dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Swali hili ungemuuliza Mugabe angekuwa na majibu mazuri
Kwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Acha kujilainisha wewe. Mtu lazima usisimame upande wako hadi hatua ya mwisho. Sasa tunawaelelwa wazungu wanataka nini.Huu utawala hawasomagi maandishi ukutani !! Ila naamini hawataki na mioyo migumu kutufikisha kwenye dhiki kuu. [emoji120][emoji87]
Wewe si mgonjwa, kameze pandol..Makamanda mnahaha na kujitia faraja, ha ha ha.
Acheni elements za ki DICTATOR na mambo yatakuwa mazuri. Democracy haileti umasikini bali maendeleo ya kweli.Acha kujilainisha wewe. Mtu lazima usisimame upande wako hadi hatua ya mwisho. Sasa tunawaelelwa wazungu wanataka nini.
Waanze na vidampa wao pia hata vijinga jinga kama vya kina Musiba, Le mutuz na sampuli hizo vipigwe pini vizeekee jijini Dsm pasipo kwenda kokote angalau udikteta na ujinga wao utapunguaAisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
ndo kilichokuwa kimempeleka membe ulaya,safari zake za nje kimya kimya hazikomi,kweli tamaa ya madaraka ni mbaya sana.
Ungekuwepo wakati wa ukoloni usingethubutu kuyasema haya. Ungekuwepo South Africa wakati wa ubaguzi ungeyasema hayaMungu wabariki Wazungu .
Aiponye ili iweje?[emoji124]NCHI IMEGAWANYIKA VIPANDE VIPANDE, HATUAMINIANI, KILA MTU AMEGEUKIA KWAKE, OLE WETU SISI MAANA HATUPENDANI TENA, ADUI HATUMTAFUTI NJE YA MIPAKA TENA, TUMESHAKUWA MAADUI SISI KWA SISI,UDUGU UMEKUFA, TUNAOMBEANA MABAYA. ADUI AMEPATA NAFASI. MUNGU IPONYE TANZANIA
Kwa DAB itakuwa ni pigo maana kiigani alimpata huko hukoAisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Aisee wakuu hali ni mbaya,
Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.
Aisee hali ni mbaya
Source. Fox news.
Hiyo itakuwa ni nafuu kuliko trade embago na kusitishiwa misaada na mikopo kwani hao hata wasipoenda siyo shida sana kwakuwa rais mwenyewe haendi
Huu utawala hawasomagi maandishi ukutani !! Ila naamini hawataki na mioyo migumu kutufikisha kwenye dhiki kuu. [emoji120][emoji87]
Umebaki kupayuka.Wewe si mgonjwa, kameze pandol..
Mungu wabariki Wazungu .
Sasa kama yule mwenye moyo wa chuma asipoenda si anadanja japo huwa anaenda kimya kimyaKwa hiyo tutegemee watakufa Kwa kuzuiwa kwenda Ulaya!
Yaani mtu moja anaitia hasara nchini kwa upumbavu wake