Tetesi: Baadhi ya viongozi kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda Ulaya na Marekani

Mbona mnakuza mambo wakati hayako hivyo
 
Kwani nani anataka kwenda marekani makonda afate nn marekani? Jpm mwenyewe hajawahi kwenda hata kwa mwaliko wao huwa haendi.
 
Wakizuiwa kwenda Ulaya na Marekani wataenda China.
 
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Kwani ni kiongozi gani wa awamu ya tano aliekwenda huko zaidi ya Mahiga?
waweke tu vikwazo,hatuna shida ya kwenda huko
 
Jwa hao, hata kama US/EU wakiazimia wakamatwe au watekwe na kwenda kuhukumiwa kwenye mahakama za Marekani kama alivyofanyiwa yule Rais mfanyabiashara ya madawa ya kulevya, Noriega, litakuwa ni jambo jema sana.

Wasituwekee vikwazo vya kibiashara, ambavyo kwa vyovyote vitawaumiza wanaodhani wanataka kuwatetea.

Kuna mpango wa US wa siku za nyuma wa kutaka US iwe na uwezo wa kumwua kiongozi yeyote muuaji Duniani bila ya kuleta madhara kwa wananchi, sijui uliishia wapi. Mpango ule ungefanikiwa, na utekelezaji wake ungekuwa unafanyiwa tathmini ya haki, ukipunguza au hata kufuta kabisa udikteta.

Haya maneno ya kusema nchi huru isiingiliwe, wakati watu wanauawa au kugandamizwa na watawala, siyo haki.

Umoja wa Mataifa ni vema ungekuwa na azimio la kuwa na utaratibu wa kuwaondoa watawala madikteta Duniani pale inapothibitika bila shaka kuwa mtawala ni dikteta.

Hii ya kusema kuwa hata ukimwona jirani yako anawaua wanawe, halafu unasema siwezi kuingilia kwa sababu wale ni wanawe au kwa sababu anawaulia nyumbani kwake, ni kuepuka kuwajibika kwa Dunia dhidi ya dhuluma ya nafsi za binadamu.
 
Wewe unauwezo mkubwa sana wa kuona. Hiyo issue ndio ina trend huko kwa sasa. Na sio kuhusu Tanzania tu. Sababu sisi huku tunapelekwa na lundo la ujinga tunadhani Wamarekani wanakaa vikao kujadili visa za akina Makonda. Ukisoma hapo juu, utaona huruma sana.
 
Magufuli akiacha kusigina katiba eventually mambo yatakaa vizuri tu, lakini kwa njia aliyoichagua atapata tabu sana.

Pressure is slowly building up on him, diesel imemwagwa shimoni taratibu nyoka na kenge wataanza kutafuta pa kutokea. something will happen. Hata kama si leo au kesho.
 

Hata mimi nilikuwa naogopa vita sana, ila kwa tulikofikia hapana aisee, waje tu wakinukishe jiwe litoke, hivi huoni jinsi lilivyoharibu nchi yetu pendwa?
 
Wazungu wakati mwengine kama matahira flani ivi. Wanaona kwenda ulaya ni deal. Walitaka nchi hii iwe na kiongozi mkuu mtembeza bakuli ulaya. Eti kuwekewa vikwazo kwenda ulaya!!! Kicheko .com

Mpaka na watu kama nyie mpate akili na usukule uwatoke
 
Hata mimi nilikuwa naogopa vita sana, ila kwa tulikofikia hapana aisee, waje tu wakinukishe jiwe litoke, hivi huoni jinsi lilivyoharibu nchi yetu pendwa?
Walitaka Assad atoke, mpaka leo anadunda na matokeo yake wana crisis ya wakimbizi waliowasababishia wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…