Kama mnataka Kiswahili bora basi na taaluma husika ifundishwe kwa Kiswahili, maana huwezi muandaa mtu katika lugha ya kigeni aje afanye kazi katika lugha ya asili, tatizo kubwa pia waandishi wetu hawataki kujifunza kuhusiana na lugha, tatizo kubwa zaidi hata waswahili wenyewe hawathamini Kiswahili chao.