Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii nchi haitatawalikaChadema bhana πππ em wakachanjwe hukooooooo
Ukishakuwa verified user unakuwa takataka maana huwezi kusema ukweli wako!Chadema bhana πππ em wakachanjwe hukooooooo
Ile kujigalagaza pale chini katuaibisha sana wanyakyusa.
Na hasa verified user wa JFUkishakuwa verified user unakuwa takataka maana huwezi kusema ukweli wako!
Wewe mtu wa Kiwira umeabishwaje ?Ile kujigalagaza pale chini katuaibisha sana wanyakyusa.
Exactly, tulikotoka kwa Mwendazake usingeliweza kuandika ukweli , utapotezaw etc, you opt kwenda na ID fake kama hizi zetu.Na hasa verified user wa JF
Wewe leta mtaalam wako mwenye habari sahihi zaidi ya hii.Acha upotoshaji
Tafuta hata taarifa sahihi kabla ya kuja na upotoshaji humu.Wewe leta mtaalam wako mwenye habari sahihi zaidi ya hii.
Nani alikuambia kwenda ubalozini kunahitaji kibali ?Walipewa kibali cha maandamano ? Makosa mengine ni ya kujitafutia
Mimi huwa najiulizaga sana,Jamii forum huwa wanatumia vigezo gani ku-verify user wake manake verified users wanaandikaga vitu vya ajabu ajabu mpaka unajikuta unaanza kuwazia mental state ya muhusika ipoje kiujumlaUkishakuwa verified user unakuwa takataka maana huwezi kusema ukweli wako!
πππ Nimeambishwaje?! What do you mean!Wewe mtu wa Kiwira umeambishwaje ?