RUKUKU BOY
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 1,516
- 1,775
Daa mkuu weka mahaba pembeni points walizotoa EU mbona mnazikwepa, magufuli ameua umoja wa kitaifa, me sahv bora usaliti nchi yangu ili hawa wauaji watoke madarakanindo kilichokuwa kimempeleka membe ulaya,safari zake za nje kimya kimya hazikomi,kweli tamaa ya madaraka ni mbaya sana.