Rafiki zako kina nani Jo acha kambaπNikizungumza na Rafiki zangu kadhaa walioko bungeni wamenieleza hofu yao kufuatia Ushindi wa Mwabukusi hapo TLS.
Wameniambia iwapo wapiga kura majimboni watabeba Ujasiri wa Wapiga kura wa TLS basi mwakani tutegemee Wabunge wengi wapya wa CCM pale bungeni.
Nimeogopa sana πΌ
Sabato Njema π
Soma=> Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
Usigope ndiyo vizuri.Tunaweza kupata Bunge Jipya kabisa π
Mbeya, Tunduma na baba lao Dsm. Ntwara je?Ni ngumu sababu wananchi wanaogopa polisi lakini kikiwaka Mwanza, Arusha, Musoma, Moshi, Karatu, Mbeya, Kahama, n.k lazima CCM waogope
ππRafiki zako kina nani Jo acha kambaπ
Hata kwa mambukusi ulikuwa na wasiwashi bwasheeSiyo kama unavyofikiria π
Hasa ukizingatia kile kipengele cha bumunda Nape NnauyeSiyo kama unavyofikiria π
Walevi wenzakeRafiki zako kina nani Jo acha kambaπ
Waoga sn hawaMbeya, Tunduma na baba lao Dsm. Ntwara je?
ππWalevi wenzake