Tetesi: Baadhi ya viongozi kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda Ulaya na Marekani

Tetesi: Baadhi ya viongozi kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda Ulaya na Marekani

Hilo liko wazi MBONA tangu kitambo wakolomije ulaya na USA wataionea YouTube forever,wakajaribu viza kama watapewa.
 
NCHI IMEGAWANYIKA VIPANDE VIPANDE, HATUAMINIANI, KILA MTU AMEGEUKIA KWAKE, OLE WETU SISI MAANA HATUPENDANI TENA, ADUI HATUMTAFUTI NJE YA MIPAKA TENA, TUMESHAKUWA MAADUI SISI KWA SISI,UDUGU UMEKUFA, TUNAOMBEANA MABAYA. ADUI AMEPATA NAFASI. MUNGU IPONYE TANZANIA
Daaa nchi imegawanyika, watu chrismas wataenda mazabauni, uki kina Mbowe ambao hawan hatia wanasota Rumande
 
Sisi walai Mihogo wa vijijini atutoathirika kama nyie wa mjini mtegeao dfp
Hiyo itakuwa ni nafuu kuliko trade embago na kusitishiwa misaada na mikopo kwani hao hata wasipoenda siyo shida sana kwakuwa rais mwenyewe haendi
 
Ukiwa upinzani wa ndani wa nje unainuka.kweli nguvu mwisho SHAMBA mjini akili.Kagame na m7 na uticha wao Lkn wanajua kucheza na akili za weupe,
 
Kuwawekea vikwazo sidhani kama ni suluhu maana mda mwingu wako humu. Nadhani kikwazo kingine zaidi
 
NCHI IMEGAWANYIKA VIPANDE VIPANDE, HATUAMINIANI, KILA MTU AMEGEUKIA KWAKE, OLE WETU SISI MAANA HATUPENDANI TENA, ADUI HATUMTAFUTI NJE YA MIPAKA TENA, TUMESHAKUWA MAADUI SISI KWA SISI,UDUGU UMEKUFA, TUNAOMBEANA MABAYA. ADUI AMEPATA NAFASI. MUNGU IPONYE TANZANIA
No vyema na tazama yafaa sana kujiuliza yalianzaje haya
 
tanzania sweetheart ndani ....
kkkkk !
sijui yule mratibu wa utekaji, mhamiaji kutoka rwanda yumo ?
 
NCHI IMEGAWANYIKA VIPANDE VIPANDE, HATUAMINIANI, KILA MTU AMEGEUKIA KWAKE, OLE WETU SISI MAANA HATUPENDANI TENA, ADUI HATUMTAFUTI NJE YA MIPAKA TENA, TUMESHAKUWA MAADUI SISI KWA SISI,UDUGU UMEKUFA, TUNAOMBEANA MABAYA. ADUI AMEPATA NAFASI. MUNGU IPONYE TANZANIA
Ukibaguliwa unatafuta rafiki, ukibaguliwa na ndg was ndani basi mtu wa nje (adui) anakuwa rafiki
 
Back
Top Bottom