajira ili Bodi ya mikopo ikusanye hela ya kutosha.Yani itakuwa fujo fujofujo kwa kuwa Tanzania haina vision.Masele akiendelea kufanya vizuri kimataifa,makina makamba urais watausikia kwenye bomba.
 
Acha uongo na uzandiki wewe. Tuambie hao wapinzani wanashinda kwa lipi hasa? Wana kitu gani kinachowafanya wakubalike na wananchi. Huo wimbo wa kuibiwa kura unaimbwa toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe. Walisema CCM inapeleka mamluki kwenye chaguzi, vikaja vitambulisho vya kupigia kura na mawakala wakaruhusiwa bado mnasema mnaibiwa. Mara maboksi ya kura yanakuja vituoni tayari yana kura ndani, mkaletewa maboksi ya transparent, bado mnasema mnaibiwa. Mara tume inachakachua matokeo, mkaambiwa kila kituo kihesabu kura zake zibandikwe kituoni, bado mnasema mnaibiwa.
Infact, Tanzania hakuna strong political parties, kuna wachumia tumbo tu. Hata mlete wazungu wasimamie uchaguzi bado watashindwa tu.
Zenj uchaguzi ulifutwa... Tumia akili Maalim Seif Sharif Hamad alitakiwa awe ikulu.
Kama Lowassa hapa Tz, kama Mrema enzi zile
 
Zenj uchaguzi ulifutwa... Tumia akili Maalim Seif Sharif Hamad alitakiwa awe ikulu.
Kama Lowassa hapa Tz, kama Mrema enzi zile
Zenji ni different case. Kama unaamini uchaguzi ulifutwa hivi hivi mbona walivyoambiwa warudie waliweka mpira kwapani. CUF wanajua walichokifanya pemba.
 
Zenji ni different case. Kama unaamini uchaguzi ulifutwa hivi hivi mbona walivyoambiwa warudie waliweka mpira kwapani. CUF wanajua walichokifanya pemba.
Warudie ili iweje?.. kura zikiwapungua ndio turudie .
 
Nina imani Magufuli ataendelea kuwa rais si kwa sababu amefanya vema sana au ameutendea haki urais, ni kwa sababu zifuatazo:

1. Uchama Dola

Piga Ua CCM isiposhinda kihalali inashindishwa, hili ni kutokana na mifumo yote ya kidola,polis na mahakama kuwa upande wa CCM, dhambi hii ilifanyika mwaka 1992 kutoivunja CCM kuanza upya,

2. Uelewa mdogo wa watanzania wapiga kura wa vijijini
Bado watanzania wengi wa vijijini ni wana CCM na ndo wengi pia ndo wapiga kura kwa wingi, wanaaminu katika habari za kuwa kila Mpinzani wa CCM ni mawakala wa mabeberu,

3. Wapinzani wamejikita sana mtandaoni badala ya kuimarisha upinzani mtaani, halina ubishi,

4. Washindani wa JPM wanaweza wakawa wasiwe presidential material, ndo kina Tundu Lissu na Membe

5. Uoga wa wana CCM Wenye nia ya kugombea

6. Maendeleo anayofanya Magufuli kwa kiasi fulani

Ni mjinga pekee anayeweza kuwaza kuwa Magufuli mwisho wake ni 2020

Thathmini za mtandao zinatudanganya watumiaji wa Mitandao, kumbe mtaani bado jamaa anakubalika.

Britannica
Labda hapo nyumbani kwenu sitimbi.
 
Unasema Lissu na membe sio presidential material how Magufuli akawa presidential material hadi kugombea 2015?
Tanzania hii uzembe wa TISS wa kuwa chini ya ccm ndio mana unaona huu ujinga,Kwa sasa TZ hii hata wewe unaweza kuwa rais ukifanya baadhi ya machache tu.Haina viongozi wa kutengenezwa,ina viongozi wa kusukumizwa hasa Mkapa na Magufuli.
Kama tungekuwa tunajitambua basi kina Nappe,Zitto,Makamba,Mnyika,Bashite,Happy,Gondwe,Malisa,Masele,na wengineo wengi wangekuwa wanaoigiwa chapuo kwa kufundishwa kivitendo kama wengine wafanyavyo.mf.Familia ya Bush kule US wanawafundisha watoto wao kuwa viongozi wa ngazi ya juuu kabisa hasa urais.Na hakika ni watu wenye uwezo mzuri.Hata sisi tukiwajenga vijana kuwa viongozi tangu wakiwa vyuoni,hakika tutapata rais imara,lakini saiz uchaguzi wa Vyuo kama sio Uvccm unakatwa mapema tu.sasa hapo ndo tunaharibu maana tutapata kiongozi kama Magufuli ambaye anaingia hata ajui anafanya nini anapata frustration,anafanya mambo ya aibu,hadi nchi inakwenda bora tumeamka,vision2015-2020Tanzania ya viwanda imekufa,Vision 2025-Tanzania kuwa na uchumi wa kati haipo.Ajira hakuna.Akija rais mwngine baada yake atasema sasa wachina waendeleze ujenzi wa bandari ya Bagamoyo,stigler gauge imejaa matope ndo maana bado umeme hautoshi kwenye mkongo wa taifa.Hazitatoka ajira mpya zozote kuanzia wale waliohitimu 2023 ili wale ambao hawakuajiriwa tangu 2013 wapate nao ajira ili Bodi ya mikopo ikusanye hela ya kutosha.Yani itakuwa fujo fujofujo kwa kuwa Tanzania haina vision.Masele akiendelea kufanya vizuri kimataifa,makina makamba urais watausikia kwenye bomba.
Umeongea mengi kwa hisia kali nitaandika kesho, lakin uwezo wa urais haupimwi kwa kauli mbili tu,, Masele unayemsema umemjua kisa sakata hili
 
Nina imani Magufuli ataendelea kuwa rais si kwa sababu amefanya vema sana au ameutendea haki urais, ni kwa sababu zifuatazo:

1. Uchama Dola

Piga Ua CCM isiposhinda kihalali inashindishwa, hili ni kutokana na mifumo yote ya kidola,polis na mahakama kuwa upande wa CCM, dhambi hii ilifanyika mwaka 1992 kutoivunja CCM kuanza upya,

2. Uelewa mdogo wa watanzania wapiga kura wa vijijini
Bado watanzania wengi wa vijijini ni wana CCM na ndo wengi pia ndo wapiga kura kwa wingi, wanaaminu katika habari za kuwa kila Mpinzani wa CCM ni mawakala wa mabeberu,

3. Wapinzani wamejikita sana mtandaoni badala ya kuimarisha upinzani mtaani, halina ubishi,

4. Washindani wa JPM wanaweza wakawa wasiwe presidential material, ndo kina Tundu Lissu na Membe

5. Uoga wa wana CCM Wenye nia ya kugombea

6. Maendeleo anayofanya Magufuli kwa kiasi fulani

Ni mjinga pekee anayeweza kuwaza kuwa Magufuli mwisho wake ni 2020

Thathmini za mtandao zinatudanganya watumiaji wa Mitandao, kumbe mtaani bado jamaa anakubalika.

Britannica

umesahau usipo kuwa ccm na kama mfanyabiashara basi ujue.biashara zako utazisikia
 
Back
Top Bottom