Baadhi ya Viongozi wa BAWACHA waliofika Ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe waanza kukamatwa

Baadhi ya Viongozi wa BAWACHA waliofika Ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe waanza kukamatwa

Maandamano yana kibali? Hivi mnapoandamana kumpokea Zuchu huwa mna kibali?
Mnaomba katiba mpya ilihali iliyopo hamjaisoma na kuielewa,Sasa hilo ni swali la kuuliza mbele ya watu wanaojielewa?

Haya thibitisha kwamba yale mapokezi ya zuchu,hayakuwa na kibali.
 
Bado inatia ukakasi kidogo katika hili. Hivi taasisi za kimataifa haziwezi kuona mojakwamoja tu kwamba kunaugandamizwaji wa demokrasia nchini mpaka zishinikizwe? Au ni kweli kwamba hawa jamaa wanakesi ya kujibu?
 
Mnaomba katiba mpya ilihali iliyopo hamjaisoma na kuielewa,Sasa hilo ni swali la kuuliza mbele ya watu wanaojielewa?

Haya thibitisha kwamba yale mapokezi ya zuchu,hayakuwa na kibali.
Wewe ndio thibitisha kama yalikuwa na kibali, sio mimi.
 
Hongereni Jeshi la polisi hao kina Mama ni magaidi pia intelijensia inaonyesha walipanga kuchoma ubalozi
 
Mwenyekiti wa Bawacha Temeke , Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane, kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa Chadema .

Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au La

View attachment 1872428
Kamata tu hawa pumbafu. Wanafikiri tanzania ni koloni la marekani. Jinga sana
 
Wewe ndio thibitisha kama yalikuwa na kibali, sio mimi.
Kama yasingekuwa na kibali, nadhani walioyaratibu wangekamatwa kama hao walioratibu ya kwenda ubalozini, kwakua haikutokea hivyo basi yalikuwa na kibali.

Ila kama wewe unahisi hayakuwa na kibali,unaweza kuthibitisha hapa Sasa.
 
Mwenyekiti wa Bawacha Temeke , Neema Mwakipesile anadaiwa kuchukuliwa na Polisi usiku wa manane, kwa kinachodaiwa tuhuma za kufika ubalozi wa Marekani kushinikiza Mbowe aachiwe akishirikiana na akina mama wengine wa Chadema .

Bado haijafahamika kama ataunganishwa kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Mbowe au La

View attachment 1872428
Nyie Chadema hebu kachanjweni corona huko, unaenda Ubalozi wa Marekani kudai gaidi aachiwe, umeambiwa Tanzania inatawaliwa na Marekani? Hii ni nchi huru tunaamua mambo yetu wenyewe kulingana na sheria zetu
 
Kama yasingekuwa na kibali, nadhani walioyaratibu wangekamatwa kama hao walioratibu ya kwenda ubalozini, kwakua haikutokea hivyo basi yalikuwa na kibali.

Ila kama wewe unahisi hayakuwa na kibali,unaweza kuthibitisha hapa Sasa.
Weka ushahidi wa hayo unayosema. Mbona ccm wanafanya mikutano bila kukamatwa lakini chadema wanakamatwa. Kabla hujajibu hii comment tumia muda kufikiria maana ina ujumbe umejificha ndani yake.
 
Hii haina tofauti na yale Maandamano ya Makonda kwenye Ubalozi wa South Africa kushinikiza ndege zetu ziachiwe
 
Walipewa kibali cha maandamano ? Makosa mengine ni ya kujitafutia

Maandamano ya kudai haki? Akina Mandela wangekuwa wanasubiri vibali mpaka leo wangekuwa wanatawaliwa na makaburu. Ukaombe kibali cha kudai haki kwa majizi ya kura!?
 
Siasa za kukwaruzana na vyombo vya dola ili kupata kiki kwa wananchi na jumuiya ya kimataifa zimepitwa na wakati, watu hawajifunzi

Vyombo vya dola au vyombo vya majizi ya kura? Ni wendawazimu kutii mamlaka iliyo madarakani kwa wizi wa kura, huku ikikupora haki yako ya kukusanyika.
 
Back
Top Bottom