Baadhi ya Vyombo vya habari vinakiuka maadili!!

Baadhi ya Vyombo vya habari vinakiuka maadili!!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
#7.0 Uingiliaji wakati wa majonzi na mshituko#


Katika kushughulikia masuala ya kijamii ya hali ya kushtua au
hisia kali kama vile ukatili, kutumia nguvu, matumizi ya dawa
za kulevya, ufuska, maneno machafu, waandishi wa habari
watawasilisha ukweli, maoni, picha na michoro kwa uangalifu
mkubwa na busara. Utekelezaji utafanywa kwa uangalifu na
busara. Kwa hali hiyo, waandishi wa habari:
i) Watajitambulisha na kupata idhini ya kuhoji kutoka kwa
mtendaji anayehusika kabla ya kuingia katika maeneo
yasiyokuwa ya wazi ya hospitali au taasisi nyingine.
ii) Wataepuka kutumia habari, picha na kutumia tena picha za
maktaba za matukio ya kifo na maradhi ya hatari ya watu,
kufufua majonzi miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki.
Hali kadhalika, watatumia taarifa kwa busara kuhusu
marehemu na sababu za kifo.
iii) Wasijinufaishe kwa utumiaji wa makusudi wa matukio ya
walioathiriwa na majonzi.
 
#7.0 Uingiliaji wakati wa majonzi na mshituko#


Katika kushughulikia masuala ya kijamii ya hali ya kushtua au
hisia kali kama vile ukatili, kutumia nguvu, matumizi ya dawa
za kulevya, ufuska, maneno machafu, waandishi wa habari
watawasilisha ukweli, maoni, picha na michoro kwa uangalifu
mkubwa na busara. Utekelezaji utafanywa kwa uangalifu na
busara. Kwa hali hiyo, waandishi wa habari:
i) Watajitambulisha na kupata idhini ya kuhoji kutoka kwa
mtendaji anayehusika kabla ya kuingia katika maeneo
yasiyokuwa ya wazi ya hospitali au taasisi nyingine.
ii) Wataepuka kutumia habari, picha na kutumia tena picha za
maktaba za matukio ya kifo na maradhi ya hatari ya watu,
kufufua majonzi miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki.
Hali kadhalika, watatumia taarifa kwa busara kuhusu
marehemu na sababu za kifo.
iii) Wasijinufaishe kwa utumiaji wa makusudi wa matukio ya
walioathiriwa na majonzi.
wanazingatia zaidi malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwao..

Lakini pia gentleman,
ikiwa kweli wewe unazingatia maadili hayo , hebu thibitisha basi, na utaje ni maadili gani ya mekiukwa na vyombo vya habari ambavyo havizingatii maadili 🐒
 
wanazingatia zaidi malengo na madhumuni ya kuanzishwa kwao..

Lakini pia gentleman,
ikiwa kweli wewe unazingatia maadili hayo , hebu thibitisha basi, na utaje ni maadili gani ya mekiukwa na vyombo vya habari ambavyo havizingatii maadili 🐒
Nimeweka hiko kifungu hapo nakuachia uangalie baadhi ya picha na videos za baadhi ya vyombo vya habari
 
#7.0 Uingiliaji wakati wa majonzi na mshituko#


Katika kushughulikia masuala ya kijamii ya hali ya kushtua au
hisia kali kama vile ukatili, kutumia nguvu, matumizi ya dawa
za kulevya, ufuska, maneno machafu, waandishi wa habari
watawasilisha ukweli, maoni, picha na michoro kwa uangalifu
mkubwa na busara. Utekelezaji utafanywa kwa uangalifu na
busara. Kwa hali hiyo, waandishi wa habari:
i) Watajitambulisha na kupata idhini ya kuhoji kutoka kwa
mtendaji anayehusika kabla ya kuingia katika maeneo
yasiyokuwa ya wazi ya hospitali au taasisi nyingine.
ii) Wataepuka kutumia habari, picha na kutumia tena picha za
maktaba za matukio ya kifo na maradhi ya hatari ya watu,
kufufua majonzi miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki.
Hali kadhalika, watatumia taarifa kwa busara kuhusu
marehemu na sababu za kifo.
iii) Wasijinufaishe kwa utumiaji wa makusudi wa matukio ya
walioathiriwa na majonzi.
Umefufuka
 
#7.0 Uingiliaji wakati wa majonzi na mshituko#


Katika kushughulikia masuala ya kijamii ya hali ya kushtua au
hisia kali kama vile ukatili, kutumia nguvu, matumizi ya dawa
za kulevya, ufuska, maneno machafu, waandishi wa habari
watawasilisha ukweli, maoni, picha na michoro kwa uangalifu
mkubwa na busara. Utekelezaji utafanywa kwa uangalifu na
busara. Kwa hali hiyo, waandishi wa habari:
i) Watajitambulisha na kupata idhini ya kuhoji kutoka kwa
mtendaji anayehusika kabla ya kuingia katika maeneo
yasiyokuwa ya wazi ya hospitali au taasisi nyingine.
ii) Wataepuka kutumia habari, picha na kutumia tena picha za
maktaba za matukio ya kifo na maradhi ya hatari ya watu,
kufufua majonzi miongoni mwa ndugu, jamaa na marafiki.
Hali kadhalika, watatumia taarifa kwa busara kuhusu
marehemu na sababu za kifo.
iii) Wasijinufaishe kwa utumiaji wa makusudi wa matukio ya
walioathiriwa na majonzi.
Kuna kolamu na makala katika magazeti utaona dhahiri hapa vigogo wametoa vibunda vya noti. Ni pamoja na makampuni ya binafsi na mashirika na wizara.
MSHIKO TU !!
 
Back
Top Bottom