Baadhi ya vijana wa boda boda mikoani ni maagent wa waganga wakienyeji hasa mikoa ya nyanda za juu

Baadhi ya vijana wa boda boda mikoani ni maagent wa waganga wakienyeji hasa mikoa ya nyanda za juu

jokotinda_Jr

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2022
Posts
882
Reaction score
1,536
Habari za mda huu wana jamvi .. juzi kati nlikuwa mikoa ya kusini mwa tanzania kikazi baada ya kufika nlipita kwenye baadhi ya wilaya na vijiji vichache nlipatwa na mshangao kidgo kila kituo cha boda ukifika utasikia .... karibu utaenda kwa Bibi!! Au utaenda kwa Babu ...

Baada ya kuchunguza sana nkagundua huwa wana wa promoti hao waganga chini ya kapet wana maslhi flani pindi wanapo peleka wateja kwa hao waganga ndomana kila mgeni akifika wana mchangamkia fasta
Kama ndo tumefikia hatua hii hakuna tutakaye mwamini tena
 
Ukianza tu kuamini uchawi ndipo utapo amini mambo yako hayaendi unachezewa.
 
Wanakuchukua kwa nguvu kukupeleka?

Kama sivyo nini tatizo lao kwako?
 
Ukianza tu kuamini uchawi ndipo utapo amini mambo yako hayaendi unachezewa.
Tatizo siyo kuamini uchawi ishu nikwamba kwanini wana promoti sana hao waganga mkuu .... kama ni utajiri kwanini wao wasiende mpaka watushawishi sisi wengine
 
Wanakuchukua kwa nguvu kukupeleka?

Kama sivyo nini tatizo lao kwako?
Kwahiyo inamana ndo wawa promoti kweli yani hujui mtu Ana hitaji nini unanza kumweleza habari za kwenda kwa bibi kweli?
 
Habari za mda huu wana jamvi .. juzi kati nlikuwa mikoa ya kusini mwa tanzania kikazi baada ya kufika nlipita kwenye baadhi ya wilaya na vijiji vichache nlipatwa na mshangao kidgo kila kituo cha boda ukifika utasikia .... karibu utaenda kwa Bibi!! Au utaenda kwa Babu ...

Baada ya kuchunguza sana nkagundua huwa wana wa promoti hao waganga chini ya kapet wana maslhi flani pindi wanapo peleka wateja kwa hao waganga ndomana kila mgeni akifika wana mchangamkia fasta
Kama ndo tumefikia hatua hii hakuna tutakaye mwamini tena
Kibaya zaidi hakuna cha uganga wala nini wote utapeli tu
 
Habari za mda huu wana jamvi .. juzi kati nlikuwa mikoa ya kusini mwa tanzania kikazi baada ya kufika nlipita kwenye baadhi ya wilaya na vijiji vichache nlipatwa na mshangao kidgo kila kituo cha boda ukifika utasikia .... karibu utaenda kwa Bibi!! Au utaenda kwa Babu ...

Baada ya kuchunguza sana nkagundua huwa wana wa promoti hao waganga chini ya kapet wana maslhi flani pindi wanapo peleka wateja kwa hao waganga ndomana kila mgeni akifika wana mchangamkia fasta
Kama ndo tumefikia hatua hii hakuna tutakaye mwamini tena
Sasa utaendaje kwa hao waganga kama wewe mwenyewe hujapinda?
 
Back
Top Bottom