Tetesi: Baadhi ya viongozi kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda Ulaya na Marekani

Tetesi: Baadhi ya viongozi kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda Ulaya na Marekani

Acheni elements za ki DICTATOR na mambo yatakuwa mazuri. Democracy haileti umasikini bali maendeleo ya kweli.
Democrasia umekuwa nayo miaka mingi na hujaeta maendeleo.. bado masikini.. Leo tunainua uchumi wetu na kukemea vitendo vya wizi .. wewe unakaa tu kusemea wanaume wa ulaya .. Eti Domokorosia... Mtu ushinde unapiga porojo bila kufanya kazi kisa democrasia..
 
Ndo msaada pekee uliobaki kuinusuru hali yetu dhidi ya wakoloni weusi.
Watu wengne buana.....!!!! Mnadhan ulaya kuna wajomba wenu? Mbona mnawaamini sana hawa kupita kiasi?
 
Hiyo itakuwa ni nafuu kuliko trade embago na kusitishiwa misaada na mikopo kwani hao hata wasipoenda siyo shida sana kwakuwa rais mwenyewe haendi
Mkuu huwa wanaanza kidogokidogo...na wanaoumia ni wananchi wa chini
 
Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikal

Wengine wanaoweza kukumbwa na kadhia hii ni:- Dr Mpango; Dotto , paymaster General; Kalemani , Waziri wa Nishati; Mwakyembe , Waziri wa habari;Kabudi Palamagamba na spika Ndugai!!! Na washiriki wa Jiwe wa karibu ambao hawatangazwi lakini watanyimwa visa kimya kimya!
 
Aisee wakuu hali ni mbaya,

Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.

Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.

Aisee hali ni mbaya

Source. Fox news.
Ilitakiwa wazuie kabla Keagan hajazaliwa...now its too late
 
Aisee wakuu hali ni mbaya,

Nimeona habari katika chanzo kimoja cha kimataifa, ni kuwa kuna hatari ya kuwekewa vikwazo vya kusafiri kwenda ulaya na marekani kwa viongozi fulani kutoka Tanzania.

Inasemekana vikwazo vinaweza kuwakumba, Paul Makonda, msajili wa vyama vya siasa, na baadhi ya viongozi wa juu wa serikali.

Aisee hali ni mbaya

Source. Fox news.
.
tapatalk_1544848694950.jpeg
 
Kama umefuatilia news za wenzetu siku mbili hizi utakuwa umekutana na news kuwa Marekani inaanza kupambana rasmi na ukuwaji wa uchumi na influence wa nchi ya China na Russia Africa.

Kwa hiyo, hawa jamaa wakiweka vikwazo Tanzania, wala siyo kwa faida yetu au kwa kutusaidia. Lengo lao kubwa ni kuibana China na Russia kwenye nchi za Africa.

Sisi huku tutapiga makofi na kuwashukuru wakati mzee Trump hana time na wewe kabisaa, lengo ni kuiangusha China na Russia.

Wapiganapo fahari wawili... Ziumiazo nyasi... Endeleeni kuwapigia wazungu makofi.

Chanzo cha habari ni BBC, Aljazeera na Reuters

U.S. to counter China, Russia influence in Africa: Bolton | Reuters
Kwahiyo maazimio 15 wametusingizia mpuuzi wewe
 
Back
Top Bottom