- Thread starter
- #41
Mkuu unateseka bure.
Rais ni Magufuli tu . Huyo mpiga pambio asubili sana mpaka afikishe miaka 80
Kwa wizi akisaidiwa na nyie?
Safari mumuase asijaribu.
Mkapa masononeko hadi aliyaweka kitabuni.
Tunataka uchaguzi ulio huru na wa haki si pungufu si zaidi.