Baadhi ya wachezaji wa Tabora UTD kucheleweshewa leseni na TFF

Baadhi ya wachezaji wa Tabora UTD kucheleweshewa leseni na TFF

Mjumbe hauwawi. Nimeikuta sehemu wadau wa Tabora UTD wakiilalamikia TFF kuwa wamekuwa wakichelewesha leseni za wachezaji hasa wa kigeni kwa makusudi kwa maslahi yao.

Hili limeikumba Tabora UTD kwani wachezaji wao tegemezi mpaka muda huu hawajapewa leseni na TFF. Inawesemekana ni makusudi ili kuwapa uwepesi Simba kushinda mechi ya leo.

Ikumbukwe Tabora UTD walikuwa wamefungiwa na FIFA kufanya usajili kutokana na madeni na juzi kati ndio wamefunguliwa baada ya kulipa, lakini juhudi hizo hazionekanai kwa TFF. Timu imetoka kifungoni, kwa nini isipewe sapoti ya kutosha na TFF kama mlezi wa vilabu lakini wao hawana habari kutoa leseni za wachezaji kwa uharaka.

TFF wasome nyakati, mpira kwa sasa ni kazi kama kazi nyingine na ni chanzo cha mapato kwa hiyo wasitengeneze mazingira kwa vilabu pendwa viwe vinashinda tu vyenyewe wakati hata vilabu vidogo vimekuwa vikifanya usajili wa ushindani.
Mmefukua makaburi? Sisi kama simba tutawashenyenta hivo hivo
 
At the end of the time tabora ndo wanashida,inakuwaje mpaka unafungiwa usajiri na unashindwa kudeal na hiyo issue mapema wakati ratiba ya league ishatoka zamani.
Watendaji wa tabora ndo wanashida,kama unashindwa kulipa wachezaji stahiki zao kwa muda mpaka upelekwe FIFA jua Kuna shida mahala.

Maana haiwezekani kila msimu iwe vilevile
 
Back
Top Bottom