Mkuu unateseka bure.
Rais ni Magufuli tu . Huyo mpiga pambio asubili sana mpaka afikishe miaka 80
Kwani wewe bado unavuliwa nguo tu?Mkuu naona kama umejivua nguo, samahani hivi una familia wew?
Mbona Tundu anaongea risasi bima na magufuri lakini hamjamchoka?Kwakweli alie karibu na Magufuli amshauri jamaa, hana mvuto kabisaaa
Ungefanya jambo la maana kama ungemwambia Lissu asitishe kampeni maana iko wazi na hata yeye anajua kuwa hatoshinda. Watanzania bado tuna imani na Magufuli na tutamchagua tena
Kuna watu walijiaminisha kuwa mgombea wao atakuwa anapunga mkono tu amemaliza, nina mashaka kama bado wanafikiria hivyo hivyo.
Mbona Tundu anaongea risasi bima na magufuri lakini hamjamchoka?
Mleta Maada hujielewi Sasa Kama barabara imejengwa Mikoa ishirini Kila mkoa akifika lazima aongee barabara hiyo hapo oneni hiyo Hapo
Chadema hamna Cha kuonyesha Kila mnapoenda ndio maana mnaongelea visivyokuwepo tu
CCM kila tuendapo tutaongea ununuzi wa Ndege kila mkoa wenye uwanja wa Ndege tutaongea sababu zinaenda
Kila kijiji chenye umeme tutaongea umeme tuliopeleka
Zahanati kila tulipojenga tutaongea kuwa hiyo Hapo
Hapo hamtutoi kwenye reli nyie bakini na vitu vyenu hewa sisi tinawaonyesha live tukivyofanya na kuwaomba watupe ridhaa tufanye zaidi
Nyie endeleeni na fix hewa zenu za ahadi hewa
Nyie Chadema endeleeni kuwalisha porojo zenu tukutane sanduku la kura October 28
Una familia mkuu?Kwani wewe bado unavuliwa nguo tu?
Nijibu kwanza wewe bado unavuliwa nguo?Una familia mkuu?
Mkuu iyo mipicha ni Tz nzima. Watu wanaenda kupigia kura wanayemuelewa sio kwa wingi wa pichaUshindi wa Magufuli utaletwa na jiji la Dsm. Hili jiji naona ccm wamelishika vilivyo, kila chaka na kila chocho unayokatiza unakutana na lipicha la Magufuli yaani kama vile hakuna wagombea wengine wa nafasi ya urais.
To my suprise tapeli mashuhuri bwana Gwajima amebandika hadi mabasi yake ya kusomba misukule wake mipicha picha ya kwake na ya msukuma mwenzake.
“In the land of the blind, the one eyed man isn’t a king but a thief. He will continue to rob us blind, loot and pillage everything until there is Nothing Left To Steal."Tulieni kwanza JPM anajenga nchi.
Nyie endeleeni na maneno maneno.
JPM ni vitendo.
Ndio mnaanza na vingeleza vyeu, tukutane Oct 28.“In the land of the blind, the one eyed man isn’t a king but a thief. He will continue to rob us blind, loot and pillage everything until there is Nothing Left To Steal."
Kipangaspecial 2020
Wengine posters TRA wanadai kodi, na ukibandika zinabanduliwa na green guard, sehemu zingine wananchi wanaogopa kuruhusu wagombea wabandike mabango ya vyama vya upinzani ili kukwepa kufuatiliwa na polisi au TRA kwenye biashara zao.Ushindi wa Magufuli utaletwa na jiji la Dsm. Hili jiji naona ccm wamelishika vilivyo, kila chaka na kila chocho unayokatiza unakutana na lipicha la Magufuli yaani kama vile hakuna wagombea wengine wa nafasi ya urais.
To my suprise tapeli mashuhuri bwana Gwajima amebandika hadi mabasi yake ya kusomba misukule wake mipicha picha ya kwake na ya msukuma mwenzake.
Haina haja hiyo,2015 mgombea wa ukawa alikuwa hazidi hata dk 5 za kuongea kwenye kampeni zake ila bado watanzania wakampa kura za kutosha. Hivyo sidhani kama kuna umuhimu wa midahalo ya wagombea urais kwa Tanzania.Kuna haja ya Mdahalo au wagombea wote wapewe nafasi kwenye kipindi kama kile cha dakika 45 za ITV